Kama unashangaa au hauoni mantiki ya Putin kuivamia Ukraine basi wewe upo kwenye Kundi la watu hawa

Kama unashangaa au hauoni mantiki ya Putin kuivamia Ukraine basi wewe upo kwenye Kundi la watu hawa

Alichofeli Putin ni kitu kimoja tu kushindwa kuweka vibaraka kwenye uongozi wa nchi zinazomzunguka ambazo awali zilikua chini ya USSR.

Hii vita ilipaswa kupiganwa kijasusi zaidi kwa kuwaingiza madarakani viongozi watakaokubali kuwa vibaraka wake, kuliko kuingiza jeshi vitani.

Hapa Putini anaonekana ni dictator au mkoloni kwa kuilazimisha nchi nyingine yenye mamlaka kamili kufuata kile anachokitaka yeye kwa kutumia mabavu.

Hapa ndipo USA amempiga gape kubwa kwenye suala zima la ushawishi kwa kutumia vitengo vya kijasusi na propaganda kutekeleza matakwa yake.

Huwezi kuwa super power na kuicontrol dunia kwa kutegemea mabavu ya kijeshi peke yake bila ya kua na mbinu za ushawishi zitakazo kuongezea washirika watakao kua na wewe bega kwa bega kwenye ajenda zako.

Namuona Mchina ameshalishtukia hili sasa hivi, anatumia nguvu nyingi zaidi kuzishawishi nchi ziwe na ushirika na yeye.
Na hapo marekani ndo anapowazid maadui zake amejaza vibaraka wake kila kona European union ni kibaraka wa marekani, Korea kusin, Japan, gulf countries n.k
 
Kwani yeye Putin kazuiwa kwenda kuweka kambi za kijeshi venezuela au mexico kulipiza marekani na ulaya kumsogelea kwenye mipaka yake? Tatizo kubwa la Putin haiwezi vita ya kisaikolojia ya maneno aliyo nayo mzungu, wazungu wana propaganda kali, hila, kejeli, vitisho na maneno mengine mbofu mbofu ambayo hadi yamemfanya putin kutishia kulipua nyuklia......wameweka vikwazo haijaisha wiki thamani ya pesa ya urusi imeporomoka kwa asilimia 30. Mzungu akikuamulia hakuna rangi utaacha kuiona...........
 
Kwa kwel hata mim sjaelewa maana ya hii vita

Nasikia wanasema tu ukraine akijiunga NATO,eti Russia itakuwa hatarini,kivipi sasa,kwani NATO ni magaidi
NATO ni adui wa urusi ndugu toka mwaka 1960 huko
 
it sounds too logically.

mimi nina mpinga pu-tin coz:, sababu zinazotolewa na wapiga filimbi wake ni nyepesi sana tena sana.

luckily enough yeye mwenyewe hajafunguka na kueleza why kafanya hivyo.

sijui na nitaendelea Kutojua hadi yeye na timu yake watakapo amua funguka kile kimewasukuma kufanya hivyo nikijua ukweli halisi nitapologies.

ila kwasasa hizi sababu zinazotolewa humu na Pro Russia nitazipinga na kuziita za kipumbavu sana tena sana.

Wanao mchafua Put-in ni wapiga debe wake ambao kwa namna fulani anahisi wanamtete put-in wakati wanamchafua.

wanatoa utetezi wa kijinga ndiyo maana wa napata upinzani mkubwa kwasababu SABABU zao ni dhaifu.
[emoji1787][emoji1787] this is insane..wapiga debe wa Putin we umewaskia wapi,humu jf au.
Wanamchafua wapi?
You mean mpaka leo hujui reason ya Russia kugawa dozi
 
Huko ni kutaka watu wakubaliane na mawazo yako, kwa maana hiyo unataka hata wanaukrain nao wawe pamoja nawe.
Kwa maelezo yako ni kua Putina yuko sahihi kwa alichofanya na huo usahihi wako na Putin ndio usahihi zaidi na si vinginevyo.

Kubali mawazo mapya ya wanajamvi, usiwadharau na usijikweze, weka hoja ijibiwe kwa hoja. Unajua hiki anajua kile.
Nawasilisha.
 
😁😁😁😁😁
Huko ni kutaka watu wakubaliane na mawazo yako, kwa maana hiyo unataka hata wanaukrain nao wawe pamoja nawe.
Kwa maelezo yako ni kua Putina yuko sahihi kwa alichofanya na huo usahihi wako na Putin ndio usahihi zaidi na si vinginevyo.

Kubali mawazo mapya ya wanajamvi, usiwadharau na usijikweze, weka hoja ijibiwe kwa hoja. Unajua hiki anajua kile.
Nawasilisha.
 
