Kama upo mtaani muda mrefu bila kazi, tatizo ni wewe!

Kama upo mtaani muda mrefu bila kazi, tatizo ni wewe!

Aaaagh! Kila mtu ana riziki yake bhana! Jitihada hazishindi kudra! Wapo watu wametumia kila mbinu lakini wapiiii....

Kama Mungu amekubariki ajira,mshukuru tu kisha uwaombee na wengine awafanyie wepesi.

Ukifanikiwa usiwaone wengine kama wana makosa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole mzee... unataka kulala ndani ukisubiri kudra au riziki?
Nyie ndio wazee wa kumlaumu Mungu na kumuona mbaguzi kumbe ni uzembe wako tu.

Ushaambiwa dunia ya kibepari endelea kutia huruma kama hujaona kila mtu mbaya machoni kwako
 
Sasa mkuu kwani kuwa maskini unafikiri ni ujanja ukiwa maskini utatukanwa tu...usipotukanwa na mimi utatukanwa na mabebezi usipotukanwa na mabebezi utatukanwa na masela wako mpaka ndugu zako wa damu yani hauwezi kuwa salama....Pambana usitie huruma hakuna wa kukuonea huruma.

Tengeneza package yako maisha ni yako lazima uwe mnyama.
Hongera sana kwa sumu unayomwagia hawa wavivu
 
Jamaa anashindwa kuelewa kila mtu ana muda wake wa kutoboa hapa duniani! Kila mtu mungu kampangia wakati wake wa kupeta kama haujafika huo wakati utapiga sarakasi zote ila hutafua dafu!
Achana na haya mawazo bana!!🙄🙄 Kwa hiyo wasiofanikiwa kabisa mungu kawabagua? Wasiomwamini mungu nao mafanikio wantoa wap?

Nakuheshimu sana ila haya mawazo yako sikubaliani nayo kabisa. Huku ni kuchelewesha watu. Ww ingia vitani swala la kupata na kukosa ni la kimkakati tu na mapungufu ya binadamu ila Mungu hausiki hat tone msimpe lawama bure
 
Pole mzee... unataka kulala ndani ukisubiri kudra au riziki?
Nyie ndio wazee wa kumlaumu Mungu na kumuona mbaguzi kumbe ni uzembe wako tu.

Ushaambiwa dunia ya kibepari endelea kutia huruma kama hujaona kila mtu mbaya machoni kwako
Unaandika kama unanifahamu vile[emoji57][emoji57]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nature ya maisha.

Mtu akitoboa, huwaona ambao hawajatoboa ni uzembe wao.

Kikazi cha ubank teller apo tpb bank ushaanza kukashifu watu.

Aya bhana.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] take hm 500k
 
Kazi ni vita unatakiwa uwe na silaha.....kazi za kuflow zenyewe zimebaki hizi za kutembeza mabeseni mjini matokeo yake ukiona classmate unajificha kwenye msingi.

Ili uwe na kazi nzuri unatakiwa upambane.

Kuna watu hata skill ya kawaida ya kutengeneza CV kwao ni mtihani.

Mtu hata kujieleza yeye ni nani ni mtihani na anajua nikienda interview piga ua tell me about yourself siwezi acha kuulizwa.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] anajificha kwenye msingi sio
 
Kwanini huu Uzi wako hujaanzisha na ile ID yako ' zoeleka ' inayoanzia na Herufi ( s ) Mkuu?

Huu Uzi wako ungependeza sana kama ungeuanzisha Kipindi kile Unafugwa hapo Sinza kabla ya Kurejea Mkoani Mji Kasoro Bahari ulipokuwa ' Choka Mbaya ' mpaka ulipopata hili Sbavu ulilonalo sasa kwa Msaada.

Bado unamiliki hilo Gari lako Bovu sana?
Mr game changer , charismatic fella .. Kumbe unampata huyu jamaa anauejimwambafai kinyabe hapa ..anatuletea upopoma wake [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Trueth has been said , moyo mweupe kiroho safi we need to set up mind and change accordingly.

Mwamba umeandika frsh na kwakweli haina haja ya kulaumu lets push till the last drop.

Big up kaka, no matter what ukweli ni mchungu mzee baba

Bless up !
 
Aaaagh! Kila mtu ana riziki yake bhana! Jitihada hazishindi kudra! Wapo watu wametumia kila mbinu lakini wapiiii....

Kama Mungu amekubariki ajira,mshukuru tu kisha uwaombee na wengine awafanyie wepesi.

Ukifanikiwa usiwaone wengine kama wana makosa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kutegemea kudra katika ulimwengu huu wa kibepari....siku unakuja kujua kuwa sheria zipo ili zivunjwe, umezeeka kwa kulaumu wengine baadala ujilaumu mwenyewe
 
Acha niwapelekee moto wazembe wazembe wanadeka kama yatima.

Dunia hii ukileta unyonge unanyooshwa tu hahahahaha.
I like ur spirit, kwel hata Mungu mwenyewe hapend vinyonge,maisha ni kupambana ya hela yote,endelea kuwakamua majipu bila ngaz watafta excuse😂,no matter what vijana tusimame imara.
 
Hapa Kuna harufu ya Tunguli. Ngoja na Mimi nitafuta maboxi ya Tunguli na kila kitu naweza saidika
 
Si ajabu ukaanza kunilaumu mimi ndio nakukwamisha au nakukatisha tamaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Toka kwenye comfort zone pambana.

Tuma hiyo CV, tuma hiyo proposal, jinoe uwe jembe watu wakutafute, ingia front tafuta opportunities ikibidi tumia njia chafu.

Usitie huruma hakuna anaekuonea huruma sio mjomba sio bro sio dada sio rais wako. Dunia ni maisha ya upweke ukiwa nacho ni cha wote ukipigika na maisha yako peke yako.
[emoji851][emoji851][emoji851] mpaka ndumba, njia chafu
 
Back
Top Bottom