Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Ajabu mitoto ya ss hv unashangaa inapga one..ukimpa hesabu za log tu chali...! Ila mh😷!Mitoto ya sasa hivi mishenzi sana inadeka hadi inakera yaan, enzi hizo hakuna kudeka darasani zinapanda halafu peku yaan
Usisahau kuitaja Kitulo kipekee Mkuu
So Bora log mkuu Ina akili kidogo, mpe Magazijuto tu haweziAjabu mitoto ya ss hv unashangaa inapga one..ukimpa hesabu za log tu chali...! Ila mh😷!
🤣🤣! Mimi ningekuwa na extra time ningependa kufundisha tuit ya hesabu aise! Dah nawaambiatga wanangu .felini kote sio hesabu...ukitaka uiweze hesabu daily solve hesabu 5 tu! Nakereka sana mtu aishindwe hesabu aise !So Bora log mkuu Ina akili kidogo, mpe Magazijuto tu hawezi
Mbeya ni balaa...ila njombe ni mwisho wa reli[emoji119]Mbeya nadhani imezidi nimepika maharage Leo Siku ya nne hayajachacha hata
Siku hizi shida sana, nakumbuka msuli wa namba pale Tabora boys duuh nikatamani kubaki hapo mwisho wa siku nikatupwa Ilboru huko nako nikakutana na vichaa wa namba looh🤣🤣! Mimi ningekuwa na extra time ningependa kufundisha tuit ya hesabu aise! Dah nawaambiatga wanangu .felini kote sio hesabu...ukitaka uiweze hesabu daily solve hesabu 5 tu! Nakereka sana mtu aishindwe hesabu aise !
DuhKabla ya uharibifu wa mazingira miaka ya 70 kulikuwa na barafu inamwagika kwenye majani asubuhi ilikuwa unakuta majani kama yamemwagiwa unga
Enzi hizo kulikua na Mafinga seminary...! Nilikua najifanya the best nikifika kwao nanywea🤣! Sa hv wanetu ni viduku tu!Siku hizi shida sana, nakumbuka msuli wa namba pale Tabora boys duuh nikatamani kubaki hapo mwisho wa siku nikatupwa Ilboru huko nako nikakutana na vichaa wa namba looh
Hivi Arusha kuna baridi kuliko huku Rufiji?Leo siongei habari za Cape town naongea za Arusha.
Huo mji haunaga hela[emoji848]Nipo hapa Arusha kikazi....leo siku ya nne naona hali ya hewa ya kawaida na ni nzuri sana....kwa sisi tuliotokea Dar kwenye joto huku naona burudani mpaka natamani ningehamishia makazi huku........Arusha kuzuri sana.....kila mtu yupo bize na shughuli zake....si kina mama, mabinti, mabibi na mababu mpaka vitoto kila mtu ni pirika pirika tu........baridi ikinizidia nakimbilia pale pembeni ya uwanja wa sheik Amri Abeid nakunywa tangawizi na karanga......napoza baridi.......kuanzia asubuhi nilivyooga mpaka muda huu sijatoka hata jasho........
Hamnaga hata mia mbovu[emoji3][emoji3]..
Mimi hapana sitakagi tena hali hiyo..dah
🤣🤣🤣 Kipindi hicho sijui watu walikuwa wanakula chakula gani yaani??Enzi hizo kulikua na Mafinga seminary...! Nilikua najifanya the best nikifika kwao nanywea🤣! Sa hv wanetu ni viduku tu!
Makande!..😀😂🤣🤣🤣 Kipindi hicho sijui watu walikuwa wanakula chakula gani yaani??
Watu wa Arusha wakija Njombe huwa wanalia baridi hali kadhalika wale Mbeya na Kilimanjaro hulia.Uliwahi enda Njombe Mkuu?
Haunaga hela kwa wanaotafuta utajiri......Sisi wa bora mkono uende kinywani.....ni raha tu......
Na njugu mawe alafu ukirudi home mama ananinulia zawadi ya vitumbua vya mahindi daaah rest in peace mom umeacha nimekumbuka mbali😭😭😭😭Makande!..😀😂
Hapo Mufindi ulishabahatika kuwaona wachuma majani ya chai wakiwa ndani ya vesti huku raia wengine wana makoti na mizura kama yote?!Mimi chuga na njombe kote nimefika...chuga ikasome...sasa kuna Mufindi! Miez ya 6 had oct hakufai
Nimezaliwa huko huko kwenye mashamba ya chai mzee baba .noma sanaHapo Mufindi ulishabahatika kuwaona wachuma majani ya chai wakiwa ndani ya vesti huku raia wengine wana makoti na mizura kama yote?!