Kama unataka kucheka tongoza wanaume. Wataongea kama kitoto cha miaka mitatu

Hiyo sentensi yako ya mwazo hapo juu ina lengo gani hasa?
 
Yaan nitongoze wababa wa Ofisini vile tunaheshimiana hivyo[emoji23][emoji23]c ndo ntasababisha matatizo aiseee tufanye utani mwingine sio wa kujaribu kutongozana ati
 
Mioyo ilikuwa inawaenda mbio Kwa sababu damu yote ishakimbilia chini[emoji1787]
Hao ukiwaambia nakupenda tu wanaloa, unaamsha upwiru[emoji1787] Angalia usije kubakwa tu[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16]

Kuna mdada alijichanganya nilikuwa sijawahi hata kumfikiria, kazinguana na kuachana na mumewe mwezi mmoja nyuma, nyege zake zikamtuma kwangu.

Nilistuka naona text mida ya saa 5 night "mambo" nikaitikia, mara "karibu tulale" hiiiiiii!! Nilipandwa na wazimu comred kipepe akachachamaa hadi nikahisi misuli inataka kupasuka! Tuliendelea kuchat nampandisha stimu nikamwambia namuibukie, akasema "njoo" akidhani siwezi kwenda usiku ule.

Nyege zimempanda hadi katoka nje kukojoa, mara anastukia njemba hii hapa! Akashangaa sana, akaniuliza "una ukame wa muda gani?" Akanikomalia nisubiri kesho yake mida hiyo hiyo mibovu watu wote wamelala, kweli kesho yake nilimpelekea moto wa hatari, na alivyokuwa mtamu dah! Dudu ilikuwa hailali yaani, hadi leo Sharifa ananipaga tena na tena na tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…