Kama umezaliwa bila ulemavu wowote usiache kumshukuru Mungu hata mara moja kwa siku

pm πŸ™Œ
 
Jichanganye ukatongoze PM huku mods kadhaa wanakuchora huku wakisikitika jinsi unavyopigwa vibuti πŸ˜‚
Ya pm yalishanishinda, kuna utaratibu wa hovyo sana huko pm. Ningelijua mapema nisungekaa nitumie pm kabisa ila nashukuru nilishtuka kabla mambo hayajawa mengi.
 
Pole sana mkuu. Get well soon.
 
kuna mambo mengine hata mwenyewe huyajui kuhusu wewe ila wanajua, ila ndio binadamu.
Serious nakwambia,. Kunae huyo mmoja alikua anasema jambo ikabidi niende kwanza chooni kwenye kioo nikahakikishe ila nyie πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚., Sisi wanawake tuna moto wetu mahala walahi
 
Serious nakwambia,. Kunae huyo mmoja alikua anasema jambo ikabidi niende kwanza chooni kwenye kioo nikahakikishe ila nyie πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚., Sisi wanawake tuna moto wetu mahala walahi
πŸ˜‚
mnapenda hekaheka sana ni nature yenu ila mengine ni kuyapuuza tu maana binadamu ni kiumbe ambae kusema hatokaa aache.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…