Alichofeli Putin ni kitu kimoja tu kushindwa kuweka vibaraka kwenye uongozi wa nchi zinazomzunguka ambazo awali zilikua chini ya USSR.

Hii vita ilipaswa kupiganwa kijasusi zaidi kwa kuwaingiza madarakani viongozi watakaokubali kuwa vibaraka wake, kuliko kuingiza jeshi vitani.

Hapa Putini anaonekana ni dictator au mkoloni kwa kuilazimisha nchi nyingine yenye mamlaka kamili kufuata kile anachokitaka yeye kwa kutumia mabavu.

Hapa ndipo USA amempiga gape kubwa kwenye suala zima la ushawishi kwa kutumia vitengo vya kijasusi na propaganda kutekeleza matakwa yake.

Huwezi kuwa super power na kuicontrol dunia kwa kutegemea mabavu ya kijeshi peke yake bila ya kua na mbinu za ushawishi zitakazo kuongezea washirika watakao kua na wewe bega kwa bega kwenye ajenda zako.

Namuona Mchina ameshalishtukia hili sasa hivi, anatumia nguvu nyingi zaidi kuzishawishi nchi ziwe na ushirika na yeye.
Walizidiana AKLI na USA mkuu, remember rais huyu aliyepo madarakani ni zao la aliyepinduliwa, aliyepinduliwa ndio alikua mtu wa Russia, USA akamzidi akili Russia na USA akafanikiwa kupandikiza rais wake, ndio huyu; kingine ni kuhusu historia, jaribu siku moja kukutana na watalii wanao tokea hizo nchi ambazo zamani zilikua zinafuata Ukoministi, hasa watu wazima then jaribu kufanya nao interview, hawataki kabisa kusikia whats so called Communist world. Kuna mengi sana nyuma ya pazia kwenye ujasusi wa Urusi na USA kuzihuzusu hizo nchi.
 
Alichofeli Putin ni kitu kimoja tu kushindwa kuweka vibaraka kwenye uongozi wa nchi zinazomzunguka ambazo awali zilikua chini ya USSR.

Hii vita ilipaswa kupiganwa kijasusi zaidi kwa kuwaingiza madarakani viongozi watakaokubali kuwa vibaraka wake, kuliko kuingiza jeshi vitani.

Hapa Putini anaonekana ni dictator au mkoloni kwa kuilazimisha nchi nyingine yenye mamlaka kamili kufuata kile anachokitaka yeye kwa kutumia mabavu.

Hapa ndipo USA amempiga gape kubwa kwenye suala zima la ushawishi kwa kutumia vitengo vya kijasusi na propaganda kutekeleza matakwa yake.

Huwezi kuwa super power na kuicontrol dunia kwa kutegemea mabavu ya kijeshi peke yake bila ya kua na mbinu za ushawishi zitakazo kuongezea washirika watakao kua na wewe bega kwa bega kwenye ajenda zako.

Namuona Mchina ameshalishtukia hili sasa hivi, anatumia nguvu nyingi zaidi kuzishawishi nchi ziwe na ushirika na yeye.
Hivi hujui Ukrain walimtoa kibaraka wa urusi ndio wakamuweka huyu wa sasa kibaraka wa west.
Rejea mgogoro wa krimea.
 
Me nafikiri sio kosa lao ni upatikanaji wa Taarifa ndo tunatofautiana. Mfano Mfano waliosoma History wanaelewa kuhusu Cold war.
 
Walizidiana AKLI na USA mkuu, remember rais huyu aliyepo madarakani ni zao la aliyepinduliwa, aliyepinduliwa ndio alikua mtu wa Russia, USA akamzidi akili Russia na USA akafanikiwa kupandikiza rais wake, ndio huyu; kingine ni kuhusu historia, jaribu siku moja kukutana na watalii wanao tokea hizo nchi ambazo zamani zilikua zinafuata Ukoministi, hasa watu wazima then jaribu kufanya nao interview, hawataki kabisa kusikia whats so called Communist world. Kuna mengi sana nyuma ya pazia kwenye ujasusi wa Urusi na USA kuzihuzusu hizo nchi.
Kwamba Putin ni kibaraka WA USA! Ama sijaelewa vyema!
 
Kwenye ishu ya Putin.. Mimi ni mtu mzima. Wacha awachakaze Ukraine. Wanataka kutuletea New World Order
 
Putin na mashabiki wake wamechanganyikiwa. Hawana uhakika wa matokeo ya vita.

Wanashangaa mpaka sasa imekuwaje Kyiv haijaanguka
Wewe ndo umelewa propaganda za magharibi. Yaani Urusi awashindwe Ukraine?! Amka ukojoe kwanza utakuwa umelala
 
Back
Top Bottom