Uchaguzi 2020 Kamanda Mambosasa: Mbowe na wenzake kushtakiwa kwa makosa ya ugaidi, walipanga kulipua vituo vya mafuta

Uchaguzi 2020 Kamanda Mambosasa: Mbowe na wenzake kushtakiwa kwa makosa ya ugaidi, walipanga kulipua vituo vya mafuta

Mimi nimeshajiandaa na vijana wenzangu kama 70 hivi. Mabali na sisi Coaster kumi na mbili toka maeneo mengine ikiwemo Arusha ziko njiani muda huu
Naomba iwe kweli tuone ushujaa huo.
 
Hawa wanaumia sana maisha ya Ubunge kuyakosa.. wakalime sasa.. waje huku vijijini.. maisha matamu kwa umeme wa REA ndio kumekuchaaaaaa...

Magufuli oyeeeeeeee💕
Kesho watu wanaendelea na shughuli kama kawaida. Hiyo kesi itawayumbisha sana kila mara karipoti polisi
 
UJAMBAZI aliofanya magufuli ni mkubwa Sana.akae na hao viongozi wa upinzani Tanzania.awapooze kibingwa lakini kuanza kuwakamata hao viongozi HAISAIDII.

Wewe unasema umejenga mabarabara,reli, umenunua ndege,umeweka umeme.

Lakini badoooo haujiamini una iba KURA.
Magufuli umejitia aibu Sana.

UONGOZI wako UMEKUWA wa aibu kupita uongozi wowote hapa TANZANIA.
 
Safi sana kamanda sweka ndani hao wapigania matumbo yao kwa kuleta vurugu.
 
Mambosasa yupo live ITV usiku huu akisema amewakamata Mbowe, Lema na Jacob kwa kuhamasisha maandamano.

Hii haitarudisha nyuma morali wa waandamanaji.

----

Hapo ndipo karuka maji na kukanyaga moto.

Hawa tunazaa nao. Tayari wameshaingia mchecheto.

Hawatutishi.

Yetu ni amani hadi tutakapoona umuhimu wa kujibu mapigo.

"One down, two to go!" Hadi mtu wetu wa mwisho.
 
Pole pole KASEMA "KUAPISHWA KWA MAGUFULI HAKUNA SHEREHE"[emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Ila mwamba hii masiku una nondo kweli kweli.

Yaliyopita si ndwele.

Kufa au kuishi mpaji ni maulana.
 
Tatizo kubwa pia ni wapinzani wengi ni walevi Hasa Mbowe.

Mbowe anatakiwa afungwe Gerezani kwa kuua chama chake na kutoa fursa ya CCM kuiba kura kwa sababu ya kukosa watu wanaokipigania Chama kwa UDI na uvumba . Hivi Mbowe kweli ana akili kushindwa Kwenye Ubunge Hai!!?

Kweli Mbowe ametumia nafasi ya ubunge kwa mambo ya hovyo hovyo mpaka akawa anapigwa mawe jimboni kweke mchana kweupe !!
Mbowe hana Mvuto kiroho kwa hiyo hawezi kufanikisha maandamano.

Zito alikosea kumwacha Mbowe ndio awe msemaji . Mbowe hana elimu ya Dunia wala ahera kwa hiyo hakubaliki katika ulimwengu wa Roho. Kuchochea watu mpaka waandamane ni lazima pawe na roho inayowaingia watu na kupoteza ubinafsi na kuzikana nafsi zao. Hilo Mbowe hana . Kwa hiyo hakuna haja ya kuhofia maandamano ambayo hayatakuwepo mpaka siku Mbowe ameachia uenyekiti wa Chama na kuja MTU mwingine anayekubalika kitaifa .

Mbowe aendelee kukaa Gerezani kama wale mashekhe hata kwa miaka mitano au saba.
 
Mlishindwa kujenga UKUTA kipindi kile.Jiwe kaamua kujenga nyumba na hati halali anayo,mtatapatapa sana hii awamu.
 
Tatizo kubwa pia ni wapinzani wengi ni walevi Hasa Mbowe.

Mbowe anatakiwa afungwe Gerezani kwa kuua chama chake na kutoa fursa ya CCM kuiba kura kwa sababu ya kukosa watu wanaokipigania Chama kwa UDI na uvumba . Hivi Mbowe kweli ana akili kushindwa Kwenye Ubunge Hai!!
we boya unajua unachokiongea au unaongea pumba tu kama mapepe....mashenz typeee nyie
 
Back
Top Bottom