Kama una zaidi ya watoto wanne, na unaishi mjini, kuna ushauri wenu hapa

Kijana kama amemaliza elimu yeyote fukuza asikae nyumbani,ukiendekeza huruma utakuja kufukuzwa wewe..
 
Umeongea kitu kikubwa sana...maisha ya mjini kama huna vyanzo vya uhakika vya kipato ni bora kurudi kijijini kulima,una kuta familia watoto 5,na mtafutaji ni baba peke yake,anaondoka saa 10 kasoro usiku kurudi saa 4/5 usiku daily, hapo baba akilala chini familia lazima iyumbe.
 
Kuna wakati unakutana na mzee barabarani amepigwa na jua la utosi, huku akiongea mwenyewe; kumbe changamoto anatakiwa familia ipate mkate wa kila siku
Hatari unarudi home unakutana na stress kubabake 60 hutoboi
 
Wakiwa wengi, wanakuwa kama mifugo; asubuhi wale, mchana wale, usiku wale, matibabu, mavazi..na uwahudumie kwa miaka 30, na bado hawajaanza kuzalisha; na hata wakizalisha wanaweza wasikukumbuke
Ila hata wasipokukumbuka na wao karma lazima itambae nao na wao watazaa halafu watelekezwe
 
Kijana kama amemaliza elimu yeyote fukuza asikae nyumbani,ukiendekeza huruma utakuja kufukuzwa wewe..
Kwani walituma barua kuwa wanataka kuja duniani au ni nyegezi zako tuu,
Lazima watoto unazaa kwa miaka hii uwatengenezee mazingira ya kujiendeleza Otherwise ndiyo tunazalisha panya road na s
Dada poa wa kutosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…