Kama UKIMWI wa 2005 kurudi nyuma ungekuepo sasa, hali ingekua mbaya sana

Kama UKIMWI wa 2005 kurudi nyuma ungekuepo sasa, hali ingekua mbaya sana

Nilikuwa mgum kupima ukimwi kwanza nimshuru mungu sana juma ilio pita nilipata ajari mbaya sana ya pipik nikavuja dam nyingi sana nikapeleke polis badae hospital katika arakati za kuokowa maisha yangu niliwapaka baazi ya manesi dam wakati naendelea kushonwaa nilisikia sauti ya nesi akisema ametupAka dam jibu likatoka mpime afya kubwa aka ukimwi asee nilikuwa mpole nimshuru majibu yalikuja akisemA afya yuko salama paka sasa naendelea kuguza madonda ila moyon na amani
Haya huwa ni matukio ya kukumbuka ushujaa na ukubwa wa M/mungu[emoji123]
 
Ukimwi wa Sasa umefubazwa na Dozi na imefika time Virus wamechoka na wao maana wamepiga kazi saana.

Ukimwi wa zamani ulikiwa Bado wenyeweJiniani ilikuwa hata miaka 5 hutoboi. Ila kwa Sasa Kuna watu Wana miaka 20 Wana moto na wako poa tu na wengine hawali hata hizo dosage.

Na research zinadevelop Hadi dawa ya HIV inaweza kupatikana kabla ya 2026.
 
Vijana wadogo wanafanya sana ngono zembe ( kuuza mechi) na wanawake ambao kama vile wameshajikatia tamaa au kujitoa mahuru, hawataki mwanaume atumie condom.

Nikikumbuka vile VVU vya 2005 kurudi nyuma,
1. Nywele zinanyonyoka af zilizobaki zinakua kama za kiarabu.
2. Mabega yanapanda juu na kukonda kusiko kwa kawaida
3. Midomo inababuka na kua na kama unga unga mweupe,
4. Kukohoa pamoja na mkanda wa jeshi mkali sana.


Kipindi kile ilikua haihitaji kuambiwa kujua mtu fulani ana UKIMWI,
Pamoja na lishe na ARV, bado nadhani hivi virusi vimepungua nguvu, vijana wanajiachia sana na hawana woga
Kipindi hicho ilikuw ili uanze ARV ni mpaka CD4 ziwe chini zishuke lakini baada ya kuja na mpango wa kuanza kutumia ARV as soon as u are diagnosed regardless of CD4 count...ndio mambo yalipobadilika....ukianza kutumia ARV mapema basi sio rahis kufika huko unakokusema kama hao wa zaman walivyokuwa
 
Kuna diwani alitoa maoni kipindi kile waathirika walikuwa wanalipwa kila mwezi,mwamba akasema wapangwe mstari wapigwe risasi.
 
Vijana wadogo wanafanya sana ngono zembe ( kuuza mechi) na wanawake ambao kama vile wameshajikatia tamaa au kujitoa mahuru, hawataki mwanaume atumie condom.

Nikikumbuka vile VVU vya 2005 kurudi nyuma,
1. Nywele zinanyonyoka af zilizobaki zinakua kama za kiarabu.
2. Mabega yanapanda juu na kukonda kusiko kwa kawaida
3. Midomo inababuka na kua na kama unga unga mweupe,
4. Kukohoa pamoja na mkanda wa jeshi mkali sana.


Kipindi kile ilikua haihitaji kuambiwa kujua mtu fulani ana UKIMWI,
Pamoja na lishe na ARV, bado nadhani hivi virusi vimepungua nguvu, vijana wanajiachia sana na hawana woga
Walikuwa wanatoka maupele mwili mzima,miguu inavimba hadi inatoa maji.Juliana ilikuwa ni balaa.
 
Dah! Ngoma ya miaka hiyo acha kabisa. Yaani ukiipata tu, kama ulikuwa unaishi mjini, unarejeshwa na ndugu zako kwenda kufia kijijini kwenu. Hatari sana.

Naona ARV's zimesaidia sana kupunguza hofu ya huu ugonjwa kwenye jamii yetu.
 
IMG_7092.jpg
 
Back
Top Bottom