Von_Lufuta
JF-Expert Member
- Mar 19, 2023
- 1,528
- 3,641
Kesho tukapime unitunuku kibox manyoya bibiešš„°Huwa napima na ni Lazima...ukigoma Bora tuachane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesho tukapime unitunuku kibox manyoya bibiešš„°Huwa napima na ni Lazima...ukigoma Bora tuachane
weekend hii, komredi yuko cha tatu na anatembelea rimNa huu ndy ukweli
Si ndio hapo sasa,, bora UBIMWI (Upungufu wa Bia Mwilini)weekend hii, komredi yuko cha tatu na anatembelea rim
unamletea habari za ukimwi tena
Haya huwa ni matukio ya kukumbuka ushujaa na ukubwa wa M/mungu[emoji123]Nilikuwa mgum kupima ukimwi kwanza nimshuru mungu sana juma ilio pita nilipata ajari mbaya sana ya pipik nikavuja dam nyingi sana nikapeleke polis badae hospital katika arakati za kuokowa maisha yangu niliwapaka baazi ya manesi dam wakati naendelea kushonwaa nilisikia sauti ya nesi akisema ametupAka dam jibu likatoka mpime afya kubwa aka ukimwi asee nilikuwa mpole nimshuru majibu yalikuja akisemA afya yuko salama paka sasa naendelea kuguza madonda ila moyon na amani
nafikiri watoa huduma wangeanza huduma ya PEP na jamaa angeanza kula mashudu muda huohuo...hebu twambie; unafikiri kama ungekutwa nao ingekuwaje??
Wewe unanifaaHuwa napima na ni Lazima...ukigoma Bora tuachane
Kipindi hicho ilikuw ili uanze ARV ni mpaka CD4 ziwe chini zishuke lakini baada ya kuja na mpango wa kuanza kutumia ARV as soon as u are diagnosed regardless of CD4 count...ndio mambo yalipobadilika....ukianza kutumia ARV mapema basi sio rahis kufika huko unakokusema kama hao wa zaman walivyokuwaVijana wadogo wanafanya sana ngono zembe ( kuuza mechi) na wanawake ambao kama vile wameshajikatia tamaa au kujitoa mahuru, hawataki mwanaume atumie condom.
Nikikumbuka vile VVU vya 2005 kurudi nyuma,
1. Nywele zinanyonyoka af zilizobaki zinakua kama za kiarabu.
2. Mabega yanapanda juu na kukonda kusiko kwa kawaida
3. Midomo inababuka na kua na kama unga unga mweupe,
4. Kukohoa pamoja na mkanda wa jeshi mkali sana.
Kipindi kile ilikua haihitaji kuambiwa kujua mtu fulani ana UKIMWI,
Pamoja na lishe na ARV, bado nadhani hivi virusi vimepungua nguvu, vijana wanajiachia sana na hawana woga
Hakika ,hizi nyuzi zaivi, Huwa watu wanapita kimya kimyahuu uzi utakuwa na views nyingi, replies kisoda
Walikuwa wanatoka maupele mwili mzima,miguu inavimba hadi inatoa maji.Juliana ilikuwa ni balaa.Vijana wadogo wanafanya sana ngono zembe ( kuuza mechi) na wanawake ambao kama vile wameshajikatia tamaa au kujitoa mahuru, hawataki mwanaume atumie condom.
Nikikumbuka vile VVU vya 2005 kurudi nyuma,
1. Nywele zinanyonyoka af zilizobaki zinakua kama za kiarabu.
2. Mabega yanapanda juu na kukonda kusiko kwa kawaida
3. Midomo inababuka na kua na kama unga unga mweupe,
4. Kukohoa pamoja na mkanda wa jeshi mkali sana.
Kipindi kile ilikua haihitaji kuambiwa kujua mtu fulani ana UKIMWI,
Pamoja na lishe na ARV, bado nadhani hivi virusi vimepungua nguvu, vijana wanajiachia sana na hawana woga
Hivi Drc upo mwingi hapa east Afrika mi nikajua Uganda ndio anashika usukaniukimwi wa apo kongo achana nao mkuu