ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Kwamba umetulia kabisa kabisa mkuu? Huna sehemu hata ya kubadilisha mboga?Mi ndio maana nimeamua nitulie zangu tu. Huu uchakataji wa mbunye kizembe unaweza kukulostisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba umetulia kabisa kabisa mkuu? Huna sehemu hata ya kubadilisha mboga?Mi ndio maana nimeamua nitulie zangu tu. Huu uchakataji wa mbunye kizembe unaweza kukulostisha
Makete kama hujaungua wanakushangaaHahahahahah naskia makete kule ngoma ni kama mafua tu 😂😂😂 na uhayani nako si wanamaindisha kuchakatana hovyo kufyekwa ni must
Maana yake hata ukiupata uusambaze!Kweli kabisa mwanaume ukishafika miaka 40 achana kabisa na mambo ya kula mbususu na condom. Maana hata ukiupata bado unaweza kufika miaka 60 bila wasiwasi.
Hahahaha umeua.Makete kama hujaungua wanakushangaa
Hahaha nina Exclusive package ya kupoozea rim kwa sasa 😂😂😂 navuta kasi nibebe jumla. Hizi pisi za kulokota lokota ni nuksi tu nimestopishaKwamba umetulia kabisa kabisa mkuu? Huna sehemu hata ya kubadilisha mboga?
ARV ndio zinawamaliza watu na wala sio HIV.Mgonjwa anajulikana tu as long as dawa zishamkolea. Ukimuona unajua tu jinsi ambavyo amenyauka.
Unajazwa hofu halafu ukijaa unameza sumu taratibu inakaanga figo na maini taratibu after 2O years you are a dead manARV ndio zinawamaliza watu na wala sio HIV.
Wanaotumia ARV wanafubaa vibaya sana. Wanachoka kama mbwa koko.
HIV does not kill people, but ARV's do.
Angalau 20 yrs si haba.kabla ya ARV ilikuwa hutoboi miaka mitanoUnajazwa hofu halafu ukijaa unameza sumu taratibu inakaanga figo na maini taratibu after 2O years you are a dead man
Dah inaogopesha kuna dem condom ilipasuka ila akanihakikishia hana ukimwi akanionyesha na mtoto wake ananyonyesha ila nina wasiwasi kupimaKwa nini miaka 40+? Kwa sababu kwa umri huo hata ukiupata ukipiga dawa unaweza kutoboa miaka 60 ambao ni life expectancy ya mtanzania.
Tumepitia kipindi kigumu sana, nakumbuka nikiwa O level dispensary ya shule sindano zinachemshwa kama Mayai, hakukuwa na disposable syringe, nesi akipitiwa mtashare hiyo sindano. Kumbuka filamu za ukimwi za kutishana kama Neira ya Oliver Mtukudzi ukiangalia hata demu akikupa bure muda huo unakataa. Kumbuka wapendwa wetu waliokufa mifupa mitupu na nywele kunyonyoka kichwani.
Kumbuka vitoto vichanga vilivyokufa baada ya kuzaliwa na ukimwi. ARV zimefanya watu hatuogopi, tunapelekeana moto kibabe na uzuri ni kwamba wanaotumia dose vizuri, virusi vinafubaa, hawawezi kuambukiza kirahisi.
Zamani hufungishwi ndoa msikitini wala kanisani bila cheti cha majibu ya ukimwi.
Tumeteseka sana.
kabla ya ARV ilikuwa hutoboi miaka mitano
Watoto wamezaliwa nao wanameza njugu mpaka wanafika chuo kikuuAh wapi uongo mtupu.
Hizo ARV ukitumia kwa miaka mitano lazima uwe hoi taabani tena kitandani.
Yaani ni hatari sana haya masumu ya ARV.Unajazwa hofu halafu ukijaa unameza sumu taratibu inakaanga figo na maini taratibu after 2O years you are a dead man
Toa uthibitisho.Mabinti wamezaliwa nao wanameza njugu mpaka wanafika chuo kikuu
Kwani tatizo la kuusambaza lipo wapi? Life haliko fair bwana and bad things happen to good ppl. Thats life deal with it.Maana yake hata ukiupata uusambaze!
Kama unatumia ARV achana nazo. Zitakumaliza.Kwani tatizo la kuusambaza lipo wapi? Life haliko fair bwana and bad things happen to good ppl. Thats life deal with it.
Kweli kabisa nakubaliana nawe. 👍Kama unatumia ARV achana nazo. Zitakumaliza.
Hawa jamaa sio wa mchezo kabisa, sijui ni MAPEPO? Wana namna fulani ya ku-control akili za watu kwa kutumia hofu na DEEP PROPAGANDA.
Hayo masumu ya ARV unayomeza hautibu chochote. Unajiangamiza.
Wewe hauumwi chochote, isipokuwa UMEFUNDISHWA KUAMINI kwamba wewe ni mgonjwa.
Ukishaikomboa akili yako kutoka kwenye hiyo propaganda nzito, HAKIKA utakuwa umepona magonjwa yote.
Kisukali, TB, Pressure na Ukimwi ARV haifanyi kitu.Kweli kabisa mwanaume ukishafika miaka 40 achana kabisa na mambo ya kula mbususu na condom. Maana hata ukiupata bado unaweza kufika miaka 60 bila wasiwasi.