Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kwa asili unaonekana una roho mbaya sana.Wanawake kama hawa wanahitaji kutiwa moyo.vipi kama ni mama yako?
Anaomba ushauri,wewe unamwambia All the best.Sasa All the best kwenye nini??.All the best
Anaomba ushauri,wewe unamwambia All the best.Sasa All the best kwenye nini??.
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Sawa, Ahsante sanaFANYA biashara ya Fedha Mpesa Tigo pesa
FANYA biashara ya Fedha Mpesa Tigo pesa
Umeongea point sana, utajiri ni mchakato. Ukitaka vya haraka haraka hivi, karibu atalala kwenye mazindiko ya kwa msisi, hahaKijana taratibu!
Kwa muda wa mwaka Moja na miezi 6 umepata 2mil maana yake
Kwa mwezi kipato chako ni 125,000
Kwa siku kipato chako ni 4000
Kwanini Leo unataka uende gafla kwenye kupata 30000 kwa siku gafla kutoka 4000?
Maisha ya utafutaji hayapo hvo usifanye short cut!
Kuna watu hawakupata kihalali lakini wametoboa na wana maisha mazuri sana tu,kama ingekuwa hivyo madalali au wezi wasingetoboa.Kama umepata pesa kihalali kwa jasho lako utatoboa...
Tayari unauthubutu...
Ila kama hujapata kihalali sidhani..
Safi sana,ungempa na kaushauri Nini safanye mkuuKijana taratibu!
Kwa muda wa mwaka Moja na miezi 6 umepata 2mil maana yake
Kwa mwezi kipato chako ni 125,000
Kwa siku kipato chako ni 4000
Kwanini Leo unataka uende gafla kwenye kupata 30000 kwa siku gafla kutoka 4000?
Maisha ya utafutaji hayapo hvo usifanye short cut!
YapUpo maeneo gani, fursa zinatofautiana eneo na eneo. Biashara inachagua eneo pia
Hili wazo zuri sana,hata mimi naendalifanyia kazi,shukrani mkuuFungua kijiwe cha pombe,nyama choma,kongolo,supu.Utakuja kunishukuru.
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Ni ngumu kumshauri mtu ambae hajatoa taarifa zake vzr! Hii hela alipata akiwa kaajiriwa sehemu au unga unga mwana' za kitaa kama Mimi Leo ipo kesho hamna!Safi sana,ungempa na kaushauri Nini safanye mkuu
Unafanya sponsor ads?Nimepata chimbo ilo nachukua vicks lotion mkongo bei cheee mimi naziuza kwa buku tano
Ukweli kwa siku napata hata zaidi ya 30k
Wateja wengi huwa ni wa online
Unauza online au ?Nimepata chimbo ilo nachukua vicks lotion mkongo bei cheee mimi naziuza kwa buku tano
Ukweli kwa siku napata hata zaidi ya 30k
Wateja wengi huwa ni wa online