Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ukiona Mzungu anamfungulia mke wake mlango wa gari ujue ni Mapenzi, Ukiona hili kwa Mbongo Ujue Mlango wa gari Mbovu. ..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ukiona Mzungu anamfungulia mke wake mlango wa gari ujue ni Mapenzi, Ukiona hili kwa Mbongo Ujue Mlango wa gari Mbovu. ..
[emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23]
Mh Lugha ina ukakasi mnoNilitaka kustaajabu, serikali isiyoweza kukamata wasiojulikana wanateka hadharani leo iweze kukamata mashoga wanaofirwa mkunduni mafichoni[emoji3][emoji3]
hahhahaahahahahahaaaa
dah haiwezekani,itakuwa hizi story zetu za kawaida(konkii)I just wonder what Mortuary Attendants discuss during their Free time...Work related issues..??
[emoji23][emoji23][emoji23]
*Ukienda Kwa fundi nguo utakuta* *vitambaa kibao chini*
*Hata saluni pia kuna nywele nyingi chini*
*Lakini nenda Benk ata mia mbili hukuti yani ile peni pia imefungwa kamba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]