Kama unashangaa au hauoni mantiki ya Putin kuivamia Ukraine basi wewe upo kwenye Kundi la watu hawa

Kama unashangaa au hauoni mantiki ya Putin kuivamia Ukraine basi wewe upo kwenye Kundi la watu hawa

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Unatazama movie , kwenye movie Kuna tukio limetokea let's say WTC imelipuliwa.

One week later maelfu ya wamarekani wanakusanyika katika viwanja vya Madison square garden Kwa ajili ya kufanya ibada maalumu ya kuwaombea marehemu walio poteza Maisha Yao kwenye tukio Hilo pamoja Na kulaani walio fanya tukio Hilo .

Miongoni mwa walio kusanyika Mahali hapo ni wamama wenye watoto wachanga..

Camera ya director wa movie hiyo Kwa makusudi mazima inawazoom mara Kwa mara baadhi ya watoto Hao wachanga wakiwa wamebebwa Na mama zao.

Je unajua kwanini directors wamewaonyesha watoto Hao wachanga ?

Unadhani Imetokea Kwa Bahati mbaya?

Najua haujui ila Leo utajua..

Hao watoto wachanga kwenye hiyo scene Wana represent watu wasio Jua Nini kinacho endelea kwenye tukio hilo.

Watoto Wapo kwenye tukio but hawajui chochote masikini. To them everything is okay. They do not have idea of what is going on.

Yani ni kama Yule Mtoto WA miezi Sita alie okolewa kwenye titanic. Hakuwa anajua kilicho kuwa kinaendelea hata alipokuwa kwenye ibada ya kumshukuru Mungu ibada iliyo fanyika wiki kadhaa baada ya tukio la ajali hiyo


Huyo Mtoto mdogo Ni wewe unae soma Uzi Huu ambae unashangaa na kumlaumu Putin Kwa kuivamia Ukraine.

U have no any idea about what is going on in Ukraine.

Ukija kuwa mkubwa ndio utafahamu kwanini Putin ameivamia Ukraine.

Kwa Sasa endelea kufurahi utoto.


Utoto raha Sana.
 
it sounds too logically.

mimi nina mpinga pu-tin coz:, sababu zinazotolewa na wapiga filimbi wake ni nyepesi sana tena sana.

luckily enough yeye mwenyewe hajafunguka na kueleza why kafanya hivyo.

sijui na nitaendelea Kutojua hadi yeye na timu yake watakapo amua funguka kile kimewasukuma kufanya hivyo nikijua ukweli halisi nitapologies.

ila kwasasa hizi sababu zinazotolewa humu na Pro Russia nitazipinga na kuziita za kipumbavu sana tena sana.

Wanao mchafua Put-in ni wapiga debe wake ambao kwa namna fulani anahisi wanamtete put-in wakati wanamchafua.

wanatoa utetezi wa kijinga ndiyo maana wa napata upinzani mkubwa kwasababu SABABU zao ni dhaifu.
 
Alichofeli Putin ni kitu kimoja tu kushindwa kuweka vibaraka kwenye uongozi wa nchi zinazomzunguka ambazo awali zilikua chini ya USSR.

Hii vita ilipaswa kupiganwa kijasusi zaidi kwa kuwaingiza madarakani viongozi watakaokubali kuwa vibaraka wake, kuliko kuingiza jeshi vitani.

Hapa Putini anaonekana ni dictator au mkoloni kwa kuilazimisha nchi nyingine yenye mamlaka kamili kufuata kile anachokitaka yeye kwa kutumia mabavu.

Hapa ndipo USA amempiga gape kubwa kwenye suala zima la ushawishi kwa kutumia vitengo vya kijasusi na propaganda kutekeleza matakwa yake.

Huwezi kuwa super power na kuicontrol dunia kwa kutegemea mabavu ya kijeshi peke yake bila ya kua na mbinu za ushawishi zitakazo kuongezea washirika watakao kua na wewe bega kwa bega kwenye ajenda zako.

Namuona Mchina ameshalishtukia hili sasa hivi, anatumia nguvu nyingi zaidi kuzishawishi nchi ziwe na ushirika na yeye.
 
Alichofeli Putin ni kitu kimoja tu kushindwa kuweka vibaraka kwenye uongozi wa nchi zinazomzunguka ambazo awali zilikua chini ya USSR.
Hii vita ilipaswa kupiganwa kijasusi zaidi kwa kuwaingiza madarakani viongozi watakaokubali kuwa vibaraka wake, kuliko kuingiza jeshi vitani.
Hapa Putini anaonekana ni dictator au mkoloni kwa kuilazimisha nchi nyingine yenye mamlaka kamili kufuata kile anachokitaka yeye kwa kutumia mabavu.
Hapa ndipo USA amempiga gape kubwa kwenye suala zima la ushawishi kwa kutumia vitengo vya kijasusi na propaganda kutekeleza matakwa yake.
Huwezi kuwa super power na kuicontrol dunia kwa kutegemea mabavu ya kijeshi peke yake bila ya kua mbinu za ushawishi zitakazo kuongezea washirika wakao kua pamoja na wewe bega kwa bega.
Belarus Kwa Russia ni kama Burundi Kwa Tanzania . Nadhani umesikia wameunga mkono juhudi za Russia nao wamepeleka makeshift Ukraine kuwasapoti Russia .

Vita ya Ukraine ilikuwa inevitable.

Hata Us amepigana vita Irak Afghanistan etc
 
Back
Top Bottom