Kama Wanakwaya wanavaa hivi basi si ajabu Wengine kuvaa pia!

hakuna picha ni chai
 
Tunaendelea kujifunza mkuu

Naona wake za wachungaji bilashaka watakuwa wanalipa kisasi
 
Uishi Maisha marefu Kwa kuongea lililo Haki

Mungu awafanyie wepesi wabadilike
 
Huyo mdangaji nae si anaenda kutafuta madanga kanisani, unafikiri wanakosekana kanisani hao? Wanazama hadi Church kwenda kudanga, ukiingia line imekula kwako
Kama wameamua mpaka kuwafuta kondoo WA bwana huko kanisani basi hakika Hali ni tete Sana mkuu
 
Mkuu nitake radhi tafadhali

Huyu dada naona anachanganya madesa, Kwanza anajibu komenti ambazo hata hazihusiani na Uzi huu

Huyo katika jukwaa la MMU anatafuta mume sasa amekuwa akiulizwa kuhusu picha yake,na ndio maana ktk Uzi huu unamkuta anachanganya mambo

Kwa mfano Mimi nimejibu madam Mamndenyi ktk comment yake moja kuwa napenda kuishi uraiani Ila huyo Zanzibar2014 akajibu kuwa yeye anaiishi huku huku kitu Kama Hicho,kwahiyo huyo mdada naona hayupo Sawa huenda kutokana na stress
 
Mkuu ni hatar Sana

Kuna ishu kama hiyo nilishawahi kuisikia kipindi Fulani inahusiana na wachungaji WA kondoo kutafuna kondoo wao na kuwala supu.

Ni hivi kuna mchungaji alikuwa na kondoo wake kama Mia tatu hivi (300) na akawa na mchungaji mwenzake msaidizi,sasa mchungaji mkuu aliposafiri akamuachia msaidizi alichunge wale kondoo, basi bwana kumbe msaidizi alikuwa na degree ya tiafa unaambiwa alifanya wiring Kwa waumini karibia wote WA lile Kanisa na kuwapa umeme.

Swala linakuja je hawa kondoo hawajiulizi inakuwaje mchungaji anataka kuwala na wao hawaoni kuwa huyu hastahili kufanya kazi ya bwana?
 
Wengine ni wa kiume wanataka your attention.

Nilishangaa that reply, but sikujali anyway.
 
Hivi hawa ambao hawashtukii haya mambo wanakuwaga wapi?

Au wao huwa na staili moja Tu?

Ninavyojuq Mimi, mkiwa mnapinga sarakasi mbali mbali lazima hiyo Hali utaiona

Inamaana bibie akichuma mboga haoni kuwa kuna mabadiliko?
 
[emoji1787][emoji1787] hayo makondoo yamepigwa radi [emoji1787][emoji1787] sijui wanawalishaga majani gani aisee
 
Hivi hawa ambao hawashtukii haya mambo wanakuwaga wapi?

Au wao huwa na staili moja Tu?

Ninavyojuq Mimi, mkiwa mnapinga sarakasi mbali mbali lazima hiyo Hali utaiona

Inamaana bibie akichuma mboga haoni kuwa kuna mabadiliko?
Nahisi hawa jamaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787] dah! Wanakuaga na style moja tu " GWAJI BOY " ya maaskofu wana ona kama ukiwakunja wanaumia[emoji16][emoji16] ina bidi kule kwenye bible study wafundishwe na KAMASUTRA kama wenzao wa zamani kuna style ambazo hata ss ambao sio walokole hatuziwezi
 
Hii mkuu inaitwa missionary iliyoongezwa ubora

Daah hii inabidi wanandoa wote mue wanamazoezi mkuu

Hatar sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…