Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,842
- 6,087
- Thread starter
-
- #101
Jidanganye mzee, Mwanamke kama tabia yake ni kuchepuka hata uwe mchungaji ushinde kanisani atakazwa tu.Kama ww unachepuka amini amini na kwambia na mkeo anachepuka!
Na lazima kuna siku utajua hata kama ndo siku ya mwisho unapelekwa kaburini.
Kifupi malipo ni hapa hapa!!!.
Badilika ili abadilike
Naunga mkono hoja.Siku mtakayojua kucheat ni tabia sio kazi mtakuwa mmechelewa sana.
Au sioUna press sana kaka[emoji16]
Believe me ni rahisi haswa kama umegundua unagongewa na washikaji wa kitaa ambao hata kunguru na madereva wa bajaji na bodaboda wanajuwa. Piga chini tu.Mh....sio rahisi kihivyo aiseee....
[emoji23][emoji23]Haya mambo hayana formula lakini odd kubwa za kuchapiwa zimelala kwa watu waliiooa watumishi, yaani 60% Huwa ni dhaifu saana so kupigiwa ni kugusa tu.
Imani yangu inaniambia kwamba Mwanamke hawezi kucheat kwa bahati mbaya yaani lazima kuwepo na sababu ya yeye kucheat, lazima atengenezewe ukaribu/mazingira.
Nilikua naperuzi nikavutiwa na hii story nadhani itawafundisha na kupata mwanga.
View attachment 2855892View attachment 2855894View attachment 2855895View attachment 2855896
Kama umeoa Mwanamke Mfanyakazi kwa ajili ya kusaidiana kimaisha, hakuna rangi hutoacha kuiona kwenye hiyo ndoa, oa Mwanamke uliempenda, huku makazini unashangaa tu mke wako kila seminar yupo, trip za kutosha mara dodoma wewe umekaa tu hapo sebuleni shtuka mzee.
Dawa ni kuwa na wengi,na ikiwezekana usioolewe,ubaki nikubadilisha tu,ili uonekane unapendwa.Wanaume nao wana matatizo sana. Ukiwa naye pekeeake anakuona una mikosi hutongozwi. Ukitongozwa anakuona malaya.
Sasa sijui wanatakaga nini?
Nifah for your reference. Any comment from you?Your dick inside her wasn't the first one, and it won't be the last
Wewe ni muungwana sana, hili jibu linajitosheleza. 🙏🙏My current man might not be the first one, but he is the last.
Unaweza Kuta mwenye hii comment ana mabwana zaid ya mmoja.Muwe munawala wake zenu vizuri .kiwasoma na kujua pakuwakalisha chali.. hata aondoke mwaka mzima hautachapiwa. Kuna video calls fanyeni yenu huko muweke muwe marafiki wa michezo bila kuwa kama mapolisi kwa wake zenu.
Mbona unadanganya dada? Yule aliyekusamehe ulifanyaje?Wewe una yako sasa, mi mbona sicheat?
Haikuwa hivyo, subirini siku nitawahadithia.Mbona unadanganya dada? Yule aliyekusamehe ulifanyaje?
.Hivi kuna maumivu kama kutafuniwa mkeo.... Dah... Mana ukimuona ukimfikiria unaona kabisa alivyokua anakunjwa anavyolia kwa .... Dah...