Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
......Nimetoka zangu bar Niko chakari, Mara vuup namkuta wife sebuleni.

Wife: Baba Anduje karibu chakula

Mimi: Aaah!!, Owkey Umepika mini?( Kwa sauti ya kilevi)

Wife: Mme wangu ni ugali na samaki!

Mimi: Mmmh!! Ndo mana nakupenda we mwanamke.

Wife: Asante Mme wangu ila angalia samaki wana miiba

Mimi: Ooouh!!, wife usijali nimevaa viatu.........


[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji31] [emoji31]
 
.....Juzi nilimnunulia wife vile vichupi vyenye Kamba(Bikini)

Basi unaambiwa kuna siku nimetoka zangu bar kupata Yale mambo ya kikubwa(beer), Ile nimefika home ilikua almost 5:30pm
Nikamkuta wife amelala kifudifudi huku amevaa kale kachupi!!
Basi acha nianze kucheka mpaka wife akaamka

Wife: Vipi baba anduje mbona unacheka?

Mimi: Acha tu mke wangu yaani tangu nizaliwe sijawahi ona matak** yamevaa ndala....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuuliza 'what happened to my plate?
House girl akajbu: 'The dog wow wow friji paaa, mchuzi mwaaaa the vyombo pangalapangala the sahan ngelengenjee......the pasuka paaaaaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hadi saiz mzungu bado anasoma dictionary hajui lugha gani imetumika[emoji23]akili yangu naijua mwenyewe.
 
Mwanafunzi wa kike wa form 3 kaniuliza swali eti kwa nini sperm ni nyeupe? Nlipoona sina upepo kulijibu nkamgeukia nkamuuliza ulizionea wapi ww mwanafunzi !? [emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
saiz kesi ipo ofic kuu staki ujinga mmimi!!
 
Kuna mtu kanikera et nmemkubalia urafiki Leo tu Facebook anataka kujua kabila langu
Bac akajifanya mjanjaa et akaniuliza mbu kwenu mnawaitaje
Mimi nkamjibu hatuwaiti wanakujaga wenyewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Si kwamba cjamuelewa ila sipendagi Ujinga Mimi
 
Mwanafunzi wa kike wa form 3 kaniuliza swali eti kwa nini sperm ni nyeupe? Nlipoona sina upepo kulijibu nkamgeukia nkamuuliza ulizionea wapi ww mwanafunzi !? [emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
saiz kesi ipo ofic kuu staki ujinga mmimi!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] [emoji119]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…