Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
Weuwee namba moja wameshika boda boda,jamaa wanakamata kilaini wake za watu,wanafunzi nakadhalika
Imenibidi nicheke tu ..... Hahaaaaa teh tehkwa kifupi unataka tujue kuwa na wewe unaweza badili rangi za maandishi,huna lolote
[emoji23][emoji38][emoji28][emoji44][emoji33]Sijui kwanini wanawake wagumu sana kuelewa. Mke wangu aliondoka nyumbani na kumwacha mtoto wetu Wa kiume Wa miezi 6 akilia mnooo. Dada Wa kazi akambembeleza weeee hakunyamaza. Akamwimbia hakunyamaza. Akaamua kutoa nyonyo zake na kumpa mtoto. Mwanangu akanyamaza pale pale. Akiwa anamnyonyesha Mimi nikaingia. Nikamuwakia dada. " unataka kumuambukiza mtoto magonjwa?[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35] [emoji35]. "Hapana baba hayatoi maziwa Mimi nimempa tu anyamaze!!" . " kweli hayatoi?". Nikaamua kuthibitisha. Nikamtoa mtoto na nikawa nanyonya Mimi. " ahaa kweli hayatoi. Hebu hilo kingine! Nalo halitoi?. Mara wife kaingia.nikamwambia kuwa nafanya uchunguzi Wa nililolikuta. Hakuamini. Hebu niambieni. Wapi nimekosea? Kufuatilia afya ya mtoto ni kosa? Wanawake acheni hizo!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
[emoji195][emoji195][emoji195][emoji195]SIPENDI TABIA HII MIMI
*Hakuna kitu kinachonikera kama mwanaume kumfuata msichana inbox iwe fb whatsapp, inta au jf na kumuomba namba ya simu. Kama wewe ni msichana na unakerwa na hii tabia kama inavyonikera mimi, NITUMIE NAMBA YAKO YA SIMU INBOX* tujadiliane tuone ni kwa namna gani tunaweza *kulikabili hili tatizo*!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unadhani kiboko kinaweza kuondoa stressHii thread kiboko
[emoji47][emoji344]Hivi wale wanaume wanaotoboa masikio na
kusuka nywele ndio wanaitwa LADIES AND
GENTLEMEN? [emoji23][emoji23] [emoji125][emoji125]
Itakuwa ndio niliyekutana nae pale kichochoroni. Akikuwa na chupa yake ya konyagi mkononi, nami nilikuwa na mzinga nimeshikilia akaniuliza: NAJIONA KWENYE KIOO AU.... mimi nikajibu: HATA MINI NASHANGAA KIOO KINAZUMGUMZA....Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagonga mlango wake takribani masaa mawili,wakati hapa anaishi peke yake, kwakuwa sipendagi ujinga nimetoka nikamwambia mwenyewe kasafiri.Nae kaondoka.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] pombe siyo chai!!
Unakasirika lakini unapotezea maana unakumbuka ulinunua mawili.Halafu ukirudi kulichukua unakuta mwingine kajipaka usoni!!
''Kausheni bangi kabla ya kutumia"
Mkuu umenifanya nicheke sana asubuhi hii Nina bro shabiki wa arsenal akiona hivi da!Basi Bayern Munchen walivo na roho mbaya,utawaona mwakani na wao watatolewa kwenye makundi ili mradi tu wakacheze na Arsenal Europa[emoji51][emoji51][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23]
Pombe siyo uji...nadhan mmoja wenu atakuwa huyu baada ya kuachana[emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Itakuwa ndio niliyekutana nae pale kichochoroni. Akikuwa na chupa yake ya konyagi mkononi, nami nilikuwa na mzinga nimeshikilia akaniuliza: NAJIONA KWENYE KIOO AU.... mimi nikajibu: HATA MINI NASHANGAA KIOO KINAZUMGUMZA....
Sasa hivi ndo nagundua kweli sisi vyapombe hatuna akili nzuri
😀😀😀😀Pombe siyo uji...nadhan mmoja wenu atakuwa huyu baada ya kuachana[emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hshahaaaa,,, alibakari punguza viroba na sigara,,njaa itakuua bure…!!!
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125]
Hshahaaaa,,, alibakari punguza viroba na sigara,,njaa itakuua bure…!!!
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125]
Naacha hivi karibuni, mwezi wa mfungo umefika[emoji120] [emoji120]Hshahaaaa,,, alibakari punguza viroba na sigara,,njaa itakuua bure…!!!