Kama unaomba hivi, imani yako itashuka na utamchoka Mungu mapema

Kama unaomba hivi, imani yako itashuka na utamchoka Mungu mapema

Haya maisha haya yanatesa watu sana!!

Binadamu Hana furaha coz ya matatizo na mashaka!!

Dunia haikupaswa kuwa na shida zinazotufanya kuwa watumwa wa maombi kwa mamlaka yasiyoonekana kwa macho,

Maombi yenyewe kwa mamlaka yasiyoonekana ni mateso tosha kwamuombaji ni vile watu ni waoga kusema ukweli tu!lakini Imani zinaongeza mateso zaidi kwa wahusika kulikuwa hakuna haja ya mateso kuumbwa wakati UWEZEKANO wa kuyaepuka na Dunia ikawa mahala pa Raha sana!!
Noma sana!
 
Mara nyingi Sala zangu huwa si ndefu ila Nina Imani na Mungu Kuna saa anawahi kujibu mpaka nashangaa....Kuna point of no return niliwahi fika nikamwambia Mzee Baba ehhh Mimi nimechoka na siendi Kwa waganga wewe ndie Kila kitu changu Mungu Bora unichukue au ujibu hitaji langu.....aisee sijawahi omboleza hivyo mbele za Mungu......Asubuhi Mungu akanijibu Kwa kishindo kikuu....Mungu yupo jaman....
 
Kwa sababu Mungu ni muweza wa yote na kila jambo alishakupangia , na pia yeye habadiliki na anajua kila kitu kabla haujazaliwa,hakuna haja ya kuomba tena ili mambo yako yabadilike , wewe sema tu Mungu fanya kama unavyotaka inatosha.
 
Maombi ni moja ya njia ya kuondoa wasiwasi na kuongeza imani katikati ya changamoto na sintofahamu za maisha.

Lakini kama hujui kuomba vizuri unaweza kujikuta yanakuongezea stress, wasiwasi, hata kushusha imani yako kwa Mungu. Na hii imepelekea watu kucheza miguu miwili. Mmoja kwa Mungu mwingine kwenye utamaduni kificho.

Kosa liko wapi.
Unapoanza maombi unaanza kwa kutanguliza shida na masumbufu yako badala ya kutanguliza ukuu na uweza wa huyo Mungu kwanza.

Tumia muda mwingi katika utangulizi kumtambua Mungu, uweza wake, ukuu wake sifa zake na utukufu wake. Hii itakufanya akilini mwako uone Ukuu wa Mungu na katatizo kanafifia hata kabla hujakataja. Ukifika wakati wa kueleza unachotaka basi unakuwa na uhakika na huyo unayemuomba maana unajua akilini fika anauwezo gani.

Kutanguliza kuvurumisha matatizo yako kama kipaumbele, unayakuza kuliko uwezo wa Mungu akilini mwako. Hivyo unamkuza shetani na uwezo wake kwako Kuliko Mungu. Unampa nafasi kubwa kuliko Mungu. Hivyo maombi ya kumbrand shetani na uwezo wake huwa yanaarika majini badala ya malaika. Yanajaza hofu, mashaka na wasiwasi.

Mfano wa hili fundisho ni story ya Mfalme Yehoshafat 2Nyakati 20. Namna walivyoanza maombi ni kwa kumtambua Mungu na uweza wake kisha wakamsakizia matatizo yao. MUNGU ALIINGILIA KATI KWA KASI YA AJABU.

HII NDIO MAANA YESU ALIFUNDISHA TUANZA KUOMBA KWA KUSEMA " BABA YETU ULIYE MBINGUNI, JINA LAKO LITUKUZWE, UFALME WAKO UJE".
Hii ni kama flame work wewe hapo unatakiwa kujaza maneno mengi kwenye hii sentensi ya Yesu.


Ni hayo tu.


