Kama watoto ni Malaika kwa nini wana roho mbaya na tabia chafu

Kama watoto ni Malaika kwa nini wana roho mbaya na tabia chafu

Tatizo muoga sana kaka,jibu swali. Ukiwa unakula huwa unatumia mkono gani ? Kama unatumia yote wewe jibu. Ila si unajua hata Birika pia lina mkono ila sio kama mkono wako ? Tafakari kidogo juu ya kauli yangu utahisi au utaona ishara japo kwa mbali kwanini nimekuuliza swali hili dogo.

Nataka nikufundishe jinsi ya kufikiri vile unavyooaswa ufikiri.
"Yote" ni mkono?

Unajua wingi na umoja wa mkono katika Kiswahili?
 
Thibitisha Mola yupo kabla ya yote.

Kama huwezi kuthibitisha Mola yupo, na Mola ndiye kaumba mpaka malaika, basi hujakanusha kwamba malaika ni hadithi tu na hawapo.


Mwerevu ishara zina mtosha.
 
"Yote" ni mkono?

Unajua wingi na umoja wa mkono katika Kiswahili?


Najua kukiko unavyofikiria wewe. Kaka tatizo hujanijua aisee,huwa sikurupuki japo sijakingwa na makosa.

Nikisema huwa hufikiri kinachoandikwa kaka,huwa namaanisha. Wewe si huwa unajifaragua na elimu ya mantiki (logic) sasa hujaelewa nini ?

Hivi nikisema naenda kuoga ? Wewe unajua naenda kuoga kwa kutumia kimiminika gani ? Sharubati au mkojo ? Je nikitumia Sharubati kuogea nita ambiwa kwamba nimeoga ?

Kaka kwa kawaida mtu huweI kula kwa mikono miwili kwa wakati mmoja kwa chakula hicho hicho ukifanya hivyo utaonekana hauko sawa.

Kwahiyo umoja utabaki kimaana na kimatamko wakati humo humo uwili ukiwepo.
 
Najua kukiko unavyofikiria wewe. Kaka tatizo hujanijua aisee,huwa sikurupuki japo sijakingwa na makosa.

Nikisema huwa hufikiri kinachoandikwa kaka,huwa namaanisha. Wewe si huwa unajifaragua na elimu ya mantiki (logic) sasa hujaelewa nini ?

Hivi nikisema naenda kuoga ? Wewe unajua naenda kuoga kwa kutumia kimiminika gani ? Sharubati au mkojo ? Je nikitumia Sharubati kuogea nita ambiwa kwamba nimeoga ?

Kaka kwa kawaida mtu huweI kula kwa mikono miwili kwa wakati mmoja kwa chakula hicho hicho ukifanya hivyo utaonekana hauko sawa.

Kwahiyo umoja utabaki kimaana na kimatamko wakati humo humo uwili ukiwepo.
Ushakurupuka kuniuliza nakula kwa mkono gani kama vile ni lazima kila mtu kula kwa mkono fulani.

Wewe ni mshamba.

Marekani tunakula burgers mikono miwili.
 
Ushakurupuka kuniuliza nakula kwa mkono gani kama vile ni lazima kila mtu kula kwa mkono fulani.


Sikukurupuka mzee,ungejibu ungeona ningekuoa maelezo gani kukingana na munasaba wa kauli yako kuhusu malaika

Tatizo muoga sana..!
 
Sikukurupuka mzee,ungejibu ungeona ningekuoa maelezo gani kukingana na munasaba wa kauli yako kuhusu malaika

Tatizo muoga sana..!
Thibitisha Mungu yupo.

Unauliza maswali yanayoonesha ufinyu wa mawazo nanumasikini ya elimu ya utamaduni.

Mimi nakaa Marekani. Burgers tunakula kwa mikono miwili.

Na siku yoyote naweza juamua kula Kimarekani, ki Ulaya, Kichina.

