Tusiojua kuigiza tuko pembeni na pop corn tunausoma mchezoKuigiza ndio mkakati
nna jamaa angu anamwambia mpenz wake hawez kuishi bila ya yeye wakati najua ana cheat na kashatia mimba huko side chick
Nikawa natoa macho wtf is wrong with people...no doubt na yule mwanamke ana cheat pia
Tusiojua kuigiza tuko pembeni na pop corn tunausoma mchezo..
Sio wanaume wote warefu wamebarikiwa na huko kwingine.Kuna janga kubwa limekumba kati ya hizi jinsia mbili ke wamekuwa wakitupima kwa macho kuwa mwanaume mrefu lazima awe na mhogo mkubwa pia sisi me kigezo tumeweka kwenye tackle sasa sijui wasio na hizo inakuaje.
[emoji23][emoji23][emoji23]Wengine hatuna bahati, mada zilivyolenga pesa..mwanaume wallet..mlitutenga manake pesa hatuna. Leo mmetaja urefu, bado sisi ni mbilikimo, kinachofuata ni nini wakuu? Mbona mnatutenga kiasi hiki.
[emoji23][emoji23]Basi kwenye huu uzi wanaume wote tunarefuka
Nipe uzoefu rafiki [emoji1787][emoji1787]Sio wanaume wote warefu wamebarikiwa na huko kwingine.
Ufupi kuanzia cm ngapi?Wanawake wafupi weusi wembamba mna nafasi yenu kwangu.
Kuna huyo mtu yupo na kama 182cm ila humo ndani ni hamna kitu yaan hamna kitu. Nilikoma kufananisha urefu wa mtu na kubarikiwa huko ndani wengine ni hamna kitu kabisa kabisa.Nipe uzoefu rafiki [emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23],Kwa hiyo wewe unapenda vijebaKuna hawa mtaani tunawaita "tolu" aisee hata nikibaki nao duniani siwataki.
Urefu tu hautoshi mwonekano muhimu.
Umeanza kubadili kauli,simamia kauli yako ya Mwanzo.Ulisikia wapi urefu unalipa bills?kipimo Cha uanamme ni uwezo wa kukabili majukumu.
Subiri uzi wa Wanawake wanaowapenda Wanaume wafupi.Wengine hatuna bahati, mada zilivyolenga pesa..mwanaume wallet..mlitutenga manake pesa hatuna. Leo mmetaja urefu, bado sisi ni mbilikimo, kinachofuata ni nini wakuu? Mbona mnatutenga kiasi hiki.
Hakuna mtu mrefu anakataliwa na mademu labda uwe mchafu yani hujipendi la sivyo jihakikishie mademu wanakupenda ukiona wanakukataa hao mademu sitaki nataka yani wanakupima tu ila uwezo wa kukukataa hawana.
Wanaume wanaokataliwa na mademu ni vijeba yani wafupi na ukiona mfupi kakubaliwa uyo labda anahela.
Kidole kidogo cha mkono rafiki?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ukikohoa tunaanza upya rafiki? Kinamezeka chote mdomoni wakati wa kuoaza sauti rafiki?[emoji1787]Kuna huyo mtu yupo na kama 182cm ila humo ndani ni hamna kitu yaan hamna kitu. Nilikoma kufananisha urefu wa mtu na kubarikiwa huko ndani wengine ni hamna kitu kabisa kabisa.
Ni huzuni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahah, hawapo mkuu. Pesa hatuna, wafupi halafu vibamia...ukisikia kunyimwa kila kitu ndio kama hivi[emoji1787][emoji1787]Subiri uzi wa Wanawake wanaowapenda Wanaume wafupi.
Hahah, hawapo mkuu. Pesa hatuna, wafupi halafu vibamia...ukisikia kunyimwa kila kitu ndio kama hivi[emoji1787][emoji1787]
Ufupi kuanzia cm ngapi?
Mie nashangaa sana walimwengu si tukubaliane tuu kuwa open relationship wote tuu...yaani wee kugegeda mke wangu sawa tuu mie kugegeda mke wako fresh tuu....naon itaondoa vidonda vya moyoKuigiza ndio mkakati
nna jamaa angu anamwambia mpenz wake hawez kuishi bila ya yeye wakati najua ana cheat na kashatia mimba huko side chick
Nikawa natoa macho wtf is wrong with people...no doubt na yule mwanamke ana cheat pia
Hutaki kujaribu de libolo la toluu mmoja wa jfNimemaliza kusoma comments za wanaume ma tall wa jf.. naendelea kusoma comments