Kama ushawahi kuachwa kihivi, njoo utupe mkasa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Tulikuwa hata hatujawahi kuonana. Akanitumia text "cant do this no more"

Nikamjibu tu "its okey".

Nikampotezea, akaja kunitafuta tena. Ila ndio basi tena.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Auntie bana! Ko ulikuwa unadate na kivuli!
 
I'm proud of you

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Auntie bana! Ko ulikuwa unadate na kivuli!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Auntie unazijua zile poteza time eeeh?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Auntie unazijua zile poteza time eeeh?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sijawahi kuzijua auntie jamani!
 
Sikumbuki kuachwa au kuacha najiandaa kabla sijaingia

Siku za mwanzo huwa ngumu...baada ya week 1 kila kitu huwa sawa

Mara nyingi nikiacha nakuwa kimya sijibu sms wala sipokei simu, pia nakuwa kimya sitaki kumpa credit haswa nikiwa nimemla

Sikubali kuachwa kama sijamla ntabembeleza ata kama kakosea yeye lengo nimle kwanza

Nishaachwa karibia mara 3 ila niliomba msamaha kama mtoto lengo nimle kwanza

Nilimla, nikawa nasubiri neno kuniacha, alijichanganya akasema tuachane nikamwambia ndo nilichokuwa nasubiri akuona text wala simu wala kuomba msamaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…