Unaniuliza nakula kwa kutumia mkono gani.

Ufinyu wa mawazo na umasikini wa elimu ya tamaduni mbalimbali.
 
Hujathibitisha Mola yupo.

Huwezi kuthibitisha.

Kwa sababu hayupo.


Kuna mwanachuoni fulani alisema hivi " Nina weza kujadiliana na wasomi mia moja nikawashinda kwa hoja ila siwezi kujadiliana na mjinga mmoja nikamshinda"

Tafakari,kaka tatizo watu kama nyinyi huwa mnafikiria uoande mmoja tu maisha yenu yote.
 
Kuna mwanachuoni fulani alisema hivi " Nina weza kujadiliana na wasomi mia moja nikawashinda kwa hoja ila siwezi kujadiliana na mjinga mmoja nikamshinda"

Tafakari,kaka tatizo watu kama nyinyi huwa mnafikiria uoande mmoja tu maisha yenu yote.
Kama kweli mimi ni mjinga, huo ni ushahidi kwamba Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo, asingeumba ulimwengu ambao kiumbe wake anaweza kuwa mjinga.
 
Watoto si malaika bali hawana dhambi. Kwa maana kwamba yote wanayoyafanya sio matendo ya hiyari. Ni hatua katika ukuaji. Sio uchoyo bali umiliki wa kitu kama wadau walivyosema. Ila kwa wanaoongea huwa wananakili matendo na maneno yanayotokana na jamii wanayoishi. Nawasilisha
 
Thibitisha Mungu yupo.

Unauliza maswali yanayoonesha ufinyu wa mawazo nanumasikini ya elimu ya utamaduni.

Mimi nakaa Marekani. Burgers tunakula kwa mikono miwili.

Na siku yoyote naweza juamua kula Kimarekani, ki Ulaya, Kichina.

Unaniuliza nakula kwa kutumia mkono gani.

Ufinyu wa mawazo na umasikini wa elimu ya tamaduni mbalimbali.

Kaka hujui kula wala hujui maana ya kula mzee. Nilikutega naona ukajaa,hakuna binadamu anae weza kula kwa mikono miwili kwa wakati mmoja. Kula si kuingiza chakula tu mdomoni. Kula ni kitendo kinacho anzia karika kuchukua chakula mpaka kukitia mdomoni mzee.

Waswahili wana msemo wao mmoja unasemwa hivi "Asie jua maana haambiwi maana". Ila mimi nina sema hivi asie jua maana ni wajibu kuambiwa maana.
 
Kaka hujui kula wala hujui maana ya kula mzee. Nilikutega naona ukajaa,hakuna binadamu anae weza kula kwa mikono miwili kwa wakati mmoja. Kula si kuingiza chakula tu mdomoni. Kula ni kitendo kinacho anzia karika kuchukua chakula mpaka kukitia mdomoni mzee.

Waswahili wana msemo wao mmoja unasemwa hivi "Asie jua maana haambiwi maana". Ila mimi nina sema hivi asie jua maana ni wajibu kuambiwa maana.
Hujathibitisha Mungu yupo.
 
Kama kweli mimi ni mjinga, huo ni ushahidi kwamba Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo, asingeumba ulimwengu ambao kiumbe wake anaweza kuwa mjinga.


Hili nilishawahi kukueleza kitambo sana. Sirudii tena.
 
Hii kazi nilishainaliza zamani.
Hujathibitisha Mungu yupo. Weka link hapa wapi umethibitisha tuchambue kama unasema umethibitisha.

Hujathibitisha Mungu yupo.

Unahubiri tu.
 
Kama kweli mimi ni mjinga, huo ni ushahidi kwamba Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo, asingeumba ulimwengu ambao kiumbe wake anaweza kuwa mjinga.


Kaka una deni la swali langu. "WEWE UKILA HUWA UNATUMIA MKONO GANI ?"
 
Back
Top Bottom