Happy weekend bro.. 😂 endelea kuteseka.. siwez kujibu kila comment chukua kitakachokusaidia shida ya watanzania ni negativity kwenye kila jambo.. karibu canada tule maisha utakufa huko Tanzania..🤣Nilianza kukuamini ila kwa uongo huu ulioandika kuhusu US nimeanza kuwaamini waliosema huko juu kuwa hujatembelea nchi zote hizo, na ndio maana hata baadhi ya maswali uliyoulizwa kuhusu hizo nchi umeshindwa kujibu umerukia hili, na ni kama kwenye ile list uliiacha US makusudi ukijua kabisa lazima tu kuna mtu atakuja kuiulizia ili ujibu huo ujinga
Hahaha noma sana, wakati huo unakimbizana na TRA kila kona, polisi waonevu, na hata ukionewa hakuna sehemu utaenda kudai haki ukasikilizwa, panya road mitaani teh teh, ukiugua hata uwe na pesa unaweza kwenda hospitali kumbe doctor anayekutibu amefoji vyeti, mara vifaa vya kuchukulia vipimo vilishaexpire ila bado vinatumika, trafiki waomba rushwa kila baada ya kilomita kadhaa.- Kanyumba kamoja mijini
- Tugari tutatu used tena twenye zaidi ya miaka kumi na mileage zinasoma mishahara ya watu
- Tueneo kadhaa nje ya miji
- Tufrem kadhaa twa biashara town hasa twa simu, mavazi, electronic, spare parts na hardware, nk
- Mwisho kabisa tupesa twa kuchafua meza bar kila weekend hapo kwa sisi wabongo unakuwa umetoboa na una maisha mazuri kabisa binti kiziwi
Zitaje mkuu....Daa hata JK hajatembelea nchi 125
Huenda ila mmh
Mimi nimejaza passports 4 kwa nchi 32 nilizoishi na zingine kuzitembelea, na transit ya siku moja haihesabiki kama nimefika bali nimepita
Naona unawapeleka watu mbali sana
Kuna nchi nyingi sana hapo hapo jirani na sisi ambao ni bora zaidi x10 kuliko kuishi nyumbani
Kwanza imewafanya vijana wengi wawe na akili sawa na ubunifu sifuri
Angalia baadhi ya nchi za Africa wana maisha mazuri kuliko hii barafu ya Ulaya
Asikuambie mtu
Ulaya ukitaka uishi vizuri uwe na elimu nzuri inayokuingizia kipato kinono au kuza watoto wasome vizuri na walipwe vizuri
Ila maisha yako Africa kwenye baadhi ya nchi ila bongo hapafai
Usithubutu!!Wale tunaoishobokea Russia vipi? Ama tukienda huko tutapelekwa vitani kwa lazima?
Nimejaribu, kupiga hesabu, wastani miezi sita ya kukaa kila nchi hizo 125, mara umri wake 34, nikatoa miaka 14 ya shule, msingi na Sekondari, nikabaki na miaka 20, ambayo hii ndiyo ameitumia kutembea nchi 125, akikaa watani wa miezi sita kila nchi nikagundu inabidi tumuongezee miezi kama 60, ili iendane umri wake ukitoa miaka 14, ya shule kwenye umri wake 34.Tanzania haiendelei kwa sababu imejaa vijana waongo wengi sana wanaopenda kujimwambafai kama wewe
Namba 10 ni nchi gani, maana umeandika Denmark mara mbili1. Switzerland
2. Norway
3. Canada
4. Sweden
5. Finland
6. Denmark
7. Netherlands
8. Denmark
9. Austria
10. New Zealand
Moja kati ya mambo niliyojifunza kwenye maisha yangu mpaka sasa ni mengi na bado naendelea kujifunza kupitia njia mbalimbali lakini mambo makubwa niliyojifunza yametokana na kusafiri nchi tofauti tofauti kikazi na vacations hasa Africa, Ulaya na Amerika, kwasasa nina miaka 34 na nimeshafanikiwa kuzunguka nchi 125 na hapa bado nchi sabini tu nimalize kuzunguka hii dunia na safari hii ntazunguka zaidi nchi za bara la Asia kuanzia China, Japan n.k naamini kabla sijafika miaka 70 basi nitakuwa nimemaliza kutembea nchi zote duniani.
But katika zunguka zunguka zangu nimegundua kuwa nchi hizi 10 zinawafaa sana watu wenye medium na high intelligence/smart people hapa naamanisha watu wenye akili timamu kwasababu ni nchi ambazo mbali na utulivu wake kiusalama, pia hizi ni nchi zenye geografia nzuri sana na serikali zao zimejitahidi sana kuweka kila kitu katika ubora na ufanisi unaomfaa binadamu kuishi kwa kiwango cha hali ya juu kuliko nchi zingine zote duniani.
Ukiishi kwenye nchi hizi uwezo wako wa kiakili unakuwa mkubwa sana na kwa asilimia 90% kuna uwezekano wa wewe kufanya mambo makubwa sana kuliko utakavyoishi nchi zingine duniani.
Mtu anayetaka kuiona kesho yake yenye furaha, kuishi muda mrefu(long life expectance) au mtu anayetaka kuboresha maisha yake na uzao wake basi namshauri aenda akaishi kwenye hizi nchi zifuatazo..
1. Switzerland
2. Norway
3. Canada
4. Sweden
5. Finland
6. Denmark
7. Netherlands
8. Denmark
9. Austria
10. New Zealand
Nchi zote hizi nimezitembelea na nimeishi kwa kipindi cha miezi sita sita ni nchi nzuri sana kwa binadamu kuishi kutokana na miundo mbinu yake, sera za serikali zao, ajira na haki zao za kujali utu. Kama uko smart na unapenda maisha yako yawe smart usibaki Tanzania, nakushauri tafuta visa nenda kaishi kwenye moja kati ya hizo nchi nilizozitaja hapo juu niamini mimi baada ya kufika na kuishi kwenye hizo nchi utamshukuru Mungu kwa uumbaji wake na utaifurahia dunia sana.
NOTE: Kwa wale wapenda mbususu hizo nchi nilizozitaja hapo hazijawahi kuniangusha, nilipewa ushirikiano wa kutosha sana mpaka nikahisi dunia inazunguka kama kiuno cha mwali wa kimakonde.
Muwe na siku njema!
Hii ndio jamii forum!! Watch out!!!Kwamba miaka 5 umezunguka tu
Akikujibu utanistua naenda kununua bamia nichanganye na dagaa nisinge Dona nileWe unaishi wapi kati ya hizo nchi?
Haziko kumi zipo 9 labda kama kuna Kusini na Kaskazini kama Korea1. Switzerland
2. Norway
3. Canada
4. Sweden
5. Finland
6. Denmark
7. Netherlands
8. Denmark
9. Austria
10. New Zealand
Kwamba huamini inawezekana?Hii ndio jamii forum!! Watch out!!!
Kila mtu ni mjuaji
Kila mtu katoboa maisha
Kila mtu alifaulu div 2 na 1
Kila mtu ana kazi nzuri
Kila mtu ni mjuaji
Afrika yote bora ubaki TanzaniaZitaje sasa hizo nchi.