Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
Amani kwako ni bora hata ukidhulumiwa haki yako? Au sababu mume anakula kupitia ChiChiemUnajua kilicho nyuma ya pazia au?
Tuwaache wafanye kazi yao... wananchi tunataka kuishi kwa amani sio kuchafuliwa amani nchini...
Nimecheka kichizi 😂😂😂Maandamano yanahitaji bajeti wewe unadhani mtu atatembea kuanzia asubuhi huku anaapiga kelele bila kupata hata chai, maji, supu, huduma ya kwa anayeumizwa.
Wakubwa zenu wamewekwa holding room Sasa nyie mtapigwa virungu tuu.
Hivi ulishwahi kupigwa kwenye maandano mpaka ukahisi kuugua lakini ukienda hosipitali kupimwa ugonjwa hauonekani.
Mtasubiri haki mpaka umauti 😂Unlawful gathering is a criminal offence under Tanzania penal code. So is the conspiracy to do so, you don’t have to perform the actual to break the law...
Ulipata muda wakuiuliza NECCCM kuhusu upumbafu waliofanya?Wapinzani Wangeacha tuu maandamano ili Goma lianze automatically.
Sasa watanzania kesho Tunaendelea na Shughuli zetu Kama kawaida.
Nilikuwa nawaza nitaendaje kwenye shughuli zangu za kupeleka mkono kinywani huku Kuna maandamano.
Hivi Mambosasa ana akili timamu ?
Wakati unaandika huu ujinga unatumiaSafi sana Mambosasa kusanya wote hao weka ndani.
Wakati huo unatumia vpn kuandika kweli ujinga mzigoHawa wanaumia sana maisha ya Ubunge kuyakosa.. wakalime sasa.. waje huku vijijini.. maisha matamu kwa umeme wa REA ndio kumekuchaaaaaa...
Magufuli oyeeeeeeee[emoji177]
Hii hoja huwa ni ya kipumbavu sana! Kwani huo ubunge wanajipigia kura wenyewe!? Haki ya aliyepiga kura ikaporwa iko wapi?Hawa wanaumia sana maisha ya Ubunge kuyakosa.. wakalime sasa.. waje huku vijijini.. maisha matamu kwa umeme wa REA ndio kumekuchaaaaaa...
Magufuli oyeeeeeeee[emoji177]
Sasa kama kila wakiomba kibali wananyimwa makusudi kwa kubambikiwa sababu zisizo na msingi wafanyeje.Hii favouritism imewachosha wengiHao wanaoandamana kama hawajaomba kibali cha kuandamana utawalinda vipi?
Unaifananisha Tanzania na Libya? Kisa Mbowe,Lema ,Mdee na wewe mmekosa ubunge?. Libya Ghadaffi aliondolewa sio kwa watu kupinga kura za wananchi, fuatilia mambo kwa undani.Eti vijana wavuta bangi! Imenikumbushia Gaddafi ndivyo alivyokuwa akisema wakati Libya inaanza kuanguka! Alisema ni vijana wamepewa madawa ya kulevya wafanye fujo na maandamano!
Bashiru pia alifutuka hivyohivyo sasa yupo jera! Na wasudan wooote wanafurahaSafi sana Mambosasa kusanya wote hao weka ndani.
Endelea kuandamana kwa kutufuatilia kwenye mitandao ya kijamii.
Polisi wenzako washaanza kuandamana kutuwinda. Wanapita kwenye magesti mabaa na maeneo ya stendi usiku huu. Wanatuogopa polisi!
Wamenikuta zangu hapa gesti nimewajibu kunya hawatanisahau
Hakukuwa na uchaguzi ilikuwa kuwatoa mawakala vituon na kuingiza Kura zaoHao wanatukera sana, nadhani siyo kuwashikilia tu hata mkiamua muondoke nao moja kwa moja. Watanzania zaidi ya milioni 50 ni muhimu kuliko watu hao watatu. Kwa sababu kuchoma vituo vya mafuta ni zaidi ya siasa, ni ugaidi. Kama wapo mashekhe ambao wapo ndani kwa tuhuma tu za ugaidi na wakati hawa ushahidi wao unaanza kutolewa waziwazi, basi isiwe shida nao hao kusukumwa wapotelee huko au vinginevyo....
Mbona ratiba haisemi mnaanzia Biafra?Nipo hapa Biafra tayari kuanza maandamano