Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

kama unataka biashara ya umachinga hiyo 30 kwa day inawezakana kaka tafuta chance karikoo mtaa wa congo mtaa wa msimbazi or agreey ukipata chance maana ziauzwa au kukodi mule barabarani.alafu uwe ata laki 8 mpaka m2 hiyo 30 unapata mapema sana biashara zipo nyingi kwenda kuchukua kwa wachina unatafuta kijana unamlipa kwa day.kukodi mule road inategemea kuna spece inategemea na location wanaanzia kwa siku 5000-15000.

Biashara mfano viatu all star au simpe zozote ukosi faida 2000 kwa pea moja ukichukua kwa mchina kuna jeans mashati t-shet au kama unajiweza kata mabegi ya mtumba.vijana wengi wa karikoo hilo eneo washajenga au wanajenga au utakuta anacho kiwanja ula ukiwaona utawaona kama wasio na kitu.unaweza ukafanya resech utaamini
 
Mim nadeal na kitimoto aise kila nikiuza kila 10 faida yake ni 40000 kwa vile mm nitanunua kwa mchinyajiji buku 5 kwa kilo mim nitauza kwa elfu 9000 kwa kilo hvyo huwa nikiuuza kilo 30 kwa siku ckozi faida ya laki moja kwa siku mtaji wa kilo 30 ni laki na 50 hvyo ikipata ofc au pahala hakikisha anzisha business hii laki kwa siku mim huwa ni kawaida ...nawasilisha kama unaitaji maelezo zaid check me DM /pm nitakupa abcd
 
Hivi mnachokaje jaman km unaingiza hela??.. Mie nimelazwaga mara 2...ukweli nilitoka kwa kushinikiza nikakakikisha namaliza dose na mlo mzuri...nikarudi kbaruani kama kawa..hapana jaman hela iheshimiwe!
Mm hapana aisee
dadake nakukubali sana michango yako mingi ni kutafta mkwanja tu yani hadi nakutamanigi hiyo spirit
 
Chumba ni buku 10.nina vyumba 12.Hapo napata 120k kila siku hapo bado kuna (short time)niko na mfanyakazi mmoja tu.30k

- vyumba vina vyoo ndani au vyoo vipo nje?
- ulitumia kiasi gani kuweka furnitures kama kitanda, viti, meza, TV, feni, neti na linen (mashuka, foronya)
- gharama ya umeme, maji, kufua mashuka, Kodi za serikali, mshahara ni kiasi gani kwa mwezi?
- unajaza vyumba vingapi (wastani) kwa siku?
 
Hakuna chenye faida kama Guest house.Tatizo ni mtaji tu...
Nimebadilisha nyumba ya kupanga (ya urithi)ikawa guest house.Ilikua na room 12.Mbovu mbovu tu.kwa siku nilikua napata zaidi ya 90k.Saiv nimekarabati naingiza zaidi.Nina mpango wa kujenga ingine
Sipend Kuwa Mnafiki Hili Ni La Kweli

Nishawahi Fanya Kazi Lodge Moj ipo Airport Kwa Siku Jamaa Alikuwa Analaza 150k Hapo Na Sisi Tushapita Na Kama 50 Hivi
 
Ngoja niwape udaku huu,nakumbuka miaka ya 2007 sikuwa na mtaji wa keshi isipo kua nilikua na ufundi wa simu,ambao nilifundishwa na jamaangu mmoja anaitwa masasi alikua fundi mzuri sana asie na uchoyo....wakati nikijifunza kazi hiyo ofcn kwake alikua akiingiza sio chini ya laki 1 mbaka zaidi hii ilini fanya nijitume kujua kazi hiyo vema.nilipo jua ndipo nikakopa vitendea kazi nikaanza kazi mdogo mdogo kwa kwwli elf 20 paday mbaka 40 sikukosa hapo ndipo nilipo tokea
Sasa Ongeza Na Ujuzi Wa Laptop
Kwa Siku utalala Na 200k

Mimi Nipo Huku Mkoan Napata Hadi 200k Per Day Nafanya Computer Na Simu

Sema Nina Vifaa Haswaa Ofisi Yangu Kam Mahabara Nina Mpak Microscope Nilinunua Ebay 1.2M Mpaka NIpata.

Now Nipo Namalizia Kupaua Ndugu.

WOTE MSIO NA AJIRA LAKIN UNAPENDA ELECTRONICS KOMAA NA COMPUTER AND PHONE REPAIR UTANIKUMBUKA

UPDATES:

Watu wananifuata PM Wananiuliza Watajifunzaje, Jamani Hivi Vitu Ni Practical Sana, Unahitaji Basic Knowledge Tu.

Na Yote Ipo Kwenye INTERNET Sijawahi Kufundishwa na Mtu Kuhusu Electronics Au Software Za Simu Na Laptop
Ni Kujifunza Then Unharibu Unasimama Mpaka Mwisho

Nilishazima Simu Kama 20 Za Watu, Ni Kweli Lakini Huwez Amin Kipind Hicho Nilijifunza Sana.

USIOGOPE, JITOE ANZA KUJIFUNZA.

Pita Hapa Upate Mwangaza Kidogo

 
Biashara zenye uwezekano wa kupata faida ya 30K kwa siku :
- Chakula na vinywaji (Grocery, Bar, Cafe, Mama Lishe, Mgahawa nk)
- Kibanda cha Chips. Unaweza Ongeza na bidhaa kama pizza, burgers, supu za pweza, chapati kwenye Kibanda chako.
- Banda la kuonesha Live Match, unaweka na uwakala wa mashine za Kubet, Onesha movies siku ambazo hamna mechi, uza na jezi za timu mbalimbali, uza magazeti ya michezo.
- Nunua TV 10 Kisha tafuta frem karibu na shule zenye msingi na sekondari eneo moja Kisha toa huduma ya Video Games
- Tengeneza mikokoteni au vitoroli vya chuma 10 Kisha uwe unakodisha (Eg: Tsh 4,000 kwa siku kila mmoja) hasa kwa vijana wanaobeba mizigo ya wateja karibu na Hardwares shops au wanapofyayua matofali.
 
Wote mliochangia nawapongeza. Njooni na wengine mchangie maana mpaka sasa nishapata ideas za kuwapa ndugu zangu waliofeli O level kwenye group letu la whatsapp. Si unajua kama ndo ulikuwa mjanja kijijini kwenu then ukafaulu unategemewa sana na classmates. "Nipe michongo uko,hakuna deal lolote ndugu yangu unisaidie,uku kijijini hakuna hela"[emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom