πππ Wale wa Songea- Mwanza wanatakiwa kulala siku 2 njiani ili wakidhi viwango vya FIFA.Kwa hiyo unashauri tunaokwenda uganda kutokea dar tulale siku tatu njiani, ili kukidhi viwango vya FIFA mkuu.
Aliyekupa wewe, ndio katunyima sisi,Acha dharauNi mfano wa route za Dar kwenda mikoaifuatayo, Mwanza, Kagera, Musoma, Kigoma, Mbeya, Ruvuma
Kama huwa unatumia usafiri wa basi kwa mikoa tajwa badi ujue wewe bado unajitafuta, endelea kujitafuta.
Binadamu hatakiwi kusafiri zaidi ya Km 500 kwa basi, ndio maana Simba na Yanga wakienda kucheza Singida lazima walale Dodoma kilazima,hizo ni kanuni za FIFA.
Kwa mtu binafsi kwa umbali wa zaidi ya km 800 ni either upande ndege au utumie private car,unless uwe unafanya utalii wa ndani au for fun
Tafuta hela
Ni kweli na pia uwepo wa mapigano na kutokua na amani kuna changia sana.
Kabisa mkuu,ila nasikia DRC wao wanatumia sana ndege kwa trip za ndani maana kuna maeneo hayafikiki kirahisi kwa bus
Unafika hoi na hapo ni kijana,umri kama umesogea kesho yake hutoki ndani kwa uchovu.Ukweli mchungu,tutakupinga ila ulichokisema nikweli....bus linachosha asikwambie mtu...... niliwahi kusafiri Dar-sumbawanga daah saa 12- saa. 7 Usiku
Tulitoka mbeya saa 11:16 alfajiri tulifika mwanza saa 12:14 alfajiri kesho yake yani ni zaidi ya mateso nimeamini umasikini ni LAANARoute ndefu sana hiyo mkuu
Nikweli kabisaUnafika hoi na hapo ni kijana,umri kama umesogea kesho yake hutoki ndani kwa uchovu.
Kigoma na bukoba huwa wanaingia stand ya magufuli alfajiri wako hoi bin taaban
Musoma nao ni Mkoa siku hizi?Ni mfano wa route za Dar kwenda mikoa ifuatayo, Mwanza, Kagera, Musoma, Kigoma, Mbeya, Ruvuma
Kama huwa unatumia usafiri wa basi kwa mikoa tajwa badi ujue wewe bado unajitafuta, endelea kujitafuta.
Binadamu hatakiwi kusafiri zaidi ya Km 500 kwa basi, ndio maana Simba na Yanga wakienda kucheza Singida lazima walale Dodoma kilazima,hizo ni kanuni za FIFA.
Kwa mtu binafsi kwa umbali wa zaidi ya km 800 ni either upande ndege au utumie private car,unless uwe unafanya utalii wa ndani au for fun
Tafuta hela
Na mimi nimeshindwa kuacha kushangaa!Hakuna Mkoa wa Musoma labda kama wewe siyo mtanzania
Kwanza ukitokea Dar kulivyo mbali sasa , labda mkoa wakutumia nguvuHakuna Mkoa wa Musoma labda kama wewe siyo mtanzania
Private car na bus tofauti yake ipiNi mfano wa route za Dar kwenda mikoa ifuatayo, Mwanza, Kagera, Musoma, Kigoma, Mbeya, Ruvuma
Kama huwa unatumia usafiri wa basi kwa mikoa tajwa badi ujue wewe bado unajitafuta, endelea kujitafuta.
Binadamu hatakiwi kusafiri zaidi ya Km 500 kwa basi, ndio maana Simba na Yanga wakienda kucheza Singida lazima walale Dodoma kilazima,hizo ni kanuni za FIFA.
Kwa mtu binafsi kwa umbali wa zaidi ya km 800 ni either upande ndege au utumie private car,unless uwe unafanya utalii wa ndani au for fun
Tafuta hela
Kuna team ya South Sudan ilikuja na coaster toka kwao kuja kucheza na timu ya bongoNi mfano wa route za Dar kwenda mikoa ifuatayo, Mwanza, Kagera, Musoma, Kigoma, Mbeya, Ruvuma
Kama huwa unatumia usafiri wa basi kwa mikoa tajwa badi ujue wewe bado unajitafuta, endelea kujitafuta.
Binadamu hatakiwi kusafiri zaidi ya Km 500 kwa basi, ndio maana Simba na Yanga wakienda kucheza Singida lazima walale Dodoma kilazima,hizo ni kanuni za FIFA.
Kwa mtu binafsi kwa umbali wa zaidi ya km 800 ni either upande ndege au utumie private car,unless uwe unafanya utalii wa ndani au for fun
Tafuta hela