Kama umezaliwa bila ulemavu wowote usiache kumshukuru Mungu hata mara moja kwa siku

Kama umezaliwa bila ulemavu wowote usiache kumshukuru Mungu hata mara moja kwa siku

sijui kwanin Maxence Melo halioni hili tatizo, yaani sababu za ovyo ovyo na yeye yupo kimya tu. Mods wengi hawana hizo qualifications wanazojigamba nazo, hao wakina elon musk wanasemwa kwenye mitandao wanayoimiliki lakini hawafungii watu account, lakini hawa Moderator kidogo tu ukiwauliza unapigwa BAN.
Hata yeye pia mello nilimtumia ujumbe pamoja na zile screenshots hakunijibu
 
Sijawahi kusoma privacy policy za humu ndani,hebu nizisome...labda zinaruhusu mods kusoma PMs zetu
Huyo aliyekureport labda ni mmoja wa mods anakutaka,sidhani kama ni kosa kusalimiana na watu!!

Nwei,pole
Nowdays ni bora ukawa tu msomaji na huko pm ni hakufai kabisa tena taarifa zako official hutakiwi kuziandika kwa namna yeyote ile
Asante
 
Leejay49 uwe kilema au usiwe kilema, ni wajibu wako kumshukuru MUNGU kwa kila jambo.

Kumshukuru MUNGU sio tu pale unapokuwa mzima bali hata vilema wanapswa kushukuru vile vile.

Hata hivyo pole sana kwa yaliyokukuta.

Ushauri wangu kwako tafuta "food supplements" za FOHOW zinatibu vizuri sana.

Kila la heri.
 
Leejay49 uwe kilema au usiwe kilema, ni wajibu wako kumshukuru MUNGU kwa kila jambo.

Kumshukuru MUNGU sio tu pale unapokuwa mzima bali hata vilema wanapswa kushukuru vile vile.

Hata hivyo pole sana kwa yaliyokukuta.

Ushauri wangu kwako tafuta "food supplements" za FOHOW zinatibu vizuri sana.

Kila la heri.
Zinapatikana maeneo gani hizo supplements mkuu,
 
Wakuu habari za siku nyingi,..

Sikua najua how they feel, sikua najua ni kwa namna gani wanateseka mpaka mda huu ambapo Mungu ameamua anipitishe na mimi kidogo, huenda bila hivyo ningeendelea kuwachukulia kawaida…

Iko hivi,. Nimepatwa na uziwi wiki ya pili sasa ,. I don’t know the mechanism mpaka ilikua hivyo ila nachokumbuka ni kwamba nilipatwa na malaria makali pamoja na kichomi at once,. Nilikua to that point ambayo sikua naelewa chochote zaidi ya jina langu ambalo hata sikua nasikia kama naitwa,..

Namshukuru Mungu naendelea vizuri somehow,. Ila guys viziwi ni wanateseka sana,. Imagine masikio ni mazito, yameziba halafu mda wote unafeel like uko jirani na mtambo ambao unapiga kelele halafu huwezi kurealize ni kelele za kitu gani,,. Means hatakama unataka kuzungumza kitu unahisi wote wanasikia makelele inabidi uongee kwa sauti ya juu sanaaa,. Halafu wanakushangaa unapayuka , which is not easy 😌🥹… Yaani masikio mda wote yako na ganzi hata mtu akufinye husikii maumivu just imagine..

Nipo najiwazia hapa viziwi hii ndio hali wanaifeel for the rest of their lives 🤔, na je ikitokea na mimi nakua kiziwi ina maana ndio nitateseka hivi maisha yangu yote ??? ,.. Thanks Lord nimewahi treatment leo moja limeanza kusikia i hope yote yatasikia tena,. ( Mniombee wananzengo siko poa niko wodini bado,. Malaria nayo nayaniendesha ).


