Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Tusitegeane kula hizi pisi ni nyingi sanaMbunye zipo nyingi tugawane bila choyo. Nimetoka Kariakoo sshv nimekutana na mbunye kibao. Nimepita Mlimani City pale zipo kibao. Nipo Mbezi sshv zipo kibao. Ni swala la kuchukua moja unaisugua then unaiacha shambani wengine wale
Mda huu tayari angetakiwa kashamchoma motoJamaa yangu hapa kachoka, mtoto wa kwanza wakwake, wa pili sio wakwake. Mke wake Alisha gegedwa na rafiki yake na kuzalishwa
Hii tabia ya kwenda mageto ya wanawake acha mzee babaKuna dem nimewai kukutana nae. Dem alikua amepanga anaishi mwenyewe. Baada ya kumtongoza na penzi kusogea sogea mbele, nikaenda geto kwa siku moja usiku, kweli nikamkuta mwenyewe, stori kadhaa, nikapiga nikasepa. Ikawa tabia, kwa wiki lazima niende mara mbili au tatu, mana mi sina geto naishi hom. Dem nimepiga sana na alikua ananielewa sana. Ila dakika za mwisho dem nashangaa siku moja ananipa onyo kwamba saivi usiwe unakuja bila taarifa maana mme wangu wamekuja. Niliishiwa nguvu. Ni kitu ambacho alikua hajawai kuniambia hata siku moja. Tangu siku hiyo sijawai kumjibu sms wala kupokea simu zake. MADEMU[emoji1430]
Yah siwezi kurudia tenaHii tabia ya kwenda mageto ya wanawake acha mzee baba
Itaku cost
Bwashee umegongewa demu na wajuba?Asilimia kubwa (zaidi ya 95%) ya wanawake wa leo wana wanaume zaidi ya mmoja. Usidanganywe na uzuri, dini, kabila, upole nk. Hivyo fahamu kuwa, kila demu anayelika unayekutana naye;
βοΈKuna wanaume wapya anakutana nao wanaomuwazia mipango ya kumfunua sketi,
βοΈKuna wanaume wengine anajuana nao na wameshamuwekea mitego ya kumla kimasihara au kwa yeye kutaka, hivyo ukimuona tu ujue kuwa anaweza akaliwa baada ya robo saa, nusu saa, masaa kadhaa, kesho, keshokutwa, wiki ijayo nk
βοΈKuna wanaume wengine wameshakula, (lbda jana, juzi, wiki iliyopita nk) bado wanatetea nafasi tu.
β Tumia akili ya hali ya juu pale unapojiwekea nafasi kwa mwanamke yeyote ili uwe salama katika hii ligi.
Tumia kinga, uwe flexible kuachwa, usiwe na wivu, usimpe attention yako sana kiasi cha kuyasahau maendeleo yako katika nyanja zingine za maisha.
NOTE: Ni asilimia ndogo sana ya wanawake ( even below 5%) walio na mtu mmoja.
Vipi yule uliyemng'oa humu sijamuona kwenye nyuzi muda mrefu, mahadow sidhani kama nimepitia jina lake yupo safi? Naona umeechia wengine wavune asaliTatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
IlishajeHih inanikumbusha tukio moja kuna manzi mmoja nilimuelewa sana bahati mbaya siku moja wakati kaja ghetto naichakata mbususu usiku wa saa sita akapiga jamaa wakati huo cm yake nilikuwa nimeishika nikaipokea kupokea alikuwa jamaa ambae nikagundua alikuwa jamaa yake, yule jamaa akataka kuwa mkali nikamtuliza mana hata mimi iliniuma kimtindo ila nilipo ona jamaa kaumia zaidi nikapata nguvu, kuona jamaa ameumia nikamwambia acha kujipa pressure ameamua mwenyewe kujifanya kama kiwanja unacheza wew muda huu then badae anakuja mwingine, demu kumbe alikuwa anasikia akanimaindi akataka kwenda kw jamaa lakin jamaa ndiyo akawa hamtaki kabisa na mwisho akajiona mjinga mwenyewe namim sikumuonyesha chochote kama nimemaindi nilikuwa normal tu.
π π π π Uliyaepusha marinda yako mkuuKuna dem nimewai kukutana nae. Dem alikua amepanga anaishi mwenyewe. Baada ya kumtongoza na penzi kusogea sogea mbele, nikaenda geto kwa siku moja usiku, kweli nikamkuta mwenyewe, stori kadhaa, nikapiga nikasepa. Ikawa tabia, kwa wiki lazima niende mara mbili au tatu, mana mi sina geto naishi hom. Dem nimepiga sana na alikua ananielewa sana. Ila dakika za mwisho dem nashangaa siku moja ananipa onyo kwamba saivi usiwe unakuja bila taarifa maana mme wangu wamekuja. Niliishiwa nguvu. Ni kitu ambacho alikua hajawai kuniambia hata siku moja. Tangu siku hiyo sijawai kumjibu sms wala kupokea simu zake. MADEMU[emoji1430]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Kinachokuja kuumiza ni ile trust fake alioitengeneza kwako ili umuamini ni mgumu kugegedeka dah[emoji26] kumbe wenzio wanambuluza mpaka mitaroni we mixture kumgharamia.god save us
Kweli, ila kujua kuwa mtoto ni wako au siyo wako ni uamuzi binafsi tu wa mtu. Ukiamua kujua utajua.Ashukuru Mungu hata huyo wa kwanza kuwa wake
Sikumbuki mbona...Vipi yule uliyemng'oa humu sijamuona kwenye nyuzi muda mrefu, mahadow sidhani kama nimepitia jina lake yupo safi? Naona umeechia wengine wavune asali
hahahhKuna msela wake waliachana bila kugombana wakikutana Wana nafasi kubwa ya kupasha kiporo
Yeah ndio ivyo ful zile mwenzio naogopa Mara sijazoea Mara mama mkaliHapo ni ile unakua bado huna unlock kama wenzio
π π π π π SawaSikumbuki mbona...
Tayari huko Tena.....dah! Mwaka wetu huu, pole Mjukuu
Demu alikuja kupaniki eti akaja ghetto akawa anatafuta sababu iwe chanzo chakutemana mana alishajijua yeye ni fala kwa anayofanya kila akitafuta sababu anatoka kapa akampigia jamaa wakazinguana na wakawa wanafokeana sana mwsho akamtakia jamaa eti " sikutaki" mm nikabaki kama sielew busy na simu yangu but silently nipo makini nae, ila nilimpotezea badaee anamaisha yake nami na yangu ila haishi kujikomba ila jamaa ndy aliniangusha alishindwa kuplay part yke tungemchezesha ndomboloIlishaje