Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

wewe mwanaume unaetumia smartphone yenye miaka 2 na mpaka sasa haina kleki hata moja nna wasi wasi na jinsia yako

[HASHTAG]#WapostPumba[/HASHTAG]​
 
sasa itakuwaje wale watoto wa kichina kule kigamboni maana daraja limeisha tayari na wachina washaenda kwao

[HASHTAG]#WapostPumba[/HASHTAG]​
 
wewe mwanaume unaetumia smartphone yenye miaka 2 na mpaka sasa haina kleki hata moja nna wasi wasi na jinsia yako

[HASHTAG]#WapostPumba[/HASHTAG]​
Oya unatutusi sasa, we vp? Mi yangu haina crack wala haijavunjika si utunzaji wangu tu!
 
Relationships siku hizi tunaingia na shifts kama watchman ukiambiwa GOODNIGHT at 8.00 Pm kuna mwenye anaambiwa "Sasa my love" at 8.01Pm.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
jana nmetoka kuangalia movie ya kivita,na mm nkajiona kama nmeshakua stering vle..nkachkua mwiko nkatokea nao barabaran nkasimamisha difenda la FFU nkawauliza mnatoka wapi na mnaenda wap?
Hadi sasa hivi nupo kitandan napewa matibabu, @@@AKILI YANGU NAIJUA MWENYEWE!!!!...
😀😀😀😀
 
Leo baba mwenye nyumba alikuja nyumban kwangu mazungumzo yakawa hivi…
Baba: habari za leo kijana
Mimi:safi mzee shikamoo
Baba: marhaba, kijana mbona tarehe zishapita naona kimya
Mimi: vipi uzioni siku zako?

Saivi anatoa vyombo vyangu nje naisi ananisaidia kufanya usafi.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
hahahahaha daaah hii ni hatari
 
Nimeingia kwenye daladala naelekea Buguruni, kucheki kwenye side mirror, nimemuona dereva kapaka wanja machoni then macho yako mazuri kinoma[emoji13] [emoji13] wakati nashuka kwenye gari ikabidi nijisogeze mbele ili nimcheki vizuri, nikakutana na jamaa kajazia ana mimacho mikubwa na ya kutisha! kumbe pale mwanzo nilikuwa naangalia sticker zile za binti anayeonekana macho[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Muuza maziwa kaja kunigongea mlango asubuhi mapema na kuniambia leo ana maziwa mazuri sana, nikamwambia nipatie lita 5, wakati ananipimia ile kuyacheki nikakuta maziwa kama yana mafuta ikabidi nimuulize;
Mimi: Hivi haya maziwa si itakuwa ya ngombe jike?
Muuzaji: Inawezekana kabisa ikawa hivyo, ulijuaje?
Mimi: Si nimeona yana mafuta
Muuzaji: Itakuwa ya ng'ombe jike haya, hata mimi nimeona

Alipoondoka ndio ikabidi nicheke tu maana kumbe sote tulivuta bangi asubuhi.
*hakuna maziwa ya ngombe dume[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
kuchekesha ni kpaj jaman
 
Never forget when Coutinho said,"i left liverpool to win champions league"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kimahesabu hata Arsenal anaweza kuwa bingwa. Kwa mfano, Man city, wakigomea kucheza mechi zote kisa refa kawaonea kwenye game ya derby, wanafungiwa na kunyang'anywa points zote, kisha Man U afungwe mechi zote zilizobaki. Halafu mechi ya Chelsea na Liverpool, wachezaji wa chelsea na Liverpool wampige refa!

Arsenal bingwa kiulainiiii!!!

Ndoto tamu hii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kimahesabu hata Arsenal anaweza kuwa bingwa. Kwa mfano, Man city, wakigomea kucheza mechi zote kisa refa kawaonea kwenye game ya derby, wanafungiwa na kunyang'anywa points zote, kisha Man U afungwe mechi zote zilizobaki. Halafu mechi ya Chelsea na Liverpool, wachezaji wa chelsea na Liverpool wampige refa!

Arsenal bingwa kiulainiiii!!!

Ndoto tamu hii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We Numbi unamatatizo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
WAFU wawili walikuwa wakipiga story huko...r.i.p
Mfu 1😱y
mfu 2😱yo
mfu 1:mwenzangu ulikufaje?
mfu2:story ndefu,kwa kifupi niliingia kwenye friji ikajiloki nikakosa hewa nikaganda nikafa!
mfu 1:duh inasikitisha
mfu 2:we ulikufaje?
mfu 1:mshtuko wa moyo
mfu 2;tobaaaa,chamno?
mfu 1;nilirud nyumban ghafla nikakuta viatu vya mwanaume sebuleni,na vile wife alivokuwa na waswas nikajua kuna mwanaume ndani,nikazunguka nyumba nzima chumbani choon bafuni jikoni,lakini ckumuona,nikapatwa na mshtuko wa moyo nikafa!
mfu 2:ayaaaaaa ungefungua friji tungekuwa hai wote leo!!
Da kubabena
 
Umewahi miss mtu mmekosana hadi unaamua kumtext,...."gffrtsrrrrgfxvn akikuuliza ni nini?? Unamwambia ilijifinya kwa mfuko[emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23]
 
Wanaume wa Dar mkiitwa kwa RC Makonda kuhusu kutelekeza watoto, tumia hizo points [emoji116][emoji116][emoji116] [emoji21][emoji21] utashinda tu kesi..

Land alienation -matajiri walinunua ardhi tukakimbilia dar, baada ya kukosa ardhi ya kulima.

Forced Labour -tulifanyishwa kazi ngumu kiasi kwamba tukakosa wanawake wa permanent, tukazaa na tukahamishwa eneo lingine la kazi.

Low wages -mshahara ilikuwa midogo hii ilisababisha kutotimiza majukumu yetu ya kuwalea watoto wetu.

Poor technology-hii imesababisha kukosa mawasiliano kwa wakati kiasi kwamba tukitaka kuwasiliana na watoto hadi tupande juu ya Miti.

Poor infrastructure - ilisababisha tupate tenda ya kujenga barabara, na kila tulipopita tuliacha Mtoto.

Lack of education- hii kwa upande wa kina Dada imewasabashia kutokujua kalenda zao vizuri, hii imesababisha mimba kutunga bila wao kujua.

Unemployment-kutokana na kuwa sina kazi ya kueleweka hii imesababisha kutotimiza majukumu yangu.

Taxation-kodi ya bidhaa imekuwa kubwa hii imepelekea kufunga biashara zetu ambazo tulikuwa tunapata chochote.

Yaani hizi points huwa hazikataagi swali ..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
 
Back
Top Bottom