Kama umepata kitu, sema amina.
Ubarikiwe sana mtumishi
 
Sijawahi hata siku moja kulalamika kwenye sala zangu. Huwa nashukuru kwa afya, uzima, riziki na huwa nawaombea familia yangu Mungu awalinde na awatimizie mahitaji yao kwa kadri wanayostahili. Na hatua inayofuata huwa naomba ulinzi wake wakati wote na baada ya hapo huwa naomba mahitaji yangu baada ya hapo namshukuru kwa kunipa nafasi ya kuzungumza nae kwa njia ya maombi na dua, 🙏

Note : Hakuna kitu chenye thamani kushinda uhai na afya tulizonazo hayo mengine huwa yanampata mwengine kwa kudra zake tu.
 
Maombi ni moja ya njia ya kuondoa wasiwasi na kuongeza imani katikati ya changamoto na sintofahamu za maisha.

Lakini kama hujui kuomba vizuri unaweza kujikuta yanakuongezea stress, wasiwasi, hata kushusha imani yako kwa Mungu. Na hii imepelekea watu kucheza miguu miwili. Mmoja kwa Mungu mwingine kwenye utamaduni kificho.

Kosa liko wapi.
Unapoanza maombi unaanza kwa kutanguliza shida na masumbufu yako badala ya kutanguliza ukuu na uweza wa huyo Mungu kwanza.

Tumia muda mwingi katika utangulizi kumtambua Mungu, uweza wake, ukuu wake sifa zake na utukufu wake. Hii itakufanya akilini mwako uone Ukuu wa Mungu na katatizo kanafifia hata kabla hujakataja. Ukifika wakati wa kueleza unachotaka basi unakuwa na uhakika na huyo unayemuomba maana unajua akilini fika anauwezo gani.

Kutanguliza kuvurumisha matatizo yako kama kipaumbele, unayakuza kuliko uwezo wa Mungu akilini mwako. Hivyo unamkuza shetani na uwezo wake kwako Kuliko Mungu. Unampa nafasi kubwa kuliko Mungu. Hivyo maombi ya kumbrand shetani na uwezo wake huwa yanaarika majini badala ya malaika. Yanajaza hofu, mashaka na wasiwasi.

Mfano wa hili fundisho ni story ya Mfalme Yehoshafat 2Nyakati 20. Namna walivyoanza maombi ni kwa kumtambua Mungu na uweza wake kisha wakamsakizia matatizo yao. MUNGU ALIINGILIA KATI KWA KASI YA AJABU.

HII NDIO MAANA YESU ALIFUNDISHA TUANZA KUOMBA KWA KUSEMA " BABA YETU ULIYE MBINGUNI, JINA LAKO LITUKUZWE, UFALME WAKO UJE".
Hii ni kama flame work wewe hapo unatakiwa kujaza maneno mengi kwenye hii sentensi ya Yesu.


Ni hayo tu.


Kama umepata kitu, sema amina.
Amen, amen. Kuna mtu anawasalisha hiyo sala ya Bwana mara saba kwa kuirudia halafu ndio imetoka hiyo.
 
Maombi ni moja ya njia ya kuondoa wasiwasi na kuongeza imani katikati ya changamoto na sintofahamu za maisha.

Lakini kama hujui kuomba vizuri unaweza kujikuta yanakuongezea stress, wasiwasi, hata kushusha imani yako kwa Mungu. Na hii imepelekea watu kucheza miguu miwili. Mmoja kwa Mungu mwingine kwenye utamaduni kificho.

Kosa liko wapi.
Unapoanza maombi unaanza kwa kutanguliza shida na masumbufu yako badala ya kutanguliza ukuu na uweza wa huyo Mungu kwanza.

Tumia muda mwingi katika utangulizi kumtambua Mungu, uweza wake, ukuu wake sifa zake na utukufu wake. Hii itakufanya akilini mwako uone Ukuu wa Mungu na katatizo kanafifia hata kabla hujakataja. Ukifika wakati wa kueleza unachotaka basi unakuwa na uhakika na huyo unayemuomba maana unajua akilini fika anauwezo gani.

Kutanguliza kuvurumisha matatizo yako kama kipaumbele, unayakuza kuliko uwezo wa Mungu akilini mwako. Hivyo unamkuza shetani na uwezo wake kwako Kuliko Mungu. Unampa nafasi kubwa kuliko Mungu. Hivyo maombi ya kumbrand shetani na uwezo wake huwa yanaarika majini badala ya malaika. Yanajaza hofu, mashaka na wasiwasi.

