Kama Wizara ya Maliasili na Serikali hawana mkakati wa kutokomeza kunguru weusi, tuwape tenda wachina

Bilioni saba duh mbona hayo mabilioni yangetumika na program nyinginezo mji wa dar ungekuwa safi na wa kupendeza mnooo
Kunguru hao wangekuwa wa kutafuna mbu wa Dar mbona huo mradi ungekuwa bomba.
 
Hao kunguru ni codes moja mbaya sana watu hawajui tu. Wanaweza kuja tumika kama biological weapon siku ukitaka angamiza wtz.
 
Kuna eneo limaitwa Sultan lipo Mrogoro(M) aisee ile barabara ya Mangesho ni hapafai ukipita pale unapita kimchale chale. Miti inapendezesha sana lile eneo ila kero kubwa imekuwa ndio makazi ua kunguru wale. Mpaka barabara imechafuka tokana na kinyesi chao
 
Uchafuzi wa mazingira
 
Kunguru hafugiki wala sio wa kumkaribisha kwako
 
Kunguru hafugiki wala sio wa kumkaribisha kwako
Na mimi sijawafuga wala kuwakaribisha ila nimeweka huo utaratibu wa kuwapa maji kwenye chombo chao maalum na maji hayo hawayatumii tu Kunguru kuna Ndege wengine wanakunywa, Paka, na wadudu
 
Jaman kumbe wamefikia hatua ya kula pembejeo!? Huko buza wanaiba sana chupi zilizoanikwa hasa zile tandabui kama barakoa! Wanazichukua wakizani utumbo
We utakuwa mkulima wa pdf,yaani hujui hata maana ya pembejeo? Karanga si pembejeo.Mfano wa pembejeo ni mbolea,mbegu za kupanda,sumu za wadudu waharibifu n.k
 
I've rescued this baby bird today, baada ya matone kadhaa ya maji kakapata nguvu na kuruka kurudi kwa familia yake [emoji3059]
 
Rai yako ina manufaa, lakini hili la Waziri mkuu Lowasa kuleta Kunguru ni uzushi.

Uwaziri mkuu wa Lowasa ni wa juzijuzi hapa, wakati kunguru hao wana zaidi ya miongo miwili!
 
We utakuwa mkulima wa pdf,yaani hujui hata maana ya pembejeo? Karanga si pembejeo.Mfano wa pembejeo ni mbolea,mbegu za kupanda,sumu za wadudu waharibifu n.k
Hahah asante afisa kilimo
 
Hata mimi hawaniogopi, naweza nikawa nje nimekaa wakawa pembeni yangu ila akitokea mtu mwingine wanaondoka,

Napenda sana Ndege na Wanyama.
Ogopa sana kunguru wanamagonjwa mengi ..coz wanasafiri umbali mrefu na kula kila Aina ya uchafu
 
Sipikii nje sababu sina jiko la nje, hawaingii ndani na nafua kila siku hawajawahi kunyea nguo zangu na hata ikitokea wamenyea so what? Mavi ya Kunguru yana madhara gani hadi inifanye niwachukie?
Kwa watoto wadogo wanaweza kata watoboa macho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…