Kama Yesu Kristo alikufa Msalabani ili tukombowele katika utumwa wa Dhambi mbona bado dhambi zinazidi kuongezeka?

Kama Yesu Kristo alikufa Msalabani ili tukombowele katika utumwa wa Dhambi mbona bado dhambi zinazidi kuongezeka?

Baada ya gharika ya kipindi cha Nuhu na dhahma ya Sodoma na Gomora, kuna tukio lingine lilikuwa linaandaliwa kwaajili waasi. Yesu akaja kuwafundisha watu namna ya kumjua Mungu ili waongoke na kujilinda ili hasira za Mungu zisije kuwaka juu yao.

Kupitia Yesu watu wengi wameokoka. Wamepatikana watu 10 kwenye 50. Naye, Mungu anauacha mji salama kwa ajili yao.

"Mpaka sasa hakuna maovu binafamu amefanya kuzidi maovu waliofanya watu walioishi katika miji ya Sodoma na Ghomora" Ustadh Khamis.
Asante
 
1)Kwa sababu Yesu Kristo hakuja kufuta dhambi bali kulipa gharama ya dhambi.

2)Siyo wote wanaomini Yesu Kristo alikufa halafu akafufuka kwahiyo ni lazima watu waendelee kuishi katika dhambi..

Kwa leo tuishie hapo
 
Ndio maana wayahudi wanasema Yesu bado hajaja.

Maana wanadamu tuiahidiwa Yesu Kristo atazaliwa na atakufa msalabani. Kifo chake kitakuwa alama ya ukombozi kwa Mwanadamu kutoka ktk utumwa wa dhambi.

Mbona sasa maovu, maasi na dhambi ndio kwanza zinazidi kuongezeka. Au aliyekuja na kufa sio Yesu Halisi
A good Thought here
 
Ndio maana wayahudi wanasema Yesu bado hajaja.

Maana wanadamu tuiahidiwa Yesu Kristo atazaliwa na atakufa msalabani. Kifo chake kitakuwa alama ya ukombozi kwa Mwanadamu kutoka ktk utumwa wa dhambi.

Mbona sasa maovu, maasi na dhambi ndio kwanza zinazidi kuongezeka. Au aliyekuja na kufa sio Yesu Halisi
Kwa sababu Mungu ni mwanademocrasia.amemleta yesu ili kila anayemwamini anaokolewa.lakini hajamlazimisha mtu yoyote amuamini yesu.maovu yanazidi kwa sababu hofu ya Mungu inapungua mioyoni mwa watu.
 
Ndio maana wayahudi wanasema Yesu bado hajaja.

Maana wanadamu tuiahidiwa Yesu Kristo atazaliwa na atakufa msalabani. Kifo chake kitakuwa alama ya ukombozi kwa Mwanadamu kutoka ktk utumwa wa dhambi.

Mbona sasa maovu, maasi na dhambi ndio kwanza zinazidi kuongezeka. Au aliyekuja na kufa sio Yesu Halisi


Kuna maji ya Kilimanjaro dukani ambayo unatakiwa kununua unywe upone.

Yesu ameyatoa hayo maji bure unaweza kunywa na ukapona kabisa bila shida.

Kitu Yesu ambacho hawezi kufanya ni kuyachukua na kukuleta na kukulazimisha unywe.

Dhambi zipo na zitaendelea kuwepo sababu wanadam hawajachukua hatua kumfuata Yesu na kupata ukombozi.
 
Narudia tena, ni mchongo tu, hakuna Mungu wa kweli anaemtoa mwanae kafara. Aumbe dhambi na atume mwanae kuondoa dhambi, inaingia akilini kweli? Ila imesukwa kiasi karibu nusu ya ulimwengu umeamini, hasa ulimwengu wa tatu kwa waliokata tamaa na maisha.

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Narudia tena, ni mchongo tu, hakuna Mungu wa kweli anaemtoa mwanae kafara. Aumbe dhambi na atume mwanae kuondoa dhambi, inaingia akilini kweli? Ila imesukwa kiasi karibu nusu ya ulimwengu umeamini, hasa ulimwengu wa tatu kwa waliokata tamaa na maisha.

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Mungu ameumba dhambi?Mungu hakuumba dhambi acha upotoshaji.Ni mtu mjinga tu ambaye haamini uwepo wa Mungu.
 
Yesu hakufa kwaajili ya kuwakomboa, hata hivyo biblia inasema alikuja kwaajili ya kondoo waliopotea wa nyumba ya israel ama wana wa kabila zake waliopotea, hivyo uwepo wake dunian ilikuwa ni kwaajili ya watu wa asili yake na jamii yake tu, ninyi wengine hamuhusiki acheni shobo.

Hakukuwa na ulazima wa yeye kufa msalaban ili awakomboe[emoji16][emoji23] bali chuki za wale aliokuwa anawahubiria ndio zilisababisha afe kwa kupewa makosa hivyo kifo chake kisiwe sabbu ya kusema ni ukombozi.

Hata hivyo kama yeye kwel alikuja kwaajil ya kuikomboa dunia basi isingetumika nguvu kubwa kueneza neno lake, hususan Afrika ambako mamilion ya watu walikufa wakilazimishwa kuamin huo upuuzi wa kidini na kushika mafundisho ya ukristo, pia hakukua na ulazma wa imani kuenea kwa njia ya vita za msalaba zilizokuwa na malengo ya kueneza hiyo imani ya Yesu wenu.

