Uchaguzi 2020 Kamanda Mambosasa: Mbowe na wenzake kushtakiwa kwa makosa ya ugaidi, walipanga kulipua vituo vya mafuta

Uchaguzi 2020 Kamanda Mambosasa: Mbowe na wenzake kushtakiwa kwa makosa ya ugaidi, walipanga kulipua vituo vya mafuta

Tufanye nakubaliana na wewe...

Pia tukubaline moja ya athari za maandamano yeyote ni kutengeneza unsettlement... Kuna watu hawatofanya shughul za uchumi kupisha maandamano...

Na hapo Mkuu unazangumzia maandamano ya bila kikomo...

Indirectly unaishauri serikali itenge bajeti ya kumonitor maandamo ya bila kikomo?
Mkuu,

Unaelewa maandamano ni haki ya kikatiba?

Unataka kuwanyima watu haki ya kikatiba kwa sababu wengine watapoteza nafasi za kufanya shughuli za uchumi?

Yani polisi wameshindwa kuwapangua hao wapinzani njia ya kufanya maandamano na kutangaza ili watu wajipange kufanya shughuli zao vizuri?
 
The worst thing is, by being this paranoid, the state is actually undermining itself.

It is shooting itself in the foot.

I don't see how allowing peaceful demonstratiom would harm anyone. This is a constitutional freedom. Why are poople denied their cinstitutional rights?

The government is undermining its own good image - what little of it is left- by this Draconin stance that is straight from the Hammurabi Code.

I see this as the government panicking.

CCM not only stole the election, but it is now not even allowing people to demonstrate.

It's like someone stepping on your toes, and when you want to let him and the world know that he stepped on your toes, he is silencing you so you can't even talk!

"The guilty are always afraid" By James Hadley Chase
 
Sikiliza clip ya pili kabla ya maandamano unatakiwa uombe kibali masaa 48. Wao wametangaza maandamano within 38hrs wanataka waingie barabarani. Wao walikuwa Wabunge ndio wanafahamu hizi sheria sasa inakuwaje wao ndio wanakuwa wa kwanza kuzivunja.
Kwa hiyo polisi wameshindwa kuwasogezea mbele hayo maandamano?
 
Ndo maana nikasema kuwa, wanaweza kupangiwa eneo au maeneo ya kuandamania ili wasilete kero au usumbufu kwa wengine.

Wanaweza hata kupangiwa siku na muda wa kuandamana.

Wanaweza hata kupangiwa ukomo wa maandamano yao.
Lakini mkuu, hayo yote si hutekelezwa baada ya kibali cha kuandamana kutolewa?

Inatakiwa kibali cha maandamano kiombwe ndani ya masaa 48

Sasa haijulikani kama hawa jamaa wamefuata utaratibu huu.
 
We huo ushahidi umeona ni hakimu wewe ujinga tu unaoongea Yaani hii nchi kuna watu wanadhani wana uhai kuliko wenzao hakuna mtu mwenye hati miliki ya nchi katiba sura ya 20 inatoa uhuru wa wananchi kuandamana kwa interest au sababu yoyote. Wewe ni nani wa kushabikia kukamatwa kwa viongozi kwa sababu wanataka kuandamana halafu wanasingiziwa sijui kulipua visima ili iweje. Kwanini vyombo vya dola vinapenda kuonea raia kila siku kuongeza asira kwa raia. Sababu ya nyie wajinga wachache kama msingekuwepo kusingekuwa na huu ujinga unaoendelea
Sasa dadangu
kaanndane uone mjinga ni nani.Nyinyi si mnaona chakula kipo mezani tu,hamjui kunatoka wapi !
 
Sikiliza clip ya pili kabla ya maandamano unatakiwa uombe kibali masaa 48. Wao wametangaza maandamano within 38hrs wanataka waingie barabarani. Wao walikuwa Wabunge ndio wanafahamu hizi sheria sasa inakuwaje wao ndio wanakuwa wa kwanza kuzivunja.
kwa hiyo ishu ni kibali cha maandamano?

