Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Wenye nyota za kwaito mnajulikana tuMie nilivyosoma hii mada mwanzo niliishia tu kucheka kwakweli.
Wewe jishebedue tu hapo na stress zako za kukosa mume kaone!!! Hebu olewa hukobuwe na heshima kwa jamii na uwe na furaha ya milele ebo!!!!
Hivi mbona mtoa mada nikikusoma vizuri kama kuna shida sasa wewe ndio unatoa stress!! Au mimi ndio sijui kusoma katikati ya mistari!!!
Mkuu wee sio fukara acha kujivunjia heshimaKuna manzi mmoja nilimtongoza huku JF alipogundua kuwa mimi ni fukara akaniacha na kuniambia "i can't go on with the broke ass"!!
yaani wanataka maisha ya maigizo sanaaaa..
[emoji16][emoji16][emoji16]Mkuu wee sio fukara acha kujivunjia heshima
Hahahaaaa!! Ngoja niolewe niwe na furaha ya kudumu lol!! Nimechoka kucheza kwaito.Wenye nyota za kwaito mnajulikana tu
Basi ongea polepole....[emoji2] [emoji2] [emoji2]Hehehe mi wa Tanga kwani?
Kizuri mgawane na mwenzio huyu wa humu ndani unae mjua....[emoji12] [emoji12] [emoji12]Sitaki mimi foleni zimenichosha sasa hivi nataka wa peke yangu
Asante mkuuHongera sana....
Ulianza vizuri ila ulivomaliza sasaMtoa uzi naona umenikumbusha jambo fulani ambalo nilishawahi kunitokea humu.
Nilileta uzi humu wa kutafuta mchumba wa kwenda kuyajenga, baadhi yao wakanifata pm na hata kubafilishana namba za sim. Balaa lilikuja kwenye kutumia picha yaani kuniona tu alikatisha mawasiliano maana yake alijua atanikuta nipo kwenye jumba la kufahari. Yaani sijui hata nilimkera nini nilijitafakari sana. Mwengine alinuna baada ya kumwambia naona kibonge akaanza kuniuliza "kwani vibonge huwataki?" Nikamjibu kawaida basi na yeye akapotea ghafla kisa nimemwambia ni kibonge wala sikua na nia mbaya.
Kwa wafupi wanawake wengi wa humu wanaojipambanua hawana lolote, avatar unayokutana nayo hapa ukimuona mwenyewe yaani ni shida hata kumtambulisha kwa marafiki zako inashindikana kwa aibu.
Ulianza vizuri ila ulivomaliza sasa
I'd gani?Mkuu.....
Ile I'd yako ya zamani "inayo julikana" mbona hauitumii skuizi...!!??
Alinitaka radhi mkuu...I'd gani?
Ninong'oneze mwaya[emoji101]
Ukielewa unitag basiHivi mbona mtoa mada nikikusoma vizuri kama kuna shida sasa wewe ndio unatoa stress!! Au mimi ndio sijui kusoma katikati ya mistari!!!
Kuna manzi mmoja nilimtongoza huku JF alipogundua kuwa mimi ni fukara akaniacha na kuniambia "i can't go on with the broke ass"!!
Ngabu niwowe basi mwenzio.. Hata ukinidunda nitakua navumilia tu mwenzioKalale ukue.
Ngabu niwowe basi mwenzio.. Hata ukinidunda nitakua navumilia tu mwenzio
umejuaje?Nimesoma bandiko lako ila bado nawaza wewe ni Ke? Thread yako imekaa kama imeandikwa na Me.
Wamekusikia ingawa umetumia maneno makali.
Nimewafuma kumbe ndio zenu hizi eeSipigi mke mimi.
Ushawah kupigwa wewe na ngumi ya kisukumaNgabu niwowe basi mwenzio.. Hata ukinidunda nitakua navumilia tu mwenzio
..ww jamaa upo inji hii, njoo pmnimependa Message yako, mwenye kuelewa atakuwa amekuelewa vizuri