Pia hakuna Ushahidi wa yesu kukomboa wala kusaidia jambo lolote zaid ya uzushi wa wafia dini.

Yesu hajawai kuwepo, aliundwa na wakatoric miaka ya 300A.D kwa kuchukua historia za miungu ya wamisri, wahindu, then kuleta jina jipya la Yesu kutoka kwa Yeshua ama Zeus/Azazel ama Osiris mungu mwana wa kiume wa kimisri..

Tafuta dunia nzima hautapata historia ya uwepo wa yesu wala hao mitume wake kuishi dunian, zaid ya uzushi huo utaupata ktk vtabu vya kidini vinavyolazimisha mtu aamini bila kutumia fikra kupambanua mambo.

Yesu angekuwepo kwel basi angesharudi kitambo sana maana hata ktk maneno yake alikuwa akiwashuhudia baadhi ya watu wake kuwa angerejea muda si mrefu na kwa dalili ilionesha ni kipindi chake[emoji23][emoji23] yuko wapi sasa?

Yesu angekuwepo basi dhambi zinazoongozwa kutendwa na wafia dini za ulawiti, uuwaji, ubakaji na ushirikina makanisan haya zisingekuwepo.

Yesu angewafia wanadamu basi isingekuwa na haja ya kutueleza sana maana kila mtu angeshajua bila kuforciwa na dini.

Yesu hatorudi, mtakesha mkisubiri hatorudi maana hajawai kuwepo na hatowai kuwepo.

Jina la Yesu liloundwa na wazungu wa kirumi kisiri kwa kumaanisha SUN/SON ama mwana wa shetan/nyota ya asubuh ambaye ni aina ya Pepo lenye muundo wa kondoo dume, pepo hilo lina nguvu kubwa ya kutenda mazingaombwe kwa wanaoliita kupitia makafala ya damu(damu ya yesu), pia kutaja majina yake ya asili ama kificho pepo hilo linaweza kutenda maajabu.

Pepo hilo ndio aina ya yale sign of 666 ambayo ndio hayo yatatumika kuwaingia watu kama chapa ya akili kwa kuwapotosha na kuwafunga kiakili na kiroho wasiweze kutambua Muumba wa kweli ni yupi, na badala yake kuwafanya watu waamini maajenti wa hili pepo ambao ndio hao wachungaji wenu na dinu zote za ulimwengu zote ziko chini ya hiki kiumbe kushirikiana na mapepo wengine(666) ambao kama watakuingia basi sahau kuhusu Kupona ktk Hukumu, maana utakuwa mmoja wa waabudu sanamu.

Dini zote ni uongo, dini zote zinamuabudu kiumbe mmoja kupitia mikanganyiko ya kuwafanya watu wasijue kweli kwa kufarakana na kutofautiana ktk mafundisho yao.

Muumba wa kweli hana haja ya sisi kuwa na dini na hajawai kumtuma huyo yesu aje awafie wanadamu, dhambi kutoka kwake ni wew kuomba mthamah na kuacha FULL STOP.
unachaganya habari za Yesu na za Mpinga kristo
 
Ndio maana wayahudi wanasema Yesu bado hajaja.

Maana wanadamu tuiahidiwa Yesu Kristo atazaliwa na atakufa msalabani. Kifo chake kitakuwa alama ya ukombozi kwa Mwanadamu kutoka ktk utumwa wa dhambi.

Mbona sasa maovu, maasi na dhambi ndio kwanza zinazidi kuongezeka. Au aliyekuja na kufa sio Yesu Halisi
Wanaokolewa wale wanaotaka Chief. Kama hutaki hulazimishwi. Usisahau humu dunian kuna watu wa Mungu pasee na washetan pasee. Na ndio maana ya ule mfano wa kuyaacha magugu na ngano zikue pamoja cku akija Bwana wa mavuno ndio atayatenga.
 
Watu Woote Ni wa MUNGU, ila wanaoipokea kafara ya Yesu Kristo wanafanywa kuwa watoto wa MUNGU...
 
Ndio maana wayahudi wanasema Yesu bado hajaja.

Maana wanadamu tuiahidiwa Yesu Kristo atazaliwa na atakufa msalabani. Kifo chake kitakuwa alama ya ukombozi kwa Mwanadamu kutoka ktk utumwa wa dhambi.

Mbona sasa maovu, maasi na dhambi ndio kwanza zinazidi kuongezeka. Au aliyekuja na kufa sio Yesu Halisi
Niliwaambieni kila swali gumu niulizwe mimi maana wakristo na waislamu wa sasa awana akili kabisa na hata wasio wakristo au waislamu ni hivyo hivyo .....ILO SWALI LAKO LINATOKANA NA KUTOKUJUA KRISTO ALISULUBIWA KWA SABABU GANI ? UKIJUA SABABU YA KWELI UTAKUWA UMEPATA JIBU SAHIHI LA ILO SWALI LAKO ....WENGI WANA MASWALI KUTOKANA NA MAFUNDISHO POTOVU YA INJILI FEKI YA MAKANISANI .
 
Si kweli! Una maana wasiomwamini kuwa ni mwana wa Mungu hawatakombolewa? Mungu aliumba ili awapoteze? Dini zimechongwa tu na wajanja!
 
Dhambi ni kwenda kinyume na maagizo ya Mungu ,(Allah)

Kuoa wake wengi sio utaratibu wa Mungu.............
 
Back
Top Bottom