MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,514
- 15,050
Sababu hilo jina la ugonjwa linakera tu wakulungwa wanapenda mashimo bila soksi na hawapendi kusikia habari ya hilo jina la hilo dubwanahuu uzi utakuwa na views nyingi, replies kisoda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sababu hilo jina la ugonjwa linakera tu wakulungwa wanapenda mashimo bila soksi na hawapendi kusikia habari ya hilo jina la hilo dubwanahuu uzi utakuwa na views nyingi, replies kisoda
Kabisa kabisa 😘Wewe unanifaa
Endelea kupiga pekuHuwa wanasema hata maji ya uke yanaweza kuambukiza HIV but huwa siamini.
Ninacho amini ni kuwa wengi wanaopata ukimwi ni wanakamia mechi na wengine wana umme mkubwa hivyo huchubua kuta za uke na kuishia kupata HIV.
Nina wangu mkuu, AsanteKesho tukapime unitunuku kibox manyoya bibie😋🥰
Hakuna shidaukikubali kupimwa, kwa bahati mbaya ukawaka, baada ya mwaka utashangaa utakapopimwa na kuambiwa una kisukari, homa ya ini, mshituko wa moyo nk [emoji811]
Ni wangu nakuwa najiamini mkuuNa mkishakolea hapo katikati pia huwa unapima au unajiachia tu kwa imani kwamba mwanzo mlipima?
Hivi Uganda wanaambukizanaje na mabwawa yote yale?Hivi Drc upo mwingi hapa east Afrika mi nikajua Uganda ndio anashika usukani
HahaKabisa kabisa 😘
Hapo sasaHivi Uganda wanaambukizanaje na mabwawa yote yale?
Hatari sana Mungu atusaidie[emoji17]Maishani HIV haipo, ipo na inaua, isipokua HIV inadanganya kwa sababu inachukua muda mrefu, sifa ulizo sema hiyo ilikua HIV ya miaka ya 1995 huko, na kwa nini ni kama haionekani, ni kwamba watu waliopotea waliambukizwa miaka ya 1985 wakaja kuondoka 1995 -2000, wakaisha wakabaki wengine walioambukizwa ambao nao walichukua miaka kama 15 tena ndo wakaanza kupukutika, ni uogonjwa unao danganya maana toka miaka uliyosema inaelekea kwenye kupukutika tena, inachukua miaka 15 mapaka 20 mtu kuanza kuugua maambukizi na kuisha mwili na kufa, okay swala la madawa limechangamka na vyakula pia, siyo kama zamani na ndo mana vijana hawaiogopi wanaona watu wameng'aa na hawafi ila siku si nyingi wataondoka waliotoka nao miaka ya 2005-2010 Kisha itaachia tena watu watakao pukutika miaka ya 2030-2035
Ni hatari... Sema pia ugonjwa mkubwa na hatari kwa sasa ambao watu wanaugua na hawajijui ni Cancer, ni ugonjwa unajificha unakuja kumuibukia mtu uko stage three ambayo haiponeki tena, hatuna tabia ya kufanya check up Afya zetu Kwa hiyo mtu anakua na Cancer stage one, inakwenda two hastuki, anaanza kuugua wakipima iko stage ya mwisho, Dunia ni ngumu
Sent using Jamii Forums mobile app
Maishani HIV haipo, ipo na inaua, isipokua HIV inadanganya kwa sababu inachukua muda mrefu, sifa ulizo sema hiyo ilikua HIV ya miaka ya 1995 huko, na kwa nini ni kama haionekani, ni kwamba watu waliopotea waliambukizwa miaka ya 1985 wakaja kuondoka 1995 -2000, wakaisha wakabaki wengine walioambukizwa ambao nao walichukua miaka kama 15 tena ndo wakaanza kupukutika, ni uogonjwa unao danganya maana toka miaka uliyosema inaelekea kwenye kupukutika tena, inachukua miaka 15 mapaka 20 mtu kuanza kuugua maambukizi na kuisha mwili na kufa, okay swala la madawa limechangamka na vyakula pia, siyo kama zamani na ndo mana vijana hawaiogopi wanaona watu wameng'aa na hawafi ila siku si nyingi wataondoka waliotoka nao miaka ya 2005-2010 Kisha itaachia tena watu watakao pukutika miaka ya 2030-2035
Ni hatari... Sema pia ugonjwa mkubwa na hatari kwa sasa ambao watu wanaugua na hawajijui ni Cancer, ni ugonjwa unajificha unakuja kumuibukia mtu uko stage three ambayo haiponeki tena, hatuna tabia ya kufanya check up Afya zetu Kwa hiyo mtu anakua na Cancer stage one, inakwenda two hastuki, anaanza kuugua wakipima iko stage ya mwisho, Dunia ni ngumu
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa utabili wangu ingekuwa father benaaaard!hebu twambie; unafikiri kama ungekutwa nao ingekuwaje??
Utarudi tuuu kundini! mark my word! usicheze na addiction ya uchi ( ufula wa myuva) ni nooomaa!Nazani ningekufa maana nimepimwa mbele za watu walio nipeleka na marafiki kwakweli sina cha kumlipa mungu nikumbuka na njia nilizo pita