Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
- Thread starter
-
- #101
Ndio EVAWanawake wa bongo mama yao ni moja wote wana fanana, mbinu na kiasi cha mizinga ndo kina tofautiana
π€£ππππPiga picha umeshika kijiko tuone vidole vyako
MmhUpendo ni hisia , upendo ni kuamini upendo ni furaha huo ni upendo . Upendo ni uhuru ndio maana hata ukimpata umpendaye ni hiv vitu umeonak kwake
Mpende anae kupenda asiekupenda achana nae.Mie nipo single Kisa napenda kweli mpenzi wangu halafu yeye harudishi fadhila kwakweli .
Sasa kama upo kama mie njoo tufarijiane halafu kama unahonga hurudishiwi fadhila njoo ufarijike hapa kama unatoa marange, vitu vya kifahari unajikomba halafu urudishiwi fadhila njoo upozee hapa roho
πππSiti ya mbele kabisa dirishani upande wa dereva.
Leo nahisi kitanikuta kitu hapa JFπ€£ππ.
Naomba ndugu zangu mninyanganye hii teckno werevaπππ€£π¬π
π€π€πππ
Vipi nduguπ€π€
Kasafiri tayari nipo single hadi January ila February naenda geiShombe shombe wa Kijerumani kashafanya yake sio? π€
yesu na mariaApia kwanza ndo ntakuaminπ
KabisaHaiwezekani wote mpendane kwa usawa, lazima tu mmoja ateseke ili mdumu.
Lamba udongo halafu ufanye ishara ya kukata shingo ndo ntaaminyesu na maria
hakiyamungu sikudanganyi...nikikudanganya unanisemea kwa mamaLamba udongo halafu ufanye ishara ya kukata shingo ndo ntaamin
Mi nshakuamini ila mama yangu kaniambia nikikuona nikimbie huku napiga makelele.. tha thijui tufenyeje?hakiyamungu sikudanganyi...nikikudanganya unanisemea kwa mama
wee usinikimbie ili na mama athibitishe kuwa mimi nimwema.na mzuri kwakoMi nshakuamini ila mama yangu kaniambia nikikuona nikimbie huku napiga makelele.. tha thijui tufenyeje?
Utadhibitishaje kwa mazawee usinikimbie ili na mama athibitishe kuwa mimi nimwema.na mzuri kwako