Kama una zaidi ya watoto wanne, na unaishi mjini, kuna ushauri wenu hapa

Kama una zaidi ya watoto wanne, na unaishi mjini, kuna ushauri wenu hapa

Tulipokwepa kulima ndipo tukachagua maisha haya ya kulipia bili za kilimo. Pesa nyingi huenda kwenye chakula.

Shida ni moja, kwa vijijini wanawake wanashiriki kwa 100% katika uzalishaji wa hayo mazao ya kilimo na wanaume zao so maisha yanakuwa sio mzigo kwa upande m'moja. Ila huku mjini, mwanaume ndie bread winner kwa 100% ndio maana ndoa zinavunjika siku hizi maana wameshtuka kuwa wanageuzwa punda wakati mwanamke anachopata ni nadra sana kuchangia pato la familia (sio wote).
 
Tulipokwepa kulima ndipo tukachagua maisha haya ya kulipia bili za kilimo. Pesa nyingi huenda kwenye chakula.

Shida ni moja, kwa vijijini wanawake wanashiriki kwa 100% katika uzalishaji wa hayo mazao ya kilimo na wanaume zao so maisha yanakuwa sio mzigo kwa upande m'moja. Ila huku mjini, mwanaume ndie bread winner kwa 100% ndio maana ndoa zinavunjika siku hizi maana wameshtuka kuwa wanageuzwa punda wakati mwanamke anachopata ni nadra sana kuchangia pato la familia (sio wote).
Kuna wakati unakutana na mzee barabarani amepigwa na jua la utosi, huku akiongea mwenyewe; kumbe changamoto anatakiwa familia ipate mkate wa kila siku
 
Kama wewe ni muajiriwa, na una watoto wanne nakuendelea, na unaishi mjini, fanya yafuatayo:-​
  • Tafuta chanzo kingine cha mapato, iwe biashara, udalali n.k​
  • Tafuta shamba ulime, au nunua chakula kwa wingi pale kinapokuwa kimeshuka bei na uweke stock, ili kuweza kupata chakula cha kutosha; haya mambo ya kwenda supermarket kuhemea kila siku, hayakufai tena​
  • Kama huna marupu rupu mengine, angalia namna ya kuwekeza mikoani/vijijini​
  • Usiendelee kukaa na kijana hapo mjini akiwa jobless huku akiwa na zaidi ya miaka 26​
  • Kama ulikuwa hujaweka kibanda, anza kupunguza vitu visivyokuwa vya muhimu, ufanye vitu vya msingi.​
  • Achana na mambo ya starehe kabisa​
Kutokana na ukubwa wa familia, ni sawa na viwavi jeshi kuvamia gunia la mahindi -hela itakuwa haikai, inaingia kwa spidi ndogo, na kutoka kwa spidi kubwa.

Asubuhi -kama utawapa chai nzuri, elfu 20 itakata
Mchana - kama umewapa chakula kizuri elfu 25 itakata
Usiku - Kama utawapa mlo mzuri elfu 25 itakata

Kwa siku utakuwa umetumia shilingi elfu 70, mara mwezi mmoja, utakuwa umetumia milioni 2 kwa chakula tu.

Wenzetu vijijini, wanaweza hayo kwa sababu, watawalisha viazi, makande n.k na vyote hivyo vinakuwa vimetoka shambani walipo lima.

Kwa leo ni hayo tu; njooni kwa mjadala.
Umeandika kama ni rahisi vile !!!
 
ushauri mzuri ila hapo pa 70 per day mhh kuna utata familia za kawaida chai haizidi hata 2000 sasa huo chai ya 20k ni chai ya mifupa ya watu ama. kuwa realistic kwenye makadirio yakohyo mtu kama anakata 2m kwenye msosi analipwa bei gani? na unapozungumzia kula vizur unamaana gani kwakua hata ukihitaj mlo kamili kwa familia hiyo bado hutazidi 15k kwa mlo mmoja
 
Familia ya mjini inayokunywa chai ya 2000 lazima watoto wadumae akili.
ushauri mzuri ila hapo pa 70 per day mhh kuna utata familia za kawaida chai haizidi hata 2000 sasa huo chai ya 20k ni chai ya mifupa ya watu ama. kuwa realistic kwenye makadirio yakohyo mtu kama anakata 2m kwenye msosi analipwa bei gani? na unapozungumzia kula vizur unamaana gani kwakua hata ukihitaj mlo kamili kwa familia hiyo bado hutazidi 15k kwa mlo mmoja
 
Kama wewe ni muajiriwa, na una watoto wanne nakuendelea, na unaishi mjini, fanya yafuatayo:-​
  • Tafuta chanzo kingine cha mapato, iwe biashara, udalali n.k​
  • Tafuta shamba ulime, au nunua chakula kwa wingi pale kinapokuwa kimeshuka bei na uweke stock, ili kuweza kupata chakula cha kutosha; haya mambo ya kwenda supermarket kuhemea kila siku, hayakufai tena​
  • Kama huna marupu rupu mengine, angalia namna ya kuwekeza mikoani/vijijini​
  • Usiendelee kukaa na kijana hapo mjini akiwa jobless huku akiwa na zaidi ya miaka 26​
  • Kama ulikuwa hujaweka kibanda, anza kupunguza vitu visivyokuwa vya muhimu, ufanye vitu vya msingi.​
  • Achana na mambo ya starehe kabisa​
Kutokana na ukubwa wa familia, ni sawa na viwavi jeshi kuvamia gunia la mahindi -hela itakuwa haikai, inaingia kwa spidi ndogo, na kutoka kwa spidi kubwa.

Asubuhi -kama utawapa chai nzuri, elfu 20 itakata
Mchana - kama umewapa chakula kizuri elfu 25 itakata
Usiku - Kama utawapa mlo mzuri elfu 25 itakata

Kwa siku utakuwa umetumia shilingi elfu 70, mara mwezi mmoja, utakuwa umetumia milioni 2 kwa chakula tu.

Wenzetu vijijini, wanaweza hayo kwa sababu, watawalisha viazi, makande n.k na vyote hivyo vinakuwa vimetoka shambani walipo lima.

Kwa leo ni hayo tu; njooni kwa mjadala.
Daaaah aiseee na hizi tozo hao watoto wanne si utaongea peke yako njia nzima.
 
ushauri mzuri ila hapo pa 70 per day mhh kuna utata familia za kawaida chai haizidi hata 2000 sasa huo chai ya 20k ni chai ya mifupa ya watu ama. kuwa realistic kwenye makadirio yakohyo mtu kama anakata 2m kwenye msosi analipwa bei gani? na unapozungumzia kula vizur unamaana gani kwakua hata ukihitaj mlo kamili kwa familia hiyo bado hutazidi 15k kwa mlo mmoja
Kuna kitu, wanaita 'standard breakfast', achana na hii ya kujaza matumbo
 
Back
Top Bottom