Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Sawa.Kibali hawajaomba tokea Ijumaa na hawakuwa na mpango huo wa kuomba kibali.
Ila mipango ni kufanya maandamano yaliyo na lengo la kuchochea vurugu na uvunjifu wa amani.
Lakini, hilo ndo kosa la kusababisha mtu akamatwe na kuwekwa ndani?