Basi wafuate tu taratibu, wapate kibali halafu waandamane kwa amani.
 
Mkuu,

Unaelewa maandamano ni haki ya kikatiba?

Unataka kuwanyima watu haki ya kikatiba kwa sababu wengine watapoteza nafasi za kufanya shughuli za uchumi?

Yani polisi wameshindwa kuwapangua hao wapinzani njia ya kufanya maandamano na kutangaza ili watu wajioange kufanya shughuli zao vizuri?
Ni haki kabisa ya kikatiba.

Lakini sheria yataka uombe kibali cha kuandamana ndani ya masaa 48

Je, wao wameomba kibali muda upi tangu Ijumaa?
 
Lakini mkuu, hayo yote si hutekelezwa baada ya kibali cha kuandamana kutolewa?

Inatakiwa kibali cha maandamano kiombwe ndani ya masaa 48

Sasa haijulikani kama hawa jamaa wamefuata utaratibu huu.
Okay. Sawa.

Mimi sina tatizo na muda wa kuomba kibali.

Waombe tu ndani ya muda unaotakiwa.

Lakini siyo kuleta visingizio vya eti wanataka kuchoma moto vituo vya mafuta.
 
Hapa tunaona CCM Mpya na serikali yake ilitengeneza mazingira yote ya kutishia amani na utulivu nchini halafu wenyewe CCM Mpya na serikali waimeingia woga kwa jambo walilolitengeneza wenyewe - The Sum of All Fears.

Walizoea kutengeneza tatizo halafu wanakuja wenyewe kulitafutia jibu ili kupata kiki za kiini macho, lakini hili tatizo walilojitengenezea safari hii badala ya kuwaletea kiki ni kwamba wamejiingiza ktk mtihani mkubwa ambao hawataweza kujinasua hawa CCM Mpya na Serikali yake.

Tatizo hili litawasumbua na kuwatupa chini mara kadhaa kama ilivyo ktk mchezo wa mieleka mpaka hapo CCM Mpya itakapo kubali kuwa safari hii imefika tamati na wameshindwa na kulegea.
 
So far, wameshapanga kuandamana bila kikomo...

Hata maeneo watakayo andamania wameshajipangia...
Hapana.

Wafuate tu taratibu zilizopo ili waweze kutekeleza haki zao za kikatiba.
 
Kwasababu polisi walijua kwamba mipango si kuomba kibali bali ni kuingia tu barabarani kienyeji.
Sasa si wawaambie tu kwamba wanapaswa kufanya hivi na vile...

Kuliko kuwakamata na kuwaweka ndani.

Come on now...
 
Okay. Sawa.

Mimi sina tatizo na muda wa kuomba kibali.

Waombe tu ndani ya muda unaotakiwa.

Lakini siyo kuleta visingizio vya eti wanataka kuchoma moto vituo vya mafuta.
Kibali hawajaomba tokea Ijumaa na hawakuwa na mpango huo wa kuomba kibali.

Ila mipango ni kufanya maandamano yaliyo na lengo la kuchochea vurugu na uvunjifu wa amani.
 
Sasa si wawaambie tu kwamba wanapaswa kufanya hivi na vile...

Kuliko kuwakamata na kuwaweka ndani.

Come on now...
Mbowe na Lema wanafahamu taratibu zote kwani wao si mara ya kwanza kufanya maandamano.
 
Sasa kwa nini issue inakuwa kukataza maandamano badala ya kuelekezana kuomba kibali?
Watunga sheria Bungeni waliokaa miaka 15 hawafahamu sheria kweli? Au basi tu kujifanya wao hii ni nchi yao na sheria haziwahusu?
 
Watunga sheria Bungeni waliokaa miaka 15 hawafahamu sheria kweli? Au basi tu kujifanya wao hii ni nchi yao na sheria haziwahusu?
That is irrelevant and debatable.

Wanaoshikiliwa wanashikiliwa kwa sababu gani? Kwa ushahidi gani? Unahakikishaje hawashikiliwi kisiasa?
 
Back
Top Bottom