N aibu kijana kushindwa kutengeneza connection mtu unakuta anakaa mtaa mmoja na mbunge, Diwani au bos wa taass yyte ile ukimuulza vipi mbn unaishi na watu wa connections mbn uko nyuma atakwambia aanh mtu mwenyewe anajisikia mara ooh ana roho mbaya ooh mara mm siwez mshobokea,,, mtake msitake vijana shobo katika waliokuzd kipato sio dhambi, mtu anakaa mtaan ata mwenyekit wa mtaa anashindwa kuwa Connected nae!!
Connection ndio kla kit sasa hv ukiwa huna connections utaishia kulialia kla siku
Ipo siku ntaeleza namna nilivyotengeneza connections na Mheshimiwa waziri fulani kipindi cha uchaguz tena kupitia tu social media zangu mpaka nikapata kazi ya maana nisioitegemea kupitia yeye na ajabu kipind natengeneza connection marafiki zang walinicheka na kunikatisha tamaa balaaa walinipa kla aina ya matusi mara nashobokwa, mara najipendekeza lkn kichwan kwangu nlkuwa nawaza tu ntafanya kla liwalo mpk npate fursa kupitia huyu waziri, ila baada ya kutusua sasa wanataka niwabebe yalivyo mafala.