Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Kwanza thibitisha Mungu yupo.Kaka una deni la swali langu. "WEWE UKILA HUWA UNATUMIA MKONO GANI ?"
Mimi nikianza kukuuliza hili swali kitambo sana.
Hujalijibu.
Pia, swali lako ni la kivivu. Unauliza mkono gani kama vile ni lazima kula kwa mkono fulani.
Ni swali la uvivu wa fikra na ujinga wa tamaduni.