Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Kama umepata pesa kihalali kwa jasho lako utatoboa...

Tayari unauthubutu...

Ila kama hujapata kihalali sidhani..
 
Kijana taratibu!

Kwa muda wa mwaka Moja na miezi 6 umepata 2mil maana yake

Kwa mwezi kipato chako ni 125,000

Kwa siku kipato chako ni 4000

Kwanini Leo unataka uende gafla kwenye kupata 30000 kwa siku gafla kutoka 4000?
Maisha ya utafutaji hayapo hvo usifanye short cut!
Umeongea point sana, utajiri ni mchakato. Ukitaka vya haraka haraka hivi, karibu atalala kwenye mazindiko ya kwa msisi, haha
 
Kama umepata pesa kihalali kwa jasho lako utatoboa...

Tayari unauthubutu...

Ila kama hujapata kihalali sidhani..
Kuna watu hawakupata kihalali lakini wametoboa na wana maisha mazuri sana tu,kama ingekuwa hivyo madalali au wezi wasingetoboa.
 
Kijana taratibu!

Kwa muda wa mwaka Moja na miezi 6 umepata 2mil maana yake

Kwa mwezi kipato chako ni 125,000

Kwa siku kipato chako ni 4000

Kwanini Leo unataka uende gafla kwenye kupata 30000 kwa siku gafla kutoka 4000?
Maisha ya utafutaji hayapo hvo usifanye short cut!
Safi sana,ungempa na kaushauri Nini safanye mkuu
 
Nimepata chimbo ilo nachukua vicks lotion mkongo bei cheee mimi naziuza kwa buku tano

Ukweli kwa siku napata hata zaidi ya 30k

Wateja wengi huwa ni wa online
Unauza online au ?
Tume connection mzee tujaribu bahati
 
Back
Top Bottom