Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naweka kambi apaSamahan kdg kun fununu nilikisia ety mtu ambae ni HIV positive akitumia pain kille kweny vipimo vyetu hv vya buku tano itaonesh yupo negative
yote yanawezekana, binafsi sijawahi kusikia hilo, all in all kuna magonjwa mwengi sana ukiachana na UKIMWI, ni bora kutulia njia kuu au kutumia premium condom, usiuze mechiSamahan kdg kun fununu nilikisia ety mtu ambae ni HIV positive akitumia pain kille kweny vipimo vyetu hv vya buku tano itaonesh yupo negative
Vijana wadogo wanafanya sana ngono zembe ( kuuza mechi) na wanawake ambao kama vile wameshajikatia tamaa au kujitoa mahuru, hawataki mwanaume atumie condom.
Nikikumbuka vile VVU vya 2005 kurudi nyuma,
1. Nywele zinanyonyoka af zilizobaki zinakua kama za kiarabu.
2. Mabega yanapanda juu na kukonda kusiko kwa kawaida
3. Midomo inababuka na kua na kama unga unga mweupe,
4. Kukohoa pamoja na mkanda wa jeshi mkali sana.
Kipindi kile ilikua haihitaji kuambiwa kujua mtu fulani ana UKIMWI,
Pamoja na lishe na ARV, bado nadhani hivi virusi vimepungua nguvu, vijana wanajiachia sana na hawana woga
Waswahili walikua wanaita edisi,Ile ilikua ni AIDS yani unakua msomali,madonda mwili mzima,unakonda mpka unafariki....ukimwi unakaa nao hata miaka 25 unakufa shavu dodo
Ukimwi ni ule ule sema sahizi ma utundu mengiVijana wadogo wanafanya sana ngono zembe ( kuuza mechi) na wanawake ambao kama vile wameshajikatia tamaa au kujitoa mahuru, hawataki mwanaume atumie condom.
Nikikumbuka vile VVU vya 2005 kurudi nyuma,
1. Nywele zinanyonyoka af zilizobaki zinakua kama za kiarabu.
2. Mabega yanapanda juu na kukonda kusiko kwa kawaida
3. Midomo inababuka na kua na kama unga unga mweupe,
4. Kukohoa pamoja na mkanda wa jeshi mkali sana.
Kipindi kile ilikua haihitaji kuambiwa kujua mtu fulani ana UKIMWI,
Pamoja na lishe na ARV, bado nadhani hivi virusi vimepungua nguvu, vijana wanajiachia sana na hawana woga
[emoji849][emoji849][emoji849]UKIMWI UNAPONA
KANSA TU NDIO HAIPONI KWA SABABU SIJAWAHI ONA MTU WA KANSA KAPONA
ILA UKIMWI UNAPONA NIMEONA WATU WAMEPONA ILA SIO KWA MAOMBI KWA DAWA ZA MITI SHAMBA
SERIKALI INAJUA WANAPONA ILA KUNA PEDA NA AJIRA WATU WANAPATA KUPITIA UKIMWI
HUU NDIO UKWELI