Mfano wa hili fundisho ni story ya Mfalme Yehoshafat 2Nyakati 20. Namna walivyoanza maombi ni kwa kumtambua Mungu na uweza wake kisha wakamsakizia matatizo yao. MUNGU ALIINGILIA KATI KWA KASI YA AJABU.

HII NDIO MAANA YESU ALIFUNDISHA TUANZA KUOMBA KWA KUSEMA " BABA YETU ULIYE MBINGUNI, JINA LAKO LITUKUZWE, UFALME WAKO UJE".
Hii ni kama flame work wewe hapo unatakiwa kujaza maneno mengi kwenye hii sentensi ya Yesu.


Ni hayo tu.


Kama umepata kitu, sema amina.
Zamaniiii nikiwa mtoto mdogo nilifikiri Kuomba kwa jina la Yesu ni lazima kusema katika jina la Yesu kumbe....[emoji1787]
 
Zamaniiii nikiwa mtoto mdogo nilifikiri Kuomba kwa jina la Yesu ni lazima kusema kusema katika jina la Yesu kumbe....[emoji1787]
Jina linawakilisha mamlaka. Ni sawa upewe ofa ya kutumia Jina na cheo cha rais wa Jamuhuri popote utakapokwenda.

Jila la Yesu ambalo mamlaka zote ziko chini yake, tumepewa kulitumia kana kwamba yeye mwenyewe ndio yupo hapo.
 
Amen, amen. Kuna mtu anawasalisha hiyo sala ya Bwana mara saba kwa kuirudia halafu ndio imetoka hiyo.
Ile ni kama ukurasa wa Yaliyomo, au Skeleton. Kisha kila kipengere kinatakiwa kigeuzwe kama a
Chapter katika maombi.

Ila hata hivyo ukifanya kama huyo jamaa kwa imani, mambo yanajipa.
 
Maombi ni moja ya njia ya kuondoa wasiwasi na kuongeza imani katikati ya changamoto na sintofahamu za maisha.

Lakini kama hujui kuomba vizuri unaweza kujikuta yanakuongezea stress, wasiwasi, hata kushusha imani yako kwa Mungu. Na hii imepelekea watu kucheza miguu miwili. Mmoja kwa Mungu mwingine kwenye utamaduni kificho.

Kosa liko wapi.
Unapoanza maombi unaanza kwa kutanguliza shida na masumbufu yako badala ya kutanguliza ukuu na uweza wa huyo Mungu kwanza.

Tumia muda mwingi katika utangulizi kumtambua Mungu, uweza wake, ukuu wake sifa zake na utukufu wake. Hii itakufanya akilini mwako uone Ukuu wa Mungu na katatizo kanafifia hata kabla hujakataja. Ukifika wakati wa kueleza unachotaka basi unakuwa na uhakika na huyo unayemuomba maana unajua akilini fika anauwezo gani.

Kutanguliza kuvurumisha matatizo yako kama kipaumbele, unayakuza kuliko uwezo wa Mungu akilini mwako. Hivyo unamkuza shetani na uwezo wake kwako Kuliko Mungu. Unampa nafasi kubwa kuliko Mungu. Hivyo maombi ya kumbrand shetani na uwezo wake huwa yanaarika majini badala ya malaika. Yanajaza hofu, mashaka na wasiwasi.

Mfano wa hili fundisho ni story ya Mfalme Yehoshafat 2Nyakati 20. Namna walivyoanza maombi ni kwa kumtambua Mungu na uweza wake kisha wakamsakizia matatizo yao. MUNGU ALIINGILIA KATI KWA KASI YA AJABU.

HII NDIO MAANA YESU ALIFUNDISHA TUANZA KUOMBA KWA KUSEMA " BABA YETU ULIYE MBINGUNI, JINA LAKO LITUKUZWE, UFALME WAKO UJE".
Hii ni kama flame work wewe hapo unatakiwa kujaza maneno mengi kwenye hii sentensi ya Yesu.


Ni hayo tu.


Kama umepata kitu, sema amina.


Amri ya Kwanza kabisa ubaoni!

'I am God Almighty your God, you shall have no other gods before me!'
 
Back
Top Bottom