[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ukiona Mzungu anamfungulia mke wake mlango wa gari ujue ni Mapenzi, Ukiona hili kwa Mbongo Ujue Mlango wa gari Mbovu. ..
[emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23]
Mh Lugha ina ukakasi mnoNilitaka kustaajabu, serikali isiyoweza kukamata wasiojulikana wanateka hadharani leo iweze kukamata mashoga wanaofirwa mkunduni mafichoni[emoji3][emoji3]
hahhahaahahahahahaaaa
dah haiwezekani,itakuwa hizi story zetu za kawaida(konkii)I just wonder what Mortuary Attendants discuss during their Free time...Work related issues..??
[emoji23][emoji23][emoji23]
*Ukienda Kwa fundi nguo utakuta* *vitambaa kibao chini*
*Hata saluni pia kuna nywele nyingi chini*
*Lakini nenda Benk ata mia mbili hukuti yani ile peni pia imefungwa kamba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]