Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nalog out hadi bro uende kulala🤣🤣🤣Gari ishawaka hiyo[emoji23], alafu upo kwenye slope
Kama ni MWANAMKE kweli aje PM tutongozane alafu nitawaletea MREJESHOUsisahau mrejesho
I love you, nilikukubalia wewe tu kipoza roho changu, kwengine kote ni big NO.Sitaki!
huyo mjinga alivuka mpaka....angetakiwa ile ile day one kabla ya wewe kukubali ajikataeUmenikumbusha wakati nipo undergraduate, kuna mrembo mmoja alianza mazoea na mm akanitongoza tulipofanya mapenzi tuu akaniacha, aisee siwez sahau ile kitu.
Alinifanyia ile HIT AND RUN, sikuamini macho yangu.
Sikuliwa, sikujinasisha hata siku mmoja....wakaka wenyewe mnaanza kigugumizi na wenge najiondoa kabla akili haijakukaa vizuri....kesho ukiniona kama sikujui
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uzoefu wangu, sijawahi tongozwa na mtoto wa kike na nikamkatalia, mie ni maharage ya mbeya, sijui kukataa..
Nimnyime ya nini hili RUNGU KIPEPE litakija kuliwa na nyenyere tu
Wewe ukiona mdada anatongoza livelive ujue anajiamini na ameshajipimiaKwanza nakuangalia unafananaje ukiwa pisi mbovu nakufukuza kabla hata ujaanza kushusha mistari
Kuna wanaume hawana aibu, tena ukute ndio alikua anakupigia hesabu then ukajileta mwenyewe kwenye 18 hawezi kukuacha salamaNo ni uamuzi na ukitaka kumwonea mtu basi lazima uhakikishe kuna siku alichemka kitoto....very fun yaan....nimeona nije na huyu mwenzangu ajaribu kukueleza anavyoumia juu yako...tumekaa wadada wawili tutakukaba mpaka ukituona baadae unajisikia aibu
Sitaki!I love you, nilikukubalia wewe tu kipoza roho changu, kwengine kote ni big NO.
Ukileta huo mchezo kwangu ntakugegeda kwa lazimaTena nyie shabab au mabrazameni ndio tulikuwa tunawaonea.....hahahahahhh
Em nitongoze basi, please..😁Yaan ningekuangalia right kwenye macho, tena nikiwa na mashoga zangu nakutongoza kwa sauti, bandua bandika....utachochora tu
Hakuna namna nilale tu, maana ni kama najaza maji kwenye tenga[emoji23]Nalog out hadi bro uende kulala[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uzuri muda ule unakuwa mwanaume hijajiamini, ukisema I love you....nashika shati najifanya kukufungua vifungo na kusisitiza hapahapa hamna mtoto nataka touchings hata kama mbele ya darasa....wakaka wanaanza sasa baadae...ooh nina pepa wiki ijayoooo....tulikuwa tunacheka sanaKhaa labda siyo mimi😂, utajaa tu kwenye kilengeo mdada na utatoa tu mzigo kiroho safi. Labda niwe sijakupenda, ila nikikupenda hutoki mshikaji wangu✔️🎯
Huyo hakuwa na tabia kama zako nafikiri, ww unafanya hivo kwa sababu unapenda ile hali ya kuwaona wanaume wanaweweseka na wanajing'atang'ata...yule demu bhana alikuwa nahic ni sex addict, alikuwa anapenda sana kufanya mapenzi na alikuwa hapendagi kugandanahuyo mjinga alivuka mpaka....angetakiwa ile ile day one kabla ya wewe kukubali ajikatae
Nimecheka Hadi machozi Wallahi.....Leo umenikamata aisee🤣Hakuna namna nilale tu, maana ni kama najaza maji kwenye tenga[emoji23]
Na mtego wangu ulikuwa hapo hapoSasa si lazima utupe muda tufikirie jibu lako we unataka tukubali harakaharaka utuone Malaya?