Ha ha ha haNauli ya ndege haiwezi kuliwa labda uwe ndezi sana..ndege unatuma tiketi mkuu.
Demu yeyote akijifanya sijui hana nafasi kabanwa na kazi.
Fanya booking mtumie copy ya tiketi tayari nafasi imepatikana[emoji23][emoji23]
Ha ha ha ha masikini bado wapo wengi sana.Kama bado unaendesha gari badala ya kuendeshwa umbali wote huo, wewe ni masikini vilevile.
Sawa tajiri😁Ni mfano wa route za Dar kwenda mikoaifuatayo, Mwanza, Kagera, Musoma, Kigoma, Mbeya, Ruvuma
Kama huwa unatumia usafiri wa basi kwa mikoa tajwa badi ujue wewe bado unajitafuta, endelea kujitafuta.
Binadamu hatakiwi kusafiri zaidi ya Km 500 kwa basi, ndio maana Simba na Yanga wakienda kucheza Singida lazima walale Dodoma kilazima,hizo ni kanuni za FIFA.
Kwa mtu binafsi kwa umbali wa zaidi ya km 800 ni either upande ndege au utumie private car,unless uwe unafanya utalii wa ndani au for fun
Tafuta hela
Kwa kwetu afrika usafiri wa anga bado haujafunguka ipasavyo, kupata ticket tu ya ndege kasheshe na utalipa mara 3 au 4 ya nauli husika.
Labda kwa nchi za Amerika na Ulaya ambapo unaweza pata ticket ya ndege mpaka kwa USD50.
Huku afrika nadhani mpaka kufikia 2070 itakua afadhali usafiri wa anga utafunguka mashirika yataongezeka na nategemea mpaka nauli kupungua na usafiri wa anga hautokua anasa tena.
Lakini kwa wakati huu kama mtu ndio unajitafuta bado hujajipata endelea kutumia tu bus, mpaka mambo yatakapo kunyookea.
Binafsi napenda kutumia bus kuangalia mandhari ya nchi yanguNi mfano wa route za Dar kwenda mikoaifuatayo, Mwanza, Kagera, Musoma, Kigoma, Mbeya, Ruvuma
Kama huwa unatumia usafiri wa basi kwa mikoa tajwa badi ujue wewe bado unajitafuta, endelea kujitafuta.
Binadamu hatakiwi kusafiri zaidi ya Km 500 kwa basi, ndio maana Simba na Yanga wakienda kucheza Singida lazima walale Dodoma kilazima,hizo ni kanuni za FIFA.
Kwa mtu binafsi kwa umbali wa zaidi ya km 800 ni either upande ndege au utumie private car,unless uwe unafanya utalii wa ndani au for fun
Tafuta hela
Ni kweli ndani ya masaa manane, uko mtwara.Mtwara na mbeya umbali sio mrefu sana
N kweli walizingatia ushsuri wa kitaalamu, kwa ajili ya Wachezaji wa mpira wa miguu, ndiyo maana wanatakiwa waleje, wapunzike vipi.FIFA Walizingatia ushauri wa kitaalam