Kama watoto ni Malaika kwa nini wana roho mbaya na tabia chafu

Kama watoto ni Malaika kwa nini wana roho mbaya na tabia chafu

Kaka acha kuwa na wasi wasi na kuwa na dhana,unapoulizwa swali jibu swali sio unaleta dibaji.

Kama utakuwa una kumbukumbu nilishawahi kukwambia hivi " Kutokana na mtiririko wako wa ujengaji hoja na mitazamo yako,huwa najua kifuatacho utasema nini,japokuwa sio neno kwa neno bali hata kwa maana huwa sikukosi". Sasa inabidi ujitathmini mara mbili mbili mzee.

Sio kwamba nina uwezo wa kujua yajayo la ! la ! bali fikra zako nyepesi kiasi hicho. Mfano wako wewe ni mfano wa mtoto mdogo ambaye nikimpa shilingi 50 ya kitanzania,najua ataenda kununua nini,kabla hajaenda kununua.

Kaka ukiukizwa swali jifunze kujibu swali. Nakuuliza tena "WEWE UKILA HUWA UNATUMIA MKONO GANI ?"
Hivi unakumbuka mtoa mada anazungumzia nini ?
Unaakili??
Kaka una deni la swali langu. "WEWE UKILA HUWA UNATUMIA MKONO GANI ?"
Aisee
 
Kabla sijafika mbali, kwenye namba moja hapo, kujibu maswali u ayoulizwa, labda ungeanza kwa kuonesha mfano kujibu swali langu la siku nyingi.

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo? Thibitisha.

Hujathibitisha.

Ukiniambia nijibu maswali ninayoulizwa, lakini wewe hujibu, unakuwa mnafiki kama wale ma Shehe wanaosema "fuatisha ninachosema, si ninachofanya".

Wewe ni mnafiki.

Thibitisha Mungu yupo.


Kaka mimi sio mnafiki,huwi mnafiki mpaka utimize sifa nne. Naona umenisingizia tena.

Kama unakumbukumbu vizuri,mimi ndio nilianza kukuuliza wewe swali kuhusu kama hao malaika sio malaika basi hao malaika ni kina nani ? Hujajibu swali hilo mpaka muda huu.

Pili unaoneana una matatizo ya kuunganisha hoja mbilizinazo kinzana kuwa hoja moja yenye kuwiana sawia na hoja hizo mbili kinzani. Hapa nitakupa mfano ikibidi.

Kitendo cha wewe kusema ya kuwa hao malaika wenyewe sio malaika jua ya kuwa hauku kanusha kutokuwepo kwa hao malaika bali ulikataa tu ya kuwa hao malaika sio malaika bali ni jambo fulani au kitu fulani.

Sasa hao malaika ambao sio malaika ni kina nani ?
 
Kaka mimi sio mnafiki,huwi mnafiki mpaka utimize sifa nne. Naona umenisingizia tena.

Kama unakumbukumbu vizuri,mimi ndio nilianza kukuuliza wewe swali kuhusu kama hao malaika sio malaika basi hao malaika ni kina nani ? Hujajibu swali hilo mpaka muda huu.

Pili unaoneana una matatizo ya kuunganisha hoja mbilizinazo kinzana kuwa hoja moja yenye kuwiana sawia na hoja hizo mbili kinzani. Hapa nitakupa mfano ikibidi.

Kitendo cha wewe kusema ya kuwa hao malaika wenyewe sio malaika jua ya kuwa hauku kanusha kutokuwepo kwa hao malaika bali ulikataa tu ya kuwa hao malaika sio malaika bali ni jambo fulani au kitu fulani.

Sasa hao malaika ambao sio malaika ni kina nani ?

I'm in my asinine brute mode now.

Nikujibu swali moja mara ngapi ili kamasi zilizojaa kichwani mwako unazoziita ubongo ziweze kuelewa?
 
I'm in my asinine brute mode now.

Nikujibu swali moja mara ngapi ili kamasi zilizojaa kichwani mwako unazoziita ubongo ziweze kuelewa?


Kaka kusema sijui kwa swali usilolijua ni nusu ya elimu mzee. Wala hutachekwa bali ni ushujaa na ni uanaume.

Na nina sema hivi hata kwenye wanaume kuna wanaume.

Nimemaliza....!!
 
Kaka kusema sijui kwa swali usilolijua ni nusu ya elimu mzee. Wala hutachekwa bali ni ushujaa na ni uanaume.

Na nina sema hivi hata kwenye wanaume kuna wanaume.

Nimemaliza....!!
Kwanini nikujibubswali moja zaidi ya mara moja?

Wewe una kumbukumbu fupi hivyo umesahau?

Ni mjinga sana huelewi?

Au unajifaragua tu?
 
Inaaminika kuwa Malaika ni viumbe wasio na hatia.. Watoto kuitwa malaika ni kutokana na sifa hiyo na siyo vinginevyo..

Angels are innocent creatures so are the kids and the reverse is true!

Mfano ukisaliti uitwe Yuda ama ukiwa na roho nzuri uitwe Msamaria!

Hizo tabia ulizozitaja wanajifunza kwa wanaowazunguka..
 
Kaka kusema sijui kwa swali usilolijua ni nusu ya elimu mzee. Wala hutachekwa bali ni ushujaa na ni uanaume.

Na nina sema hivi hata kwenye wanaume kuna wanaume.

Nimemaliza....!!
Hujathibitisha Mungu yupo.
 
Back
Top Bottom