Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Pole sana mkuu ..muombee apumzike mahali pema peponi...again poleNa njugu mawe alafu ukirudi home mama ananinulia zawadi ya vitumbua vya mahindi daaah rest in peace mom umeacha nimekumbuka mbali😭😭😭😭
Nyahenge!Uliwahi enda Njombe Mkuu?
April nzima nyahenge🤣Nyahenge!
Arusha napapenda sana adse ...Kwa taarifa yako kama una mpango wa kuja pande hizi za A- City [emoji2516] ujipange
Baridi ni kali mno
Nilikuwa 841kj Mafinga,hiyo kitu Nyahenge acha kabisa.Nyahenge!
Weka ushahidiKwa taarifa yako kama una mpango wa kuja pande hizi za A- City [emoji2516] ujipange
Baridi ni kali mno
😃😃😃Nyahenge!
Hahahaaaaa, ulikunywa chai Mkuu??!! vipi baada ya kuungua ulimi maumivu ulikwenda kuyasikia ukiwa Kitonga 😂nilitamani nimalize mishe zangu nigeuze Dar
Nadhani nyahenge ni msimu huu kama sijakosea, June, July ni kama upo kwenye fridge
Wengine ndo tunaipendaKwa taarifa yako kama una mpango wa kuja pande hizi za A- City [emoji2516] ujipange
Baridi ni kali mno
Wa huku Njombe tunaogopa kwenda huko kwa hofu ya baridiUliwahi enda Njombe Mkuu?
Kwa Mrombo joto kali??Maeneo yalio karibu na mlima meru vijij vyote vinazozonguka mlima kuanzia oldonyo sambu .ngaramtoni oldonjo kioga ..olgila ngiresi bangata .sasi engateu. USA kwa wameru wote wa ndoombo Hali ya barid maeneo hayo Ni Kali snaaa chukuaa taadhari na koti kubwa. Baridi inauwa...
Hahahaha hiyo nadhan had miaka hii .au mvua ikinyesha mnavua viatu🤣!..mm nilikua najarib kuvua nashindwa kokoto dah na tukatusua...mitoto ya sasa hv 24/7 inaangalia katuni...haiko hata active..inalia lia tu humu mitandaoni...mxiew
Njombe kila gest na bar kuna majiko madogo ya mkaa kwaajili ya baridi arusha mbona poa sanaaa!Uliwahi enda Njombe Mkuu?
wewe jamaa unajua....mimi nimekulia kijiji mojawapo....ukijifua nguo utajuta unaweza kuchukua wiki kukaukaMaeneo yalio karibu na mlima meru vijij vyote vinazozonguka mlima kuanzia oldonyo sambu .ngaramtoni oldonjo kioga ..olgila ngiresi bangata .sasi engateu. USA kwa wameru wote wa ndoombo Hali ya barid maeneo hayo Ni Kali snaaa chukuaa taadhari na koti kubwa. Baridi inauwa...
Kumbe huyu ndiye kafirisi ranch za serikali huyu!!🤣🤣🤣🤣 Mzee noma Yule ila daah Mungu tusamehe tu hakuna namna