Kama upo mtaani muda mrefu bila kazi, tatizo ni wewe!

Kama upo mtaani muda mrefu bila kazi, tatizo ni wewe!

Siingiagi sana huku jukwaa la ajira lakini leo nimepitia post nyingi sana na nimesoma comments mbalimbali za watu.

Nachotaka nikwambie tu wewe unaeangaika muda mrefu kutafuta kazi na hupati tatizo sio mtu mwingine yoyote tatizo ni wewe mwenyewe.

Yes tatizo ni wewe, japo wengi hatupendi kukubali huu ukweli kwamba tuna mapungufu upande wetu siku zote tunapenda kutafuta mtu wa kumbebesha mizigo yetu ya lawama.

Vijana wengi tunapenda kulaumu na tukishadanganywa na wajanja haswa wanasiasa basi ndio tunarelax kabisa tukiamini kuna mtu ndio tatizo ndio maana hatutoboi.

Mimi binafsi sinaga time ya kulaumu mtu na imenisaidia sana. Nachukulia almost kila kitu positively.

Ili upate ajira tena nzuri unahitaji vitu vitatu.

1. Skills
2. Connection
3. Confidence au uthubutu.

Kabla ya kumlaumu mtu au kulalamika January mpaka December, jiulize umeshafanya lolote kuwa na hivyo vitu vitatu?

Je ukiitwa kwenye interview wanayohitaji watu wenye uwezo unaweza kuwashinda wenzako?

Unaweza kuandika CV na cover letter inayoweza kukuuza?
Unaweza kujibu vizuri maswali ya kwenye interview?

Una skills ambazo zinahitajika au zinazoweza kukutofautisha na degree holders wenzako?
Ukipata kazi unaweza kuleta results ?

Kabla haujapeleka lawama popote pale anza na wewe.

Lazima ujifunze tuko dunia ya kibepari hakuna wa kukuonea huruma hata ukitia huruma.

Kila mtu na maisha yake usitake watu wapiganie maisha yako wakati umekaa kizembe tu kama fala flani.
Kweli maskini akipata matako hulia mbwata. Ila Sio ajabu Kuna baadhi hata ya matajiri huwaona wale maskini kuwa wanaishi kwenye umaskini wao kwasababu ya wavivu.

NB; ukipata saidia na wengine na kama huwezi kusaidia acha usisemange.
 
Kuandika ni kitu chepesi sana anyway ni mtazamo wako
 
N aibu kijana kushindwa kutengeneza connection mtu unakuta anakaa mtaa mmoja na mbunge, Diwani au bos wa taass yyte ile ukimuulza vipi mbn unaishi na watu wa connections mbn uko nyuma atakwambia aanh mtu mwenyewe anajisikia mara ooh ana roho mbaya ooh mara mm siwez mshobokea,,, mtake msitake vijana shobo katika waliokuzd kipato sio dhambi, mtu anakaa mtaan ata mwenyekit wa mtaa anashindwa kuwa Connected nae!!

Connection ndio kla kit sasa hv ukiwa huna connections utaishia kulialia kla siku

Ipo siku ntaeleza namna nilivyotengeneza connections na Mheshimiwa waziri fulani kipindi cha uchaguz tena kupitia tu social media zangu mpaka nikapata kazi ya maana nisioitegemea kupitia yeye na ajabu kipind natengeneza connection marafiki zang walinicheka na kunikatisha tamaa balaaa walinipa kla aina ya matusi mara nashobokwa, mara najipendekeza lkn kichwan kwangu nlkuwa nawaza tu ntafanya kla liwalo mpk npate fursa kupitia huyu waziri, ila baada ya kutusua sasa wanataka niwabebe yalivyo mafala.
 
Leo kiumbe kapata anaona wenzake wazembe. Anadiriki kuwaita maboya, mafala, na watiaji huruma.

Labda mungu atakufundisha somo fulani kuhusu riziki as time goes on. Maana wapo watu waliokuwaga na kazi kipindi fulani na leo hawana na hivi sasa maisha yao yamebadilika tunawajua.

Kuwa na akiba ya maneno!

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Maneno kama haya ndio yanafanya vijana wa Tanzania wanalemaaa kabisa, toka kwny maneno ya huruma na kumpangia Mungu kazi, huyo Mungu keshasema asiefanya kazi na asilee.
 
Wewe ndio nakwambia kama ipo ipo tu! Kazi sio kupambana mzee, ukiona unapambania sana kitu jua hakikua riziki yako! Riziki ina flow tu na tena inakujaga upande wako bila hata force kubwa
Wazee wa ridhk mafungu saba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], daaah hii mesej yako utawafany vijana sasa walalee tuu kitandan wamsubir huyo riziki aje aflow bla force
 
Maneno kama haya ndio yanafanya vijana wa Tanzania wanalemaaa kabisa, toka kwny maneno ya huruma na kumpangia Mungu kazi, huyo Mungu keshasema asiefanya kazi na asilee.
Mkuu, inaeleweka kufanya kazi ni lazima. Hakuna aliyepinga hilo. Nipo pamoja na wewe, kupambana ni lazima.