NB: Mtu kama upendezwi na mada za mtu au humuelewi hapa jukwaani ni better ukamuignore kuliko kureport kwa mods nao bila kufanya utafiti vizuri wanapigana ban,. Sio wote tuko humu just for fun,. Yaani wewe uliyenireport sijui hata nikufanye nini maana kuna watu nilikua nao seminar huko Pm na wametoka kunipa tu hela napigwa ban imagine😔😔.. Yaani naitwa tapeli kwasababu ya chuki zako binafsi,. SIJAPENDA
Mkuu pole sana,Malaria kali wakati fulani hupelekea ukiziwa wa muda.Mimi nimewahi kuugua Malaria kali sana kiasi cha kutoweza kunyanyua chochote hata kijiko ilikuwa mtihani,ikafika hatua macho yakawa hayaoni vizuri mtu akipita mbele yangu nashindwa kumtambua naona kivuli tu,masikio yakawa hayasikii vizuri nikahisi ni homa na ukali wa dawa nilizokuwa natumia,maana nilikuwa natumia Chloroquine.
 
Nadhani ni allergy ya madawa maana walianza kunisafisha wakijua ni ear wax lakini tatizo linaendelea bado
Ungekuwa dar ungeenda pale Magomeni,kuna hospital kubwa inaitwa Ekenywa..ni maalumu sana kwa masuala ya masikio. Wana vifaa vya uchunguzi na wataalamu walio bobea kwa issue za masikio.

Naweza kukupatia contact za mbobezi mmoja anafanyia kazi pale.
 
Pm kulikua na 8 members online,. Nikaview participants nikakuta ni moderators wote wapo na majina yao. Nikascreenshot nikaandika uzi kusema kumbe ni kweli hua wanaingia pm,. Wakanipa ban naleta maongezi ya faragha hadharani,.
Hiyo ya kusocialize kuna mtu inaonekana anakereka nikiwa nasalimiana na watu kama hivi,. Ndio walivyonambia

Hawa moderators wana shida. Waje watoe majibu wanachochungulia uko pm ni kipi?
 
Pm kulikua na 8 members online,. Nikaview participants nikakuta ni moderators wote wapo na majina yao. Nikascreenshot nikaandika uzi kusema kumbe ni kweli hua wanaingia pm,. Wakanipa ban naleta maongezi ya faragha hadharani,.
Hiyo ya kusocialize kuna mtu inaonekana anakereka nikiwa nasalimiana na watu kama hivi,. Ndio walivyonambia

Kumbe hata PM sio safe loh!!
JF haiko safe kila sehemu 😆

sijui kwanin Maxence Melo halioni hili tatizo, yaani sababu za ovyo ovyo na yeye yupo kimya tu. Mods wengi hawana hizo qualifications wanazojigamba nazo, hao wakina elon musk wanasemwa kwenye mitandao wanayoimiliki lakini hawafungii watu account, lakini hawa Moderator kidogo tu ukiwauliza unapigwa BAN.

kwa maelezo ya leejay, PM sio sehemu salama kabisa, nafikiri huwa wakikosa kazi wanaanza kusoma chati zetu na kucheka kuangalia watu wanavyopigwa vibuti na kuchukua namba halafu wanaanza kututumia meseji wakisema tuma kwenye namba hii

Hata yeye pia mello nilimtumia ujumbe pamoja na zile screenshots hakunijibu

Nowdays ni bora ukawa tu msomaji na huko pm ni hakufai kabisa tena taarifa zako official hutakiwi kuziandika kwa namna yeyote ile
Asante

Sasa hivi watu wakiwa wanaitana PM nitakuwa nacheka tu
Maxence Melo umeamua nawewe umsapoti mama kuwa Chura kiziwi.😓😓😓😓
Umukali wa hene
 
Nilikua natumikia ban tatu kipenzi
1. Nilirepotiwa nasocialize sana kwenye nyuzi za watu( hii ilianza)
2. Nilikua nawasema vibaya mods huko pm ( hii ikafuata)
3. Zile screenshots za moderators wakiingia pms za watu( hii ndo walikuja kunimaliza kabisa)

Amen ubarikiwe big ciccy🙏🙏❤️
Hatari Payge njoo ujibu tuhuma hizi
 
Back
Top Bottom