Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Marekani si anajifanyaga mbabe wa dunia.. mbona hatii mguu?Mashabiki wa Put in hamjiamini. Mmepanic ndiyo maana mnatukana hamna hoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marekani si anajifanyaga mbabe wa dunia.. mbona hatii mguu?Mashabiki wa Put in hamjiamini. Mmepanic ndiyo maana mnatukana hamna hoja
Wakomunisti ni materialistic, yaani kama nyumbu. Wakipigana vita wanaenda mwili mzima.Marekani si anajifanyaga mbabe wa dunia.. mbona hatii mguu?
Bado hujatushawishi. Scenario ya Iraq na Afghanistan huwezi kuilinganisha na hii ya Ukraine. US alienda Iraq akiwa na sababu ya kwenda kuharibu mass destruction weapons na hata kama alikuwa na ajenda yake lakini raia walimwelewa. Afghanistan alienda kumtoa Osama na Taleban baada ya kumshambulia kwake raia walimwelewa. Tatizo la Putin yeye hautaki utawala uliopo Ukraine kwa sasa baada ya kukutaa kuwa vibaraka wake kama ilivyo kwa Belarus na Georgia. Sasa kwa wananchi wa kawaida hayo hawayaoni kama threat kwao na ndio maana wanaandana lupinga vita. Putin ni chizi Ila nadhani ndo mwanzo mwisho wake.Belarus Kwa Russia ni kama Burundi Kwa Tanzania . Nadhani umesikia wameunga mkono juhudi za Russia nao wamepeleka makeshift Ukraine kuwasapoti Russia .
Vita ya Ukraine ilikuwa inevitable.
Hata Us amepigana vita Irak Afghanistan etc
Abakwe kabla ya kuuwawaApigwe nduli Zelensky
Hivi Put'n sio mzungu e?Kwani yeye Putin kazuiwa kwenda kuweka kambi za kijeshi venezuela au mexico kulipiza marekani na ulaya kumsogelea kwenye mipaka yake? Tatizo kubwa la Putin haiwezi vita ya kisaikolojia ya maneno aliyo nayo mzungu, wazungu wana propaganda kali, hila, kejeli, vitisho na maneno mengine mbofu mbofu ambayo hadi yamemfanya putin kutishia kulipua nyuklia......wameweka vikwazo haijaisha wiki thamani ya pesa ya urusi imeporomoka kwa asilimia 30. Mzungu akikuamulia hakuna rangi utaacha kuiona...........
Demilicious so sexHivi ni lazima tuuane? Hakuna means nyingine ya kukomoana?
Atakoma. Una kashepu kazuriiPutin ndio umefika mwisho wake akili hana anatumia miguvu
Endelea kuota..ameishawekewaga vikwazo mara nyingi tu. Ma mara mwisho alipomvamia Georgia...ikawaje?Wakomunisti ni materialistic, yaani kama nyumbu. Wakipigana vita wanaenda mwili mzima.
Mabepari ni idealistic, yaani wanatumia akili nyingi nguvu kidogo.
Mpaka sasa Urusi kawekewa vikwazo kiuchumi na hali ni tete.
Mabepari hawajatumia nguvu bali akili. Usitarajie Marekani apigane kihuni.kama Put in.
Mpaka sasa, Putin anahitaji mazungumzo kuliko Ukraine wakati Put in ndiye mwanzilishi wa vita.
Katika history ya dunia, wakomunisti hawajawahi kuwashinda mabepari, kwa hiyo ugua pole. Putin ameshaingia pabaya. Ajiandae kutoka
Wazungu ni watu wenye asili ya ulaya, kama urusi ipo ulaya basi Putin naye atakuwa mzungu.......vinginevyo atabaki kuwa mzungu koko.
Toa jibuEndelea kuota..ameishawekewaga vikwazo mara nyingi tu. Ma mara mwisho alipomvamia Georgia...ikawaje?
Ni kwamba hata yeye hajui mantiki ya huo ugomvi.NIMESOMA ILA SIJAIPATA LOGIC YA MADA HUSIKA HAPO JUU
Pale patakuwa Kama Libya,hapatotulia teeenaaaWewe ndo umelewa propaganda za magharibi. Yaani Urusi awashindwe Ukraine?! Amka ukojoe kwanza utakuwa umelala
Dada mambo ya wanaume hayaMashabiki wa Put in hamjiamini. Mmepanic ndiyo maana mnatukana hamna hoja
Dada mambo ya wanaume haya
Nenda kampikie bwana
Sina ushabiki naongea uhalisia. Nyinyi ambao mko obsessed na American dream ndiyo mmezibwa akili na kuwa brainwashed hamuoni ukweli wa mambo.Dada tena😳 mashabiki wa Put in mnapoteana sana
PoaSina ushabiki naongea uhalisia. Nyinyi ambao mko obsessed na American dream ndiyo mmezibwa akili na kuwa brainwashed hamuoni ukweli wa mambo.