Kama umezaliwa bila ulemavu wowote usiache kumshukuru Mungu hata mara moja kwa siku

Masikio duh.
Ulipatwa na "Tinnitus" Kuwa makini sana aisee, masikio ni inshu complex sana. Wengine tuna several years na hali hiyo uliokuwepo nayo.

Kuwa makini sana madawa ya malaria unazotumia
 
Ungekuwa dar ungeenda pale Magomeni,kuna hospital kubwa inaitwa Ekenywa..ni maalumu sana kwa masuala ya masikio. Wana vifaa vya uchunguzi na wataalamu walio bobea kwa issue za masikio.

Naweza kukupatia contact za mbobezi mmoja anafanyia kazi pale.
Kwa bongo angalau pazuri ila hamna cha maana ,zaidi ya kupimwa na zile earphone zao , utapewa vidonge wmisho wa siku utaambia utafute vidude vya masikio.
 
Daaah aisee...

Nakumbuka nilisumbuliwa na maumivu ya nyonga nilikua siwezi kutembea kabisa.

Baada ya kupata matibabu nakufanikiwa kupata unafuu kdg nikapewa magongo kama msaada wa kuweza kutembea (kufanya mazoezi)

Aisee kutumia yale mavitu kama msaada wa kutembea ni mtihani sana ikiwa ulikua unauwezo wa kutembea pasi na shida yoyote na ninamshukuru Mungu nikafanikiwa kurudi katika hali yangu ya kawaida {kupona}.

Imagine mtu maisha yake yote yeye ni kutumia magongo tu kutembea mpaka umauti utakapomfika.

Mshukuru Mungu kama upo sawa na tuwaombee ndg zetu wanapitia changamoto kubwa sana.
 
Masikio duh.
Ulipatwa na "Tinnitus" Kuwa makini sana aisee, masikio ni inshu complex sana. Wengine tuna several years na hali hiyo uliokuwepo nayo.

Kuwa makini sana madawa ya malaria unazotumia
Aiseee,. Thanks nitakua makini
 
Kwakweli tumshukuru sana Mungu,. Nasoma huku naogopa
 
Jamaa anasema anaskiaa fuuuuuuuuuuuuh alafu hasikii mkuu pole sana asee..
Ivi kidini ni kwanini vilema wanazaliwa kusudio la mungu ni nini hasa kuwapa watu ulemavu?
 
Pole sana mama, Mungu akujaalie uponyaji urudi katika hali yako ya kawaida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…