Ina maana watu wanakula kitimoto dailyMim nadeal na kitimoto aise kila nikiuza kila 10 faida yake ni 40000 kwa vile mm nitanunua kwa mchinyajiji buku 5 kwa kilo mim nitauza kwa elfu 9000 kwa kilo hvyo huwa nikiuuza kilo 30 kwa siku ckozi faida ya laki moja kwa siku mtaji wa kilo 30 ni laki na 50 hvyo ikipata ofc au pahala hakikisha anzisha business hii laki kwa siku mim huwa ni kawaida ...nawasilisha kama unaitaji maelezo zaid check me DM /pm nitakupa abcd
mkuu hongera sana, mimi nimeweka m 3 tu kila ofisi, na nimefanya hivyo kwa sababu nina laini binafsi za float, wakipata mteja wananishtua fasta nawatumia salio. Halafu pia eneo nilipo ni rahisi sana kupata cash au float, mawakala tunasaidiana, pia mawakala wakuu wapo, unawapigia wanakutumia fastaBiashara hii haingalii wingi wa fedha ulizo nazo, inategemea sana mzunguko wa fedha kwa eneo husika. Kuwa na fedha nyingi kunakupa faida ya ziada kwa maana hakuna hela ya mteja utakayoikosa na kingine miamala ya fedha nyingi ndio yenye commission kubwa.
Kila ofisi yangu moja nimeweka 8m.
Kwenye huu uzi kuna sura hivi
hv mawakala huwa mnakabiliana vp na hawa matapeli mfano mtu anakuja kudeposit pesa afu anakupa noti feki (unatumia njia gan kutambua noti feki)Biashara hii haingalii wingi wa fedha ulizo nazo, inategemea sana mzunguko wa fedha kwa eneo husika. Kuwa na fedha nyingi kunakupa faida ya ziada kwa maana hakuna hela ya mteja utakayoikosa na kingine miamala ya fedha nyingi ndio yenye commission kubwa.
Kila ofisi yangu moja nimeweka 8m.
Ngoja niwape udaku huu,nakumbuka miaka ya 2007 sikuwa na mtaji wa keshi isipo kua nilikua na ufundi wa simu,ambao nilifundishwa na jamaangu mmoja anaitwa masasi alikua fundi mzuri sana asie na uchoyo....wakati nikijifunza kazi hiyo ofcn kwake alikua akiingiza sio chini ya laki 1 mbaka zaidi hii ilini fanya nijitume kujua kazi hiyo vema.nilipo jua ndipo nikakopa vitendea kazi nikaanza kazi mdogo mdogo kwa kwwli elf 20 paday mbaka 40 sikukosa hapo ndipo nilipo tokea
Mkuu nipe mkataba Bajaj mojaMimi kamtaji kangu ni 60m kwa siku nakunja 300,000 iliyosimama
popote inalipakwa aliyefanya hii biashara mikoani atupe uzoefu wakuu
Shukrani mkuu, acha tukomae tu maana serikalini kwenyewe tumeajiriwa mishahara haikutani. Hakuna namna.mkuu hongera sana, mimi nimeweka m 3 tu kila ofisi, na nimefanya hivyo kwa sababu nina laini binafsi za float, wakipata mteja wananishtua fasta nawatumia salio. Halafu pia eneo nilipo ni rahisi sana kupata cash au float, mawakala tunasaidiana, pia mawakala wakuu wapo, unawapigia wanakutumia fasta
Maelezo gani ndugu unaitaji nifafanue?
Kwa kawaida ukishazioea noti, ikipita bandia mikononi mwako haushindwi itambua. Ukiingalia hologram iliyopo ktk noti inatosha kuitambua. Hao wezi wengine mara nyingi kama umekiuka misingi ya kazi hii. Huwa tunafundisha wakishazoea ni nadra sana kuibiwa. The last time kuibiwa ni February 2017, TSh 800k, ila ulikuwa ni ushirika wa mfanyakazi wangu na rafiki yake wa nje walishirikiana.hv mawakala huwa mnakabiliana vp na hawa matapeli mfano mtu anakuja kudeposit pesa afu anakupa noti feki (unatumia njia gan kutambua noti feki)
na pia kuna wale matapeli wanakuja wanakutumia sms kiujanja kwamba wamewithdraw kumbe hamna ktu, pasipo kujua ww unawapa hela wanasepa badae kuangalia salio unakuta hamna ktu
Kwa kawaida ukishazioea noti, ikipita bandia mikononi mwako haushindwi itambua. Ukiingalia hologram iliyopo ktk noti inatosha kuitambua. Hao wezi wengine mara nyingi kama umekiuka misingi ya kazi hii. Huwa tunafundisha wakishazoea ni nadra sana kuibiwa. The last time kuibiwa ni February 2017, TSh 800k, ila ulikuwa ni ushirika wa mfanyakazi wangu na rafiki yake wa nje walishirikiana.
Mkuu nipe mkataba Bajaj moja
Ooh nimeona avatar yako hapo nikajiongezaSina bajaj mkuu,nina magari tu
Nishawahi kufanya deep conversation na two most successful businessmen, mmoja ana sheri za Mafuta na maroli mwengne anamaduka ya hardware na anamaroli, pia nmetoka kuhitim elimu ya utawala biashara, hivo matumizi ya imani hayaingiliani kabisa na issue za location na changamoto zingne, in short uchawi kwenye business upoHiyo mindset ndio tatizo la wengi. Kuamini biashara lazima uchawi au mchungaji akuombee ni potofu. Siri kubwa ni eneo sahihi kwa huduma sahihi na mtegemee MUNGU.
Linapokuja suala la ushindani hapo ndipo unapaswa kuwa makini. Mteja anapenda anapofika umthamini kwa kumuona yeye ni wa muhimu mpe attention, fanyia kazi mapungufu yoyote watakayo kuambia. Hivi wangapi mmewahi hata kuweka Kisanduku cha maoni ya wateja wenu hasa kama wewe ukai katika biashara yako? Kama uweki ina maana unaamini biashara yako ni perfect kitu ambacho ni kosa kubwa.
Achana na wachawi, wenyewe watakugeuza fursa faida yote irudi kwao mwisho utayumba. Lakini pia kila utakapopata majaribu hutoamini kama ni challenge za biashara.
hapana sio lazma uwe umesoma science...kikubwa uwe na mtu aliesomea mambo ya madawa (pharmacy) afu mengne yote inawezekanaHivi kupata leseni ya duka si mmiliki inabidi uwe umesoma science?
Ooh nimeona avatar yako hapo nikajiongeza
Mkuu vitambulisho vya machinga vinapatikana wapi?Bila samahani mkuu
Unaenda TRA unawambia biashara uliokua unaifanya umefilisika so umefunga unatafuta mtaji upya
Wataaangalia kama wanakudai utalipia viporo vyako then TIN inasimama
ukirudi huku unaendelea na kazi zako ka kutumia kitambulisho cha machinga
Kama ulikua unaduka kubwa itabidi ulipunguze uwape vijana wakatembeze vitu kama machinga
ili duka libaki kiduchuuu na kamtaji kanakoonekana kanasua sua
Usijaze tena duka (hii inategemea ni biashar gani ulikua unafanya)