Msafirishaji
JF-Expert Member
- May 28, 2016
- 1,693
- 2,641
Hata laki haifiki mkuuHii commission umeipata baada ya kuzungusha kiasi gani cha mtaji? Mfano mtu aliyezunguza jumla ya sh 3,000,000/= kwa mwezi commission yake kwa mwezi inaweza kuwa kiasi gani?
mchawi location mkuu, mimi kuna naemfahamu anaingiza tigopesa pekee hadi M, na yupo kwenye banda tuhawa voda na tgo mbna wamepunguza kias cha commision lakn naona ww hapo unafikisha hadi 400k unafanyj fanyaje asee
Well, how is it my lady,Hello my King
Mtaji 300,000
Odds 1.10
300,000 x 1.10 = 330,000
Profit 30,000
NB; ndo nachokifanya tangu huu mwaka UANZE
huyu lazma yupo maeneo ya stendmchawi location mkuu, mimi kuna naemfahamu anaingiza tigopesa pekee hadi M, na yupo kwenye banda tu
safi sana inaonyesha una haso sanaUnalemewaje hata km luku inakusumbua?? Mm nnachafuka balaa ukiniona huwez jua ni mm..lakini nna amani moyoni najua napata nn...hii ni njia tu ya kuelekea ninapotaka...!ss kila siku unashinda saloon...ina maana gani ss..wanao unawatengenzea fyucha gan?umewah jiuliza ukifa wanao watasurvive vip!mm nikikumbuka hapo napata wazimu wa kuzitafta!
Mkuu kama huna muda wa kutaja huu wa kuandika umeupata wapi?Haina ukweli hii...
Unaweza ukawa na mtaji mdogo, ukawa unafanya biashara yenye bidhaa iliyo na uhitaji mkubwa na ukaingiza faida inayorudisha mtaji kwa siku...
Ipo mifano mingi tu sina muda wa kuitaja Kenzpuls
hiii siri natamani wanawake wenye mitaji wasiojua cha kuifanyia waijue
nilimpa X wangu hiii biashara katika vitu ananiambiaga "kwanini hatokaa anisahau,ni kumpa hii biashara"
biashara moja ambayo haijulikani na katika watu wote wataochangia huu uzi na watakaotoka na mawazo ya kuyafanyia kazi
hamna ataechukua hili wazo,ila kwa mwenye mtaji wa 1M na haina kazi ajaribu tu then aone balaa lake
Mtaani Wananiita BOSS MATOROLI au BOSS MIKOKOTENI
chambua post by Post nimeshasema mbonaMbona husemi toroli moja ni sh ngapi kutengeneza?
chambua post by Post nimeshasema mbona
huwa sirudiii majibu Dina
si mimi tu kuna mwingine nae alishasema kuhusu hilo
Put ur effort on reading page by page Utakutana na
mchanganuo wa jinsi ya kufanya....
Mkuu,NiPM Nikwambie Kitu !
Tuweeke link kwa ambao hatukuona huo uziNimewahi kutoa uzi kuhusu samaki na maziwa. Miminatumia mtaji wa 60000 kwa siku usafiri 4000 nakunja 33000 kwa siku kama faida
Post zake zimetulia, nimejifunza kitu...harakati zake nazifananisha na za LaraNishaonaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wewe post zako
Huu Uzi nimeuona wakati sahihi, nilikuwa nahitaji sana ABC za hii biashara.Miezi miwili iliyopita nilikua najihusisha na biashara ya vipodozi vya usoni vya wanawake..nilikua natumia mtaji wa tsh 30000 kwa siku nilikua naweza kupata wateja si chini ya 5 hadi 6 na kila bidhaa nilikua nauza 30000.. kwahiyo nilikua napata hadi laki na nusu faida..ila tatizo ilikua inachosha Sana na nilivyopumzika ndiyo nikapumzika mazima.
Yah Ndo Hivyo Nishaziona Sasa Naangalia Atabadikishaje Ionekane WinZishaunguaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Je ukiwa na sehemu ya massage inakuajeHakuna chenye faida kama Guest house.Tatizo ni mtaji tu...
Nimebadilisha nyumba ya kupanga (ya urithi)ikawa guest house.Ilikua na room 12.Mbovu mbovu tu.kwa siku nilikua napata zaidi ya 90k.Saiv nimekarabati naingiza zaidi.Nina mpango wa kujenga ingine
Kwahiyo saa hiv una danga ama?Miezi miwili iliyopita nilikua najihusisha na biashara ya vipodozi vya usoni vya wanawake..nilikua natumia mtaji wa tsh 30000 kwa siku nilikua naweza kupata wateja si chini ya 5 hadi 6 na kila bidhaa nilikua nauza 30000.. kwahiyo nilikua napata hadi laki na nusu faida..ila tatizo ilikua inachosha Sana na nilivyopumzika ndiyo nikapumzika mazima.
Na vumbi la mkongo pia... [emoji23]Misosi na mikorogo ndiyo inayolipa kwa sasa