Kama wewe mrefu na una demu mmoja tafakari

Duuh kwani urefu unaanzia ngapi?
 
Kitu na enjoy ni kumtazama mwanamke kwa kuinanisha shingo/ kichwa. Au anifikie kifuani
 
Mkuu mke wa mtu ni sumu,yaani ukikamatwa wanaku.....

Huku ukirekodiwa vizuri Kisha picha wanakaa nazo,utakuwa unatozwa pesa kila wakijisikia,

Utateswa kisaikolojia,Dunia itakuwa si salama kwako,utaombwa mzigo na mamende Kama demu,hutokataa

Ukatae vipi sasa,ili wasambaze picha zako? Machizi wakiwa na njaa ya kilo moja wanakufuata kwa kigezo Cha picha.

Yaani ukikamatwa na mke wa mtu kwenye huu ulimwengu wa digital/technology Nani akupige au akuue.

Hakuna

Utakufa mwenyewe.
 
Umalaya unaona sifa ya kujitangaza nayo????
 
Ila wanaume warefu wana mvuto bhana
Ukute yule mrefu asiye na kitambi kanyooka fulani hivi [emoji2296][emoji2296]

Unahitaji kuwa na moyo mgumu kukataa kiumbe cha namna hii aseee
Mkuu Mimi ni mrefu Tena sana,kiasi kwamba nikiwa kwenye sehemu zinazojumuisha watu wengi

Misiba,sherehe n.k naonaga noma najikuta Kama naonekana Mimi tu

Hebu kesho ijumaa,tafuta location Kama upo dar, Kisha ni PM
 
Asante kwa ushauri ila wanakuja wenyewe
 
Mkuu Mimi ni mrefu Tena sana,kiasi kwamba nikiwa kwenye sehemu zinazojumuisha watu wengi

Misiba,sherehe n.k naonaga noma najikuta Kama naonekana Mimi tu

Hebu kesho ijumaa,tafuta location Kama upo dar, Kisha ni PM
Wewe NI ngongoti au tunaita Oscar makoye, yaani NI abnormal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…