Swala ni kupata. Na kwenye hili swala la kupata unaweza ona dunia kama haiko fair.
Wapo waliopambana sana maishani mwao bila mafanikio. Wapo.
Wapo ambao kwa kudra za mwenyezi mungu (Yes, Naamini hivyo) hawakupata shida sana kwenye kupata.

Hakuna aliyekataa kufanya kazi. I know people ambao wameamua hadi kujitolea mahali with hope of getting something. Lakini unakuta anatoboa miaka hata miwili hakuna alichokipata financially.
Kufanya kazi ni jambo moja, kupata ni lingine.

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Wazee wa ridhk mafungu saba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], daaah hii mesej yako utawafany vijana sasa walalee tuu kitandan wamsubir huyo riziki aje aflow bla force
Hahahah just imagine unapigiwa simu lete cv zako then after 2 days una sign contract ya hela ndefu 😅😅😅!

Si wapo watu wa aina hio mzee? Sasa nyie endeleeni kufikiri maisha ni mapambano tu
 
Nilishawai pitia phase kama yako kwenye maisha yangu. Nilikuwa naona kila mtu mbaya na kila mtu hataki kunisaidia.

Kuna siku niliamka nikajihukumu mwenyewe kwa nini siitwi interview? kwa nini nikipata interview sitoboi? nnakosa nini wakati wengine wana ajiriwa?

Hapo ndio nilianza kubadili page ya life yangu.

Nilirudi kuandika upya CV yangu na cover letter.
Nikafungua account LinkedIn na nikatafuta mshikaji akanisaidia namna ya kuiandika na kuitumia.

Nilijipa miezi miwili ya kupiga tizi la interview nilikuwa nna maswali karibu yote kwenye interview ya field yangu niliyaandaa kutumia google na sources mbalimbali. Nikawa na majibu yake, so ilikuwa kawaida kunikuta ghetto nazungumza mwenyewe kama chizi au sometimes naenda zangu coco beach.

Nilikubali weakness yangu nikaifanyia kazi.
Naomb unisaidie kwa Hilo nami Natamani kujifunza..
 
Kujiongezea skills ulimwengu wa sasa hakuitaji muda mrefu kama unavyozungumza.

Ukiingia YouTube kuna kila kitu.

Kuna platform kama udemy na nyingine unaweza kujifunza skills kibao.

Connection siku hizi kupata sio lazima kwa mjomba hata huku kwenye social media ukiamua kufanya interactions in a positive way kuna connection kibao mfano mimi kuna watu nafanya nao biashara tulikutana Twitter wengine kwenye groups za WhatsApp.
Oya acha ujinga basi.
 
Siingiagi sana huku jukwaa la ajira lakini leo nimepitia post nyingi sana na nimesoma comments mbalimbali za watu.

Nachotaka nikwambie tu wewe unaeangaika muda mrefu kutafuta kazi na hupati tatizo sio mtu mwingine yoyote tatizo ni wewe mwenyewe.

Yes tatizo ni wewe, japo wengi hatupendi kukubali huu ukweli kwamba tuna mapungufu upande wetu siku zote tunapenda kutafuta mtu wa kumbebesha mizigo yetu ya lawama.

Vijana wengi tunapenda kulaumu na tukishadanganywa na wajanja haswa wanasiasa basi ndio tunarelax kabisa tukiamini kuna mtu ndio tatizo ndio maana hatutoboi.

Mimi binafsi sinaga time ya kulaumu mtu na imenisaidia sana. Nachukulia almost kila kitu positively.

Ili upate ajira tena nzuri unahitaji vitu vitatu.

1. Skills
2. Connection
3. Confidence au uthubutu.

Kabla ya kumlaumu mtu au kulalamika January mpaka December, jiulize umeshafanya lolote kuwa na hivyo vitu vitatu?

Je ukiitwa kwenye interview wanayohitaji watu wenye uwezo unaweza kuwashinda wenzako?

Unaweza kuandika CV na cover letter inayoweza kukuuza?
Unaweza kujibu vizuri maswali ya kwenye interview?

Una skills ambazo zinahitajika au zinazoweza kukutofautisha na degree holders wenzako?
Ukipata kazi unaweza kuleta results ?

Kabla haujapeleka lawama popote pale anza na wewe.

Lazima ujifunze tuko dunia ya kibepari hakuna wa kukuonea huruma hata ukitia huruma.

Kila mtu na maisha yake usitake watu wapiganie maisha yako wakati umekaa kizembe tu kama fala flani.
Umeandika togwa tupu kama sio macholo kabisa, hivi unadhani mambo yako kama hivyo wewe udhaniavyo?
 
Na usipokuwa na bahati ndio unajustfy kitu gani? hahahahaha

Mimi sijatumia lugha ya kinafiki ndio maana ujanielewa.

Nachowashauri watu wasipambane kama maboya lazima wawe smart na waache maisha ya kutia huruma hayo maisha hayapo siku hizi.

Maisha ya nna mjomba wangu lakini hanisaidiii hayakufikishi popote.

Lazima uwe na package au silaha za kupambania kombe. Sio una degree yako ya statistics umekaa tu miaka na miaka unalaumu kwa nini una degree na hupati kazi..kwani nani hana degree siku hizi!? una nini cha ziada yani wewe ni data scientist na hujui hata kutumia goggle form na unataka ucompete na watu wanatengezeza ma-database wanafanya analysis kwa tools hata tatu tofauti.
Mkuu umesoma degree ya official statistics au BsC.statistics?
 
Siingiagi sana huku jukwaa la ajira lakini leo nimepitia post nyingi sana na nimesoma comments mbalimbali za watu.

Nachotaka nikwambie tu wewe unaeangaika muda mrefu kutafuta kazi na hupati tatizo sio mtu mwingine yoyote tatizo ni wewe mwenyewe.

Yes tatizo ni wewe, japo wengi hatupendi kukubali huu ukweli kwamba tuna mapungufu upande wetu siku zote tunapenda kutafuta mtu wa kumbebesha mizigo yetu ya lawama.

Vijana wengi tunapenda kulaumu na tukishadanganywa na wajanja haswa wanasiasa basi ndio tunarelax kabisa tukiamini kuna mtu ndio tatizo ndio maana hatutoboi.

Mimi binafsi sinaga time ya kulaumu mtu na imenisaidia sana. Nachukulia almost kila kitu positively.

Ili upate ajira tena nzuri unahitaji vitu vitatu.

1. Skills
2. Connection
3. Confidence au uthubutu.

Kabla ya kumlaumu mtu au kulalamika January mpaka December, jiulize umeshafanya lolote kuwa na hivyo vitu vitatu?

Je ukiitwa kwenye interview wanayohitaji watu wenye uwezo unaweza kuwashinda wenzako?

Unaweza kuandika CV na cover letter inayoweza kukuuza?
Unaweza kujibu vizuri maswali ya kwenye interview?

Una skills ambazo zinahitajika au zinazoweza kukutofautisha na degree holders wenzako?
Ukipata kazi unaweza kuleta results ?

Kabla haujapeleka lawama popote pale anza na wewe.

Lazima ujifunze tuko dunia ya kibepari hakuna wa kukuonea huruma hata ukitia huruma.

Kila mtu na maisha yake usitake watu wapiganie maisha yako wakati umekaa kizembe tu kama fala flani.
Kwanini huu Uzi wako hujaanzisha na ile ID yako ' zoeleka ' inayoanzia na Herufi ( s ) Mkuu?

Huu Uzi wako ungependeza sana kama ungeuanzisha Kipindi kile Unafugwa hapo Sinza kabla ya Kurejea Mkoani Mji Kasoro Bahari ulipokuwa ' Choka Mbaya ' mpaka ulipopata hili Sbavu ulilonalo sasa kwa Msaada.

Bado unamiliki hilo Gari lako Bovu sana?
 
Sasa mkuu kwani kuwa maskini unafikiri ni ujanja ukiwa maskini utatukanwa tu...usipotukanwa na mimi utatukanwa na mabebezi usipotukanwa na mabebezi utatukanwa na masela wako mpaka ndugu zako wa damu yani hauwezi kuwa salama....Pambana usitie huruma hakuna wa kukuonea huruma.

Tengeneza package yako maisha ni yako lazima uwe mnyama.
Mkuu haya madini ni hatari tupu.

Unaongea ukweli ambao ni mchungu. Lakini unaponya
 
Kwanini huu Uzi wako hujaanzisha na ile ID yako ' zoeleka ' inayoanzia na Herufi ( s ) Mkuu?

Huu Uzi wako ungependeza sana kama ungeuanzisha Kipindi kile Unafugwa hapo Sinza kabla ya Kurejea Mkoani Mji Kasoro Bahari ulipokuwa ' Choka Mbaya ' mpaka ulipopata hili Sbavu ulilonalo sasa kwa Msaada.

Bado unamiliki hilo Gari lako Bovu sana?

Hataree 🙄🙄🙄🙄
 
Kwanini huu Uzi wako hujaanzisha na ile ID yako ' zoeleka ' inayoanzia na Herufi ( s ) Mkuu?

Huu Uzi wako ungependeza sana kama ungeuanzisha Kipindi kile Unafugwa hapo Sinza kabla ya Kurejea Mkoani Mji Kasoro Bahari ulipokuwa ' Choka Mbaya ' mpaka ulipopata hili Sbavu ulilonalo sasa kwa Msaada.

Bado unamiliki hilo Gari lako Bovu sana?
Mkuu kama unataka kunifahamu nicheki pm tutaonana mpaka nyago kwa nyago. Usibeti unapoteza muda na nguvu.
 
Back